Tuwekane Sawa; Single mother NI Yule asiyeweza kuhudumia Watoto wake na Anahitaji kutunziwa Watoto na Mwanaume Mwingine àmbaye hakumzalisha

Bado unauliza mantiki tena wakati nimekuelezea karibia mara 100?!

Hii mada yako ni potofu, usijaribu kuondoa maana za maneno kwa kulazimisha tuamini vile unavyotafsiri wewe.

Ebu tupe mantiki ya Kifaru mnyama na Kifaru kifaa cha kivita kwa uelewa wako?

Ukisoma maandiko yangu lazima uwe mzuri kwenye falsafa, Fasihi, na isimu.
Ukiwa umepungua hapo lazima upate utata.

Ndio maana sikulaumu.

Nimekuuliza,
Nimekuuliza unafikiri kwa NINI single mothers wanasemwa vibaya wakati single fathers hawasemwi ILHALI wote wapo kundi Moja?

Nikakuambia, unafikiri ni kwa nini single mothers wasio na uwezo hujihisi vibaya wakisemwa tofauti na Single mothers wenye vipato ambao wanaona hawahusiki na hizo kejeli?
 

Unauelewa na mambo ya Isimu ya Lugha?
 
Nimekupa like, akili nyingi sana
 
Nikisoma kitabu cha Mwanzo mwanamke alipodanganywa na nyoka atakua kama Mungu, akala tunda peke yake Adam akiwa hayupo ili awe juu ya Adam na sawa na Mungu. Naiona akili ya Hawa katka comment yako
 
Bado unauliza mantiki tena wakati nimekuelezea karibia mara 100?!

Hii mada yako ni potofu, usijaribu kuondoa maana za maneno kwa kulazimisha tuamini vile unavyotafsiri wewe.



Mjane ni mwanamke aliyefiwa na Mumewe na asiyejiweza kujihudumia. Mara nyingi wajane huwa kuanzia miaka 60.
Tena asiwe na watoto wa kumsaidia. Huyo ni mjane.

Lakini mwanamke kijana mwenye miaka 20- 40 hawezi kuitwa mjane hata kama amefiwa na mumewe.
 
Nikisoma kitabu cha Mwanzo mwanamke alipodanganywa na nyoka atakua kama Mungu, akala tunda peke yake Adam akiwa hayupo ili awe juu ya Adam na sawa na Mungu. Naiona akili ya Hawa katka comment yako
Kwani unadhani nitakataa sasa, yani kupewa akili ya Hawa ni bonge moja ya sifa umenijaza hapo, mtu aliyefanya tupewe laana ya kifo, sio wa mchezo mchezo ujue
 
😃😃😃 unamfuga dogo anatutukana huku JF alafu anasema yeye ni katibu wa timu kataa ndoa. Sasa kwanini alikuzalisha?

Sisi ukoo wa akina Kimoso hatuna jambo dogo, lazima akuoe asikichezee na kukuzalisha huku anasema yeye ni kataa ndoa alafu kila siku anawananga single mother humu JF wakati naye anataka uwe Single Mother.😀😃😄😁
 

Njoo unioe wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…