Tuwe na utaratibu wa kuziweka wazi taarifa kificho muda unapofika

Vipi kama sheria thabiti zikiwepo/kutungwa na kuenendwa ili kudhibiti wale "mbuzimawe" wakorofi wasiopenda declassiications/uwekwaji wazi wa siri hadharani?We better be led by the book/laws and regulations!
 
🥺🥺🥺🥺👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
In the name of the president Kwenye kitabu cha @kabsjourno

Kuna tuhuma kwamba Jiwe alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku iliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia
Makamu akamtishia kwamba ange jihuzuru

dah Jiwe alikuwa na mambo mengi ya kindezi sana, TISS wanasimamia vitu vya ovyo sana
Source: Tweeter X
 
Kabendera ana kipaji cha kuandikia magazeti. Hana kipaji cha kuandika kitabu.
 
Kitabu kiachwe kama ni uongo waje na ukweli
 
Ya kwamba alipigwa risasi ya kichwa ikulu!..🤣

unavyowaza wewe sivyo wanavyowaza wao maana wao wanaona na wanafika ambapo wewe hufiki na huoni!.
Hata hivyo yoyote anaweza kujiandikia chochote.
 
Nchi masikini inavyochimbiwa vyoo kwa msaada wa watu wa Marekani na Umoja wa Ulaya, inawezaje kuwa ya kijamaa??

Sifa moja wapo ya kuwa nchi ya kijamaa katika dunia inayoongozwa na Mabepari ni kuwa na silaha Kali. Je, nyie mnazo??

Tazama Russia, China, North Korea and Iran, wote wanaboresha nuclear arsenal zao kwa maana wanajua Mabepari wanawatamani kama sio Leo basi ni kesho.

Je, mnalo Jeshi imara la kulinda dola yenu ya kijamaa??..

CC: Detective J
 
Big Point. Hakuna haja ya kukifungia kitabu hicho. Acha mambo yawekwe wazi, huu ndiyo muda sahihi.
 
kama hujui unachokifanya ni sawa lkn kama unajua unachokifanya ni sawa pia ila unakifanya kishamba sana!
 
Ya kwamba alipigwa risasi ya kichwa ikulu!..🤣

unavyowaza wewe sivyo wanavyowaza wao maana wao wanaona na wanafika ambapo wewe hufiki na huoni!.
Hata hivyo yoyote anaweza kujiandikia chochote.
Mbona wewe hujajiandikia chochote. 😂 au ndio hiki?
 
Kumbuka: Uhai au existence ya utawala wowote ule wa Kikomunisti/Ujamaa hutegemea na suala zima la kuwaangamiza au kufanyia madhila na uhalifu wake wapinzani wao au wakosoaji wao.📌🔨
Kama nchi ya kijamaa haina uchumi imara, Jeshi imara na ushawishi mkubwa katika siasa za kimataifa (UN Veto Power) anakuwa kama anajilisha tu upepo.

Nchi iliyopo sub Saharan Africa kujiita kuwa ni ya kijamaa, ni kituko.
 
kama hujui unachokifanya ni sawa lkn kama unajua unachokifanya ni sawa pia ila unakifanya kishamba sana!
So andishi langu angalia credit nimetoa kwa nani
 
Haya bado ya moto sana. Yakisemwa sasa katika uhalisia wake.. CCM inaanguka misa ya kwanza na viongozi wengi wakuu watapelekwa The Hague
Waambie mkuu. Hawajui hao. Mungu wabariki sana wazungu kwa kuunda ICC ya The Hague..
 
Kwa hiyo ulitegemea Kombe na huyo Apson waishi milele kwa maana wao ni milima?? Mbona hiyo kampuni mnai overate sana wakati ni watu wa kawaida sana kama mimi na wewe tu??..
 
Ya kwamba alipigwa risasi ya kichwa ikulu!..🤣

unavyowaza wewe sivyo wanavyowaza wao maana wao wanaona na wanafika ambapo wewe hufiki na huoni!.
Hata hivyo yoyote anaweza kujiandikia chochote.
You're overrating those SSIT guys..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…