Tuweka mihemko pembeni, Hezbollah kapigwa kachakaa, pona yao ni Biden kuinyima Israel silaha kulazimisha cease fire

Tuweka mihemko pembeni, Hezbollah kapigwa kachakaa, pona yao ni Biden kuinyima Israel silaha kulazimisha cease fire

Kwa Israeli ni wazi in short run waliweza kuwadhibiti hawa jamaa ila kwa mahesabu ya long-run israel ingeishia kupata hasara maana kuna mahali israeli wameanza kuchemka,unajua kuwapiga hawa izbolah siyo jambo jepesi inahitaji mikakati ya mda mrefu sasa kuuwa viongoz siyo mkakati unaoweza kubadili hali ya vita hato kidogo ,kubwa ni kuua miundo mbinu yote ya adui inayompa nguvu ya kufanya mashambulizi hilo israel ameshindwa kabisa,yan kiufup bora tuu wamekaa mezani pamoja,kwa upande wa izbolah nao hawana Cha kujivunia maana hata wao malengo yao ya kuipiga tafu Hamas mpaka mwisho hayakutimia kwa haraka kama walivyodhani hivyo hii ngoma ni kati hakuna mshindi
Lakini mmoja ameumia sana. Na aliyeumia sana amejitangaza kubwa ndiye mshindi.
 
Ni kweli mkuu ila bado mashambulizi mengi ya hizbolla yamekua Kila uchwao ,hali hii imeweka mashaka juu ya miundo mbinu hiyo kushambuliwa na kudhibitiwa kama inavyotakiwa
Hezbollah kwa sasa wanategemea zaidi mashambulizi ya kujificha kwa siri, leo wanajificha mlimani kesho kwenye bonde, hawana ubabe wa kuwa na ngome ya kudumu
 
Kwa mara ya kwanza kwa kipindi kirefu jeshi la Lebanon limeenda kusimamia Lebanon ya kusini na kuwazuia Hezbollah, ni baada ya Israel kkufanya yake
Mkuu inaonekana una uwelewa mdogo kuhusu mgogoro huu.
Wana jeshi wa Lebanon wapo kusini mwa nchi hiyo miaka yote ,waliondolewa baada ya vita kati ya Israel na Hizbullah kuanza na wamerudi baada ya vita kusitishwa.
 
Kwa Israeli ni wazi in short run waliweza kuwadhibiti hawa jamaa ila kwa mahesabu ya long-run israel ingeishia kupata hasara maana kuna mahali israeli wameanza kuchemka,unajua kuwapiga hawa izbolah siyo jambo jepesi inahitaji mikakati ya mda mrefu sasa kuuwa viongoz siyo mkakati unaoweza kubadili hali ya vita hato kidogo ,kubwa ni kuua miundo mbinu yote ya adui inayompa nguvu ya kufanya mashambulizi hilo israel ameshindwa kabisa,yan kiufup bora tuu wamekaa mezani pamoja,kwa upande wa izbolah nao hawana Cha kujivunia maana hata wao malengo yao ya kuipiga tafu Hamas mpaka mwisho hayakutimia kwa haraka kama walivyodhani hivyo hii ngoma ni kati hakuna mshindi
FYI
Shambulio la vifaa vya mawasiliano maandalizi yake yalipangwa Miaka 15.

Israel sio CCM hawana Mwijaku wao wanajali maslahi yao tu... Na sasa hivi wametoa Onyo kwa Assad
 
Mkuu inaonekana una uwelewa mdogo kuhusu mgogoro huu.
Wana jeshi wa Lebanon wapo kusini mwa nchi hiyo miaka yote ,waliondolewa baada ya vita kati ya Israel na Hizbullah kuanza na wamerudi baada ya vita kusitishwa.

Kiufupi, hapo kabla jeshi la lebano walikuwa kama waangalizi wa nyumba, muda huu wanarudi kuwa wamiliki wa nyumba

Lebanon ya kusini ilikuwa ngome ya Hezbollah, Jeshi la Lebanon halikuwa na nguvu yoyote mbele ya Hezbollah, walikuwepo lakini kwa uchache na walifuata masharti ya kutowaingilia Hezbollah.

Baada ya Israel kuidhoofisha Hezbollah, jeshi la lebanon wameenda kuyachukua maeneo hayo na kuwadhoofisha zaidi Hezbollah.
 
Bunge la marekani lilipiga kura kwa ushindi mkubwa kufuta katazo la kuiuzia Israel Silaha lakini Biden kawa jeuri kalazimisha katazo, Biden ana presha kubwa sana ya kutafuta sifa kwa nguvu kwa siku 60 alizobakiza white house, Kafanya hayo ili ajisifie kusimahisha vita kwa siku 60, Baada ya hapo Trump akiingia atafuta hilo katazo.

Nawaona Hezbollah wanashangilia hii cease fire, Kwa hizi facts utawaona ni matahira:

Uongozi mzima wa juu wa Hezbollah ulisambaratishwa, ni aibu kubwa sana leadership kuwa vulnerable kiasi hiki, labda kama hujui maana ya uongozi

View attachment 3164352

Shambulio la Pagers - Hili shambulizi la mwaka, Ni mchanganyiko wa Supply chain attack na Cyber attack, Hezbollah 1,200 waliobeba pagers walifumuliwa viuno na vilivyomo ndani ya mifuko

View attachment 3164357

Israel imeweza kuidhoofisha ngome kuu ya Hezbollah - Lebanon ya kusini ilikuwa ngome kuu ya Hezbollah, Kwa mara ya kwanza kwa kipindi kirefu, Jeshi la Lebanon limediriki kwenda kulichukua eneo hili, hapo kabla jeshi la lebanon walikuwa kama waangalizi wa nyumba lakini muda huu wanarudi kuwa wamiliki wa nyumba, Jeshi la Lebanon halikuwa na nguvu yoyote mbele ya Hezbollah, walikuwepo Lebanon ya kusini lakini kwa uchache na walitii masharti ya kutowaingilia Hezbollah, Baada ya Israel kuidhoofisha ngome hio, jeshi la lebanon wameenda kuyachukua maeneo hayo na kuwadhoofisha zaidi Hezbollah.

View attachment 3164364
Kwani yeye hawezi kutengeneza zake?
 
Kwani yeye hawezi kutengeneza zake?
Israel hawana madini wala eneo la kuwezesha kutengeneza silaha kubwa

Walichonacho ni technology ya kumodify silaha, uchumi mkubwa (dola bilioni 500+) wa kuweza kununua silaha za gharama na Mshirika mwenye nguvu kijeshi anaeweza kutengeneza silaha nyingi
 
Bunge la marekani lilipiga kura kwa ushindi mkubwa kufuta katazo la kuiuzia Israel Silaha lakini Biden kawa jeuri kalazimisha katazo, Biden ana presha kubwa sana ya kutafuta sifa kwa nguvu kwa siku 60 alizobakiza white house, Kafanya hayo ili ajisifie kusimahisha vita kwa siku 60, Baada ya hapo Trump akiingia atafuta hilo katazo.

Nawaona Hezbollah wanashangilia hii cease fire, Kwa hizi facts utawaona ni matahira:

Uongozi mzima wa juu wa Hezbollah ulisambaratishwa, ni aibu kubwa sana leadership kuwa vulnerable kiasi hiki, labda kama hujui maana ya uongozi

View attachment 3164352

Shambulio la Pagers - Hili shambulizi la mwaka, Ni mchanganyiko wa Supply chain attack na Cyber attack, Hezbollah 1,200 waliobeba pagers walifumuliwa viuno na vilivyomo ndani ya mifuko

View attachment 3164357

Israel imeweza kuidhoofisha ngome kuu ya Hezbollah - Lebanon ya kusini ilikuwa ngome kuu ya Hezbollah, Kwa mara ya kwanza kwa kipindi kirefu, Jeshi la Lebanon limediriki kwenda kulichukua eneo hili, hapo kabla jeshi la lebanon walikuwa kama waangalizi wa nyumba lakini muda huu wanarudi kuwa wamiliki wa nyumba, Jeshi la Lebanon halikuwa na nguvu yoyote mbele ya Hezbollah, walikuwepo Lebanon ya kusini lakini kwa uchache na walitii masharti ya kutowaingilia Hezbollah, Baada ya Israel kuidhoofisha ngome hio, jeshi la lebanon wameenda kuyachukua maeneo hayo na kuwadhoofisha zaidi Hezbollah.

View attachment 3164364

FB_IMG_1727119289928.jpg
 
Hezbollah kwa sasa wanategemea zaidi mashambulizi ya kujificha kwa siri, leo wanajificha mlimani kesho kwenye bonde, hawana ubabe wa kuwa na ngome ya kudumu
Kwamba mwanzo hawakua wakijificha si mlikua mnatwambia kwamba wanajificha kwa raia au ilikua uongo
 
FYI
Shambulio la vifaa vya mawasiliano maandalizi yake yalipangwa Miaka 15.

Israel sio CCM hawana Mwijaku wao wanajali maslahi yao tu... Na sasa hivi wametoa Onyo kwa Assad
Israhell kwa maonyo hawajambo walisema wataifuta hamas kiko wapi hizbullah kiko wapi watarejelea North israhell kiko wapi
 
Alieitisha kusitishwa mapigano ni Biden tena kinyume na Bunge lake lililomkataza,

Israel kaweza kuisambaratisha Lebanon ya kusini kwa kiasi kikubwa, hii ni ngome kuu ya Hezbollah, Jeshi la lebanon kwa mara ya kwanza kwa kipindi kirefu imepata ujasiri wa kwenda kusimamia hayo maeneo

Biden hafanyi chochote kisicho na masilahi.na Israel.

Ni kama mwaka 2006, baada Israel kutembezewa kichapo ikaiomba Marekani iitishe ceasefire kupitia UN Security coincil.
 
Watu wanarusha mamia ya makombora na drone kila siku alafu unasema hawana ngome mkuu uko sawa kweli?
wanarushia misituni kwa kujificha na kuhama hama


 
$ 3B ni tone kwenye nchi yenye uchumi wa $500B

Makampuni ya Tech yanawekeza Israel kwasababu wameelimika na wana uwezo mkubwa wa uvumbuzi, Israel inafahamika dunioani kuwa "The start up nation 'ndio nchi inayoongoza kwa mbanano mkubwa wa Tech Start ups zinazofanikiwa

Ulitaka microsoft wafungue ofisi zao za ubunifu kwa wanaorushia vijiti drone ?
Bosi nimekupigia hesabu umezielewa lakini? Msaada wa Usa kwa Israel total ni $310B usd hao ni Usa tu toa Ulaya na Nchi nyengine washirika kama Australia.

Na kuna Makampuni kibao yapo Israel Kisiasa, mfano Mzuri ni intel, Division yao ya Israel ni jipu kila siku ina ingiza hasara na kubebwa mpaka sasa wanakaribia kufilisika ndio wameipiga chini.

Hapo Israel wakristo waarabu ni more educated kushinda kundi lolote lile including jews, wana Elimu na Vumbuzi kibao ila mnapigwa kamba na kudanganyana tu humu.
 
Kiufupi, hapo kabla jeshi la lebano walikuwa kama waangalizi wa nyumba, muda huu wanarudi kuwa wamiliki wa nyumba

Lebanon ya kusini ilikuwa ngome ya Hezbollah, Jeshi la Lebanon halikuwa na nguvu yoyote mbele ya Hezbollah, walikuwepo lakini kwa uchache na walifuata masharti ya kutowaingilia Hezbollah.

Baada ya Israel kuidhoofisha Hezbollah, jeshi la lebanon wameenda kuyachukua maeneo hayo na kuwadhoofisha zaidi Hezbollah.
Huu mgogoro huujui kijana kajifunze upya
 
Kiufupi, hapo kabla jeshi la lebano walikuwa kama waangalizi wa nyumba, muda huu wanarudi kuwa wamiliki wa nyumba

Lebanon ya kusini ilikuwa ngome ya Hezbollah, Jeshi la Lebanon halikuwa na nguvu yoyote mbele ya Hezbollah, walikuwepo lakini kwa uchache na walifuata masharti ya kutowaingilia Hezbollah.

Baada ya Israel kuidhoofisha Hezbollah, jeshi la lebanon wameenda kuyachukua maeneo hayo na kuwadhoofisha zaidi Hezbollah.

Sasa hivi sio hawakuwepo ila walikuwepo kama waangalizi?
Mkuu mbona unaongea kwa mujibu wa hisia zako na sio fact?
Miezi miwili ya vita Israel ilifanikiwa kudhibiti eneo lenye ukubwa wa km 7 tu za mraba ambao ukubwa wake haufiki hata kitongoji kimoja.

Sasa kama Hizbullah alikuwa wamesha ame malizwa mbona zaidi ya miezi 2 majeshi ya Israel yalishindwa kupenya kwenye ngome za Hizbullah mpaka wamekuja kuondoka kwa makubaliano?

Hizbullah haijaondoka kusini mwa Lebanon bali wameunda msitari wa eneo ambalo halitakuwa na mapigano na shughuli za kijeshi kwa pande zote mbili.
 
Kwa mara ya kwanza kwa kipindi kirefu jeshi la Lebanon limeenda kusimamia Lebanon ya kusini na kuwazuia Hezbollah, ni baada ya Israel kkufanya yake
Umejitutumua huu ndio ushahidi? Jeshi gani la lebanon lipo Kusini, lipo stationed wapi na lumewadhibiti vipi Hezbollah?

Na kama Jeshi lumewadhibiti Hezbollah kwanini IDF wameshindwa kuteka hata Choo tu Huko Lebanon miezi miwili?
 
Hezbollah hawana uwezo wa kununua ndege za bilioni 200, achilia mbali gharama za maintanance

Hezbollah hawana uwezo wa kumodify, Israel akinunua hizo ndege anatoa vitu vingi anaweka vyake.

Silaha nyingi Israel ananunua, ni silaha chache sana anapewa.

Huo msaada wa dola bilioni 3 za silaha wanaopewa Israel ni mdogo sana, Kwa mwaka huu uchumi wao umeshuka lakini ni Dola bilioni 500 (Zaidi ya shilingi trilioni moja na nusu) kusanya nchi zote afrika mashariki na kati hazigusi
Subili waje kubisha
 
Bosi nimekupigia hesabu umezielewa lakini? Msaada wa Usa kwa Israel total ni $310B usd hao ni Usa tu toa Ulaya na Nchi nyengine washirika kama Australia.

Na kuna Makampuni kibao yapo Israel Kisiasa, mfano Mzuri ni intel, Division yao ya Israel ni jipu kila siku ina ingiza hasara na kubebwa mpaka sasa wanakaribia kufilisika ndio wameipiga chini.

Hapo Israel wakristo waarabu ni more educated kushinda kundi lolote lile including jews, wana Elimu na Vumbuzi kibao ila mnapigwa kamba na kudanganyana tu humu.
Makampuni ya Tech yanafungua ofisi za ubunifu na uboreshaji wa bidhaa Israel kwasababu Israel wamejikita sana kwenye mambo ya Science hasa kwenye vumbuzi na uboreshaji wa Teknolojia za computer,

makumi na mamia ya mabilioni ya dola huhitajikakufungua ofisi hizi, kama nchi nyingine zinategemea mafuta basi Israel wanategemea elimu ya science kujichotea pesa

Nje ya makampuni ya marekani nakuwekea hapa nchi zingine

Wakorea wameweka ofisi ya Samsung

Wachina wameweka ofisi ya Huawei

Wajapan wameweka ofisi ya Sony na Fujitsu

Wajerumani wameweka ofisi ya Siemens

Finland wameweka ofisi ya Nokia

Sweeden wameweka ofisi ya Erricson

Wadachi wameweka ofisi ya Phillips
 
Bunge la marekani lilipiga kura kwa ushindi mkubwa kufuta katazo la kuiuzia Israel Silaha lakini Biden kawa jeuri kalazimisha katazo, Biden ana presha kubwa sana ya kutafuta sifa kwa nguvu kwa siku 60 alizobakiza white house, Kafanya hayo ili ajisifie kusimahisha vita kwa siku 60, Baada ya hapo Trump akiingia atafuta hilo katazo.

Nawaona Hezbollah wanashangilia hii cease fire, Kwa hizi facts utawaona ni matahira:

Uongozi mzima wa juu wa Hezbollah ulisambaratishwa, ni aibu kubwa sana leadership kuwa vulnerable kiasi hiki, labda kama hujui maana ya uongozi

View attachment 3164352

Shambulio la Pagers - Hili shambulizi la mwaka, Ni mchanganyiko wa Supply chain attack na Cyber attack, Hezbollah 1,200 waliobeba pagers walifumuliwa viuno na vilivyomo ndani ya mifuko

View attachment 3164357

Israel imeweza kuidhoofisha ngome kuu ya Hezbollah - Lebanon ya kusini ilikuwa ngome kuu ya Hezbollah, Kwa mara ya kwanza kwa kipindi kirefu, Jeshi la Lebanon limediriki kwenda kulichukua eneo hili, hapo kabla jeshi la lebanon walikuwa kama waangalizi wa nyumba lakini muda huu wanarudi kuwa wamiliki wa nyumba, hawakuwa na nguvu yoyote mbele ya Hezbollah, walikuwepo Lebanon ya kusini lakini kwa uchache na waliwekewa masharti na Hezbollah wasithubutu kuingilia mambo yasiyowahusu, Ni baada ya Israel kuidhoofisha ngome hio ndio wameweza kupata ujasiri wa kuchukua maeneo hayo na kuwashambulia Hezbollah.

View attachment 3164364
Israel ameamua kusitisha vita hii sio tu kwa sababu ya silaha, ila analaumiwa mno, na wanajeshi wake wamemwaga damu mno kiasi kwamba wanahitaji kujipanga upya. kuna wanajeshi wengi wamejiua na wengine wapo psychiatric kwa damu. damu ya mwanadamu ni damu tu hata kama ni ya gaidi. pia, wamesema wanataka kujipanga na kitishocha Iran. kwa welevu wanajua kuwa wanasubiri waone mwelekeo wa Trump (ambaye binti yake amesilimu kuwa myahudi) atakuwa na mlengo gani.
 
Back
Top Bottom