Kabisa babu ila kuna sie singo baba tunasahaulika mkuu😁Nashauri tuwapumzishe hao Single Mothers, Kuna wengine walipata mimba Kwa kubakwa na wakaishia kuwa single mother.
Wengine ilitokea Waume zao wamefungwa vifungo vya muda mrefu magerezani, hivyo kubaki na Jukumu la kulea watoto peke yao.
Wengine walijikuta tu wana mimba kama Bikra Mariam🥹Nashauri tuwapumzishe hao Single Mothers, Kuna wengine walipata mimba Kwa kubakwa na wakaishia kuwa single mother.
Wengine ilitokea Waume zao wamefungwa vifungo vya muda mrefu magerezani, hivyo kubaki na Jukumu la kulea watoto peke yao.
Maji ya mwamposa ogeni nyie ,bora nioge maji ya chooni😆😆😆😆Nishakuambia hapo juu wewe ulitelekezwa fanya kuoga maji ya Mwamposa
Hamna kitu kama single father men are called bachelors.
Hahaha........ tafadhali Mjukuu, asitokee Mwanaume akakwambia eti muende nyumbani kwake akakuoneshe sufuria ya plastiki tu 😜Wengine walijikuta tu wana mimba kama Bikra Mariam🥹
Mbona umechelewa kuniambia🙄Hahaha........ tafadhali Mjukuu, asitokee Mwanaume akakwambia eti muende nyumbani kwake akakuoneshe sufuria ya plastiki tu 😜
Nashauri tuwapumzishe hao Single Mothers, Kuna wengine walipata mimba Kwa kubakwa na wakaishia kuwa single mother.
Wengine ilitokea Waume zao wamefungwa vifungo vya muda mrefu magerezani, hivyo kubaki na Jukumu la kulea watoto peke yao.
Babu amazingua babe akee😜😜Mbona umechelewa kuniambia🙄
Walau Singo father hawasimangwi sana kama Singo Maza labda Kwa kuwa hakunaga mtoto wa Baba Bali mtoto ni wa Mama 🤗Kabisa babu ila kuna sie singo baba tunasahaulika mkuu😁
Kabisa mkuu ,nakubali ila mimi pia ni single father 😁😁😁
Ni kweli lakini suala la kulea watoto wawili ama watatu sio la mchezo MkuuKama ukisoma Kwa kina utagundua kuwa namna Bora ya kuwapumzisha single mother wasisemwe nimependekeza wafanye Kazi wajitegemee Hilo jina litakufa automatically
Nijuze mkuu🤔Unafikiri Kwa nini Wanawake hawaoni shida kuwa na single Father?
Kwani Sisi Wanaume tunaolea Watoto pekeetu tunaitwaje?Siyo kweli, je wale wanao mudu kuwalea watoto wao utawaitaje
Kwahiyo Kuna mtu ameshakupeleka nyumbani kwake Kwa gia hiyo Mjukuu? 😜Mbona umechelewa kuniambia🙄
Watoto wangu ni wangu asee hao mama zao washaolewa hawana chao babu😁Walau Singo father hawasimangwi sana kama Singo Maza labda Kwa kuwa hakunaga mtoto wa Baba Bali mtoto ni wa Mama 🤗
Tuna changamoto sna tu ,ila tunawapenda zaidi kuliko mnavyofikiri KapeaceWanaoguswa na changamoto za wanawake kuliko wenye jinsia yao ni wanaume, hongereni kwa muda wenu na mapenzi yenu, mmejipa majukumu ya kushauri kuadhibu?kuhudumia na kuwa wasemaji wa wanawake, ni kama wanaume hamna changamoto zozote kabisa