Muhimu kavaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi naona Tivu ake
🤣🤣🤣🤣Baba levo
Basi Hili limepita hiv vitu ndio sector yenuJux
kamikaze
Yes, nawakubali hao wanadamuBasi Hili limepita hiv vitu ndio sector yenu
Hapa naona umechanganya.
Kuna wanaume na wengine hawaeleki.
Kwa wanaume ni Kamikaze, ali kiba.
Hao wengine sijawaelewa kuanzia mavazi, pozi zao yaani kwangu mie hawajakaa kiume [emoji16] japo Jux anaongoza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ao wanavaa midosho hawapendezi hata kidogo.
Angalieni Dp yangu hiyo suti nimenunua 700$
Sasa Mtu anavaa kiatu Cha 20k km diamond na kiba +kuedit picha then mnamsifu.
Mjasiri haachi asili..HAYA LANDAo wanavaa midosho hawapendezi hata kidogo.
Angalieni Dp yangu hiyo suti nimenunua 700$
Sasa Mtu anavaa kiatu Cha 20k km diamond na kiba +kuedit picha then mnamsifu.
Usijisumbue ni mhaya low expusureMbona suti inaonekana imekuvaa
NAKAZIA kabisaaaaJux
kamikaze
Kabaiser...
Ila nowadays simwelewi