Tuwe wawazi: Hivi chai na kahawa unapendelea kunywa nini?

Uji daily lazima utoke shavu 😂
Ni lazima yan.

Me kitaa bado nanunua mtori na chapati 1 😜
kwa kwel mvivu wa kupika mtori na chapati. Unaishi na nani wewe binti? usipike
 
Maziwa fresh, naweka na kahawa ya unga laini isio na chenga taste yake sio ya nchi hii hasa upate maziwa yasio na maji
 
Napata kahawa mapema Sana asubuhi, siku hua inakua nyepesi sana.
 
Sasa kibobori ni wale panya buku uchagani. Sizungumzii wale Fuko wanaoliwa. Huyu mchanga kibobori maharo anajiita panya buku anayetokea maharo.😀

wa nyumbani huyu. Hivu IamBrianLeeSnr ni mchaga wa wap?
Mimi ni wa marangu Gily kijiji kinaitwa msae ndipo napotokea pale karibu na kanisa kubwa limepakana na shule ya nganyeni! Lkn unapanda juu kidogo kama unaenda lykrimu kule kiunguni🤗
 
Mimi ni wa marangu Gily kijiji kinaitwa msae ndipo napotokea pale karibu na kanisa kubwa limepakana na shule ya nganyeni! Lkn unapanda juu kidogo kama unaenda lykrimu kule kiunguni🤗
Nimeoa mmarangu mmasai anatokea marangu mtoni. Japo sijafika ukweni huko marangu kutokana na wazazi pia kuwa huku mjini. Nataka mwakani nifanye mpango nikasalimie huko😎 napita kwenu.

Natokea Rombo mkuu. Humu ndani kuna baadhi ya watu wanajua ndugu zangu akiwemo DALALI MKUU. Mamaya pia wa nyumbani huko huwa namchanganya na dalali mkuu. 😀 Kalpana pia nafuatilia naweza kuwa na ujamaa nae. Glenn haeleweki anatokea wapi yupo kama mswahili wa chalinze🤣.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…