Tuweka ushabiki pembeni: Staa gani anajua kuvaa na kupendeza hapa Bongo?

Tuweka ushabiki pembeni: Staa gani anajua kuvaa na kupendeza hapa Bongo?

Hapa naona umechanganya.
Kuna wanaume na wengine hawaeleki.
Kwa wanaume ni Kamikaze, ali kiba.
Hao wengine sijawaelewa kuanzia mavazi, pozi zao yaani kwangu mie hawajakaa kiume [emoji16] japo Jux anaongoza.
Sasa kamikaze ana tofauti gan na wengine aunt? [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka mnooo.
 
Sasa kamikaze ana tofauti gan na wengine aunt? [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka mnooo.
Weeee kamikaze mwanaume aunt.
Ona mavazi yake na pozi zake.
 
Weeee kamikaze mwanaume aunt.
Ona mavazi yake na pozi zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aunt usitake nicheke hapa mie.
Ni mwanaume ndyo, ila ana tofaut gan hao wengine?
 
Back
Top Bottom