Tuweka ushabiki pembeni: Staa gani anajua kuvaa na kupendeza hapa Bongo?

Ungeweka ushabiki pembeni usingemuweka sadala na nguo za kufanyia mazoezi,za kushindia(japo mwenyewe ndio anaona za mtoko)
 
Mkali diamond platnum tukiacha chuki kabisa dimpozi mwili mkubwa kila fulana kina tight

Kwa mwenye mwili mzuri hapo labda kamikaze
 
Hapa naona umechanganya.
Kuna wanaume na wengine hawaeleki.
Kwa wanaume ni Kamikaze, ali kiba.
Hao wengine sijawaelewa kuanzia mavazi, pozi zao yaani kwangu mie hawajakaa kiume 😁 japo Jux anaongoza.
 
Weka na picha ya ugumu wangu, controla na focustz tuwalinganishe
 
Ao wanavaa midosho hawapendezi hata kidogo.
Angalieni Dp yangu hiyo suti nimenunua 700$
Sasa Mtu anavaa kiatu Cha 20k km diamond na kiba +kuedit picha then mnamsifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…