Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan anazopewa na Super power Iran vipi hazina viwango au tatizo ni nini hasa?Hata Hizbollah ingepewa silaha na Super Power Mzito kama Marekani basi Israel ingechakaa
Unaongea nini we pumbavuHezbollah ni Chama cha siasa na kundi la kijeshi, kuua viongozi wao wa siasa si kuwashinda kwenye medani ya Vita.
Hebu niambie kama unaongea bila bias yoyote IDF wamefanya nini ground invasion yao Lebanon? Miezi 2 wamepiga hatua kieneo kidogo cha kilomita 7 tu, kila wakisonga mbele wanapewa kichapo wanarudi,
Israel hana Tabia ya kutangaza wanajeshi wake wanao kufa ila Lebanon tumeona Mamia ya Viongozi wakubwa wakubwa wa kijeshi Vyeo kama Luten, colonel, staff etc wakitangazwa kufa.
Tumeona Reserve wa Jeshi la Israel wakilazimishwa kureport jeshini mpaka wengine kujiua kwa kukataa kwenda, it's not coincidence walikua wakipukutika.
Israel kapigwa Lebanon, walishindwa nini kusubiria Trump aingie Madarakani kama tatizo ni Biden?
Weka ushahidi wa hii sentensi yako kuwa etiBosi nimekupigia hesabu umezielewa lakini? Msaada wa Usa kwa Israel total ni $310B usd hao ni Usa tu toa Ulaya na Nchi nyengine washirika kama Australia.
Na kuna Makampuni kibao yapo Israel Kisiasa, mfano Mzuri ni intel, Division yao ya Israel ni jipu kila siku ina ingiza hasara na kubebwa mpaka sasa wanakaribia kufilisika ndio wameipiga chini.
Hapo Israel wakristo waarabu ni more educated kushinda kundi lolote lile including jews, wana Elimu na Vumbuzi kibao ila mnapigwa kamba na kudanganyana tu humu.
Nime attach pdf hapo, yenye Matokeo na graduates wa Israel iki cover religious group zote jews, Christians, Muslims na Druze. Soma.Weka ushahidi wa hii sentensi yako kuwa eti
"wakristo waarabu ni more educated kushinda kundi lolote lile including jews, wana Elimu na Vumbuzi kibao"
Kwahiyo wewe unayajua malengo ya Israel dhidi ya Hezbollah??Kwa Israeli ni wazi in short run waliweza kuwadhibiti hawa jamaa ila kwa mahesabu ya long-run israel ingeishia kupata hasara maana kuna mahali israeli wameanza kuchemka,unajua kuwapiga hawa izbolah siyo jambo jepesi inahitaji mikakati ya mda mrefu sasa kuuwa viongoz siyo mkakati unaoweza kubadili hali ya vita hato kidogo ,kubwa ni kuua miundo mbinu yote ya adui inayompa nguvu ya kufanya mashambulizi hilo israel ameshindwa kabisa,yan kiufup bora tuu wamekaa mezani pamoja,kwa upande wa izbolah nao hawana Cha kujivunia maana hata wao malengo yao ya kuipiga tafu Hamas mpaka mwisho hayakutimia kwa haraka kama walivyodhani hivyo hii ngoma ni kati hakuna mshindi
Kwaiyo apo ndio umemjibu Hoja zake!!!!!!Unaongea nini we pumbavu
you dont know nothing...Wiki iliyopita Bunge la marekani lilipiga kura kwa ushindi mkubwa kufuta katazo la kuiuzia Israel Silaha lakini haikuwa hivyo kwa Rais, Biden ana presha kubwa sana ya kutafuta chochote cha kujisifia kwa siku 60 alizobakiza, Alimwambia Netanyahu akubali kustop mashambulizi lasivyo hamuuzii silaha, Netanyahu kwa uchungu imebidi akubali, Biden anajisifia kwenye vyombo kasitisha vita lakini ni kwa siku 60 tu, Baada ya hapo Trump kipenzi cha Israel akiapishwa atafuta katazo
Nawaona Hezbollah wanashangilia hii cease fire, Kwa hizi facts utawaona ni matahira:
Uongozi mzima wa juu wa Hezbollah ulisambaratishwa, ni aibu kubwa sana leadership kuwa vulnerable kiasi hiki, Nasrallah alikuwa anajificha kudhani hawajui alipo lakini kilichomkuta kitabaki kwenye vitabu vya historia.
View attachment 3164352
Shambulio la Pagers - Hili shambulizi la mwaka, Ni mchanganyiko wa Supply chain attack na Cyber attack, Hezbollah 1,200 waliobeba pagers walifumuliwa viuno na vilivyomo ndani ya mifuko
View attachment 3164357
Israel imeweza kuidhoofisha ngome kuu ya Hezbollah - Lebanon ya kusini ilikuwa ngome kuu ya Hezbollah, Kwa mara ya kwanza kwa kipindi kirefu, Jeshi la Lebanon limediriki kwenda kulichukua eneo hili, hapo kabla jeshi la lebanon walikuwa kama waangalizi wa nyumba lakini muda huu wanarudi kuwa wamiliki wa nyumba, hawakuwa na nguvu yoyote mbele ya Hezbollah, walikuwepo Lebanon ya kusini lakini kwa uchache na waliwekewa masharti na Hezbollah wasithubutu kuingilia mambo yasiyowahusu, Ni baada ya Israel kuidhoofisha ngome hio ndio wameweza kupata ujasiri wa kuchukua maeneo hayo na kuwashambulia Hezbollah.
View attachment 3164364
Vipi zile pagers alizowalipuwa nazo hezbollah, vipi safu yote ya juu ya hezbollah kufutwa kama kina Nasrullah?Netanyau vita ilimshinda hii
Huu utafiti ulioleta ni wa mwaka 2014, soma hapo chini utafiti wa miaka miwili baadaye tena toka kwenye credible institution hii ni kuonyesha utafiti ulioleta una walakini mkubwa tena sana na vilevile angalia dini yako takwimu zake.Nime attach pdf hapo, yenye Matokeo na graduates wa Israel iki cover religious group zote jews, Christians, Muslims na Druze. Soma.
Sipati picha West isingempa support Israel sijui angekuwa katika hali ganiKwenye asymetrical warfare israel ndio kachapwa kwa kuwa objective za Netanyahu ni kurudisha masettler north kwa nguvu za kijeshi hilo amefeli viongozi wa hizbullah kuuliwa hio ndio vita soldiers die ili taasisi iendeleee kusimama na their home front iwepo watu walijua wakifanya decapitation things will fall apart ila wapi taasisi imara huendelea kusimama imara hii hizbullah wameonyesha kuwa wao ni taasisi imara despite kuwa faced na entire western intelligence na adui yao kupewe all kinds of support ila vita imeisha kwa makubaliano amani na sio kwa kusign surrender agreement ,world equation of power is shifting midege mikubwa na mimeli mikubwa ni anasa tu vidrone vidogo tu na makombora vinaleta mageuzi makubwa sana ktk uwanja wa mapambano.
Comprehension ni janga la Taifa, Hebu Soma huo utafiti wako una mahusiano gani na tunachoongea hapa? Utafiti wako unaonesha dini Duniani na elimu zao na sio Wakristo wa Palestina,Huu utafiti ulioleta ni wa mwaka 2014, soma hapo chini utafiti wa miaka miwili baadaye tena toka kwenye credible institution hii ni kuonyesha utafiti ulioleta una walakini mkubwa tena sana na vilevile angalia dini yako takwimu zake.
Religion and Education Around the World
We kweli una shida kwenye kufikiri kwako huo ni utafiti kafanya mtu mmoja na tena basi summary yake haina hata takwimu imejaa generalization tupu nimekuletea utafiti wa taasisi ya kimataifa tena credible utafiti wako ulioleta umeshindwa hata kuonyesha hizo vumbuzi unazodai hao christian arabs wamefanya ni zipi. Halafu hivi umeelewa hata kwa nini huo utafiti ulioleta ulifanyika? Motive behind unaijua?Comprehension ni janga la Taifa, Hebu Soma huo utafiti wako una mahusiano gani na tunachoongea hapa? Utafiti wako unaonesha dini Duniani na elimu zao na sio Wakristo wa Palestina,
Hakuna Mtu anaekataa Jews wana Elimu kushinda Wakristo wa Sub Sahara Africa, ama Hindu wa India ama Wakristo wa Ufilipino, hapo juu tunaongelea Specific Wakristo waarabu ambao wanapatikana Israel.
Data nilizokupa zinatoka Wizara ya Elimu ya Israel wenyewe inayosimamiwa na jews sio zangu mimi.
Kama Jews wenyewe wanakiri Wapalestina wakristo wana elimu kushinda wao wewe mwenzangu na mimi utahangaika sana sababu hutapata Source yoyote hata ya Vichochoroni itakayokusaidia.
Boss tunaongelea Christian Israel Arabs nimekuketea data Za serikali ya Israel wewe unaleta data za wakristo wa Dunia nzima huoni data zako hazina maana tunachoongelea? Data za Mkristo wa Sub Sahara ama Mkristo wa Marekani zinahusiana nini na Mkristo wa Palestina ama Israel? Ndio maana nakuambia comprehension ni janga la Taifa? Unakosea kitu na hata hujui kama umekosa, hao pewpew wenyewe wangeona comment yako wangeshangaa unavyowajumuisha kwenye ujinga wako.We kweli una shida kwenye kufikiri kwako huo ni utafiti kafanya mtu mmoja na tena basi summary yake haina hata takwimu imejaa generalization tupu nimekuletea utafiti wa taasisi ya kimataifa tena credible utafiti wako ulioleta umeshindwa hata kuonyesha hizo vumbuzi unazodai hao christian arabs wamefanya ni zipi. Halafu hivi umeelewa hata kwa nini huo utafiti ulioleta ulifanyika? Motive behind unaijua?
Ulicholeta hakina correlation yoyote na uhalisia uliopo na uliothibitishwa kitafiti ila kwa sababu una upande unaousimamia kwa mujibu wa imani yako basi always utaleta article za kuokoteza ili kuthibitisha kile unachoamini.
top2percentscientists.com