Tuweka ushabiki pembeni: Staa gani anajua kuvaa na kupendeza hapa Bongo?

Tuweka ushabiki pembeni: Staa gani anajua kuvaa na kupendeza hapa Bongo?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Jux
125425503_2709491672697369_5204424140464504449_n.jpg


270414592_644494360234981_1613777666711052815_n.jpg


274001609_980131405937371_5548595207742111059_n.jpg


Ommy
275174422_130377786184309_1612704024620991847_n.jpg


263309915_1438612506536902_5960715637957377523_n.jpg


264374030_116676724020836_4898206543748859462_n.jpg


Ali Kiba
202678601_964535744342332_1090780960919914202_n.jpg


231198525_631962371123119_6914552112643146924_n.jpg


87490306_843286146099064_5579722715558377447_n.jpg



Diamond

119685454_169085078116082_3301445019533404251_n.jpg



97093125_165718174980324_1370748384553626749_n.jpg


55.PNG



Kamikaze
164542101_1379094089109383_928443804012055824_n.jpg


108003343_104313257970790_6400812150544782745_n.jpg


87864548_638906170258842_3257219030952284789_n.jpg
 
Ungeweka ushabiki pembeni usingemuweka sadala na nguo za kufanyia mazoezi,za kushindia(japo mwenyewe ndio anaona za mtoko)
 
Mkali diamond platnum tukiacha chuki kabisa dimpozi mwili mkubwa kila fulana kina tight

Kwa mwenye mwili mzuri hapo labda kamikaze
 
Hapa naona umechanganya.
Kuna wanaume na wengine hawaeleki.
Kwa wanaume ni Kamikaze, ali kiba.
Hao wengine sijawaelewa kuanzia mavazi, pozi zao yaani kwangu mie hawajakaa kiume 😁 japo Jux anaongoza.
 
Weka na picha ya ugumu wangu, controla na focustz tuwalinganishe
 
Ao wanavaa midosho hawapendezi hata kidogo.
Angalieni Dp yangu hiyo suti nimenunua 700$
Sasa Mtu anavaa kiatu Cha 20k km diamond na kiba +kuedit picha then mnamsifu.
 
Back
Top Bottom