Mshaanza kutawaliwa endelea kubishana, hiyo ya kumtawala Mungu umeichomekea ili kunitisha au mmeanza kujifananisha na Mungu, mtibeli bhana, sumbukieni yenu yetu tunayamuduHiyo haitakuja kutokea Dunia ingalipo.
Ukiona mwanamke anatawala ujue Nyuma Yake kûna kundi la Mwanaume au Wanaume Fulani wanaomlinda.
Hiyo Ipo hivyo kihistoria na itabaki hivyo Miaka yôte.
Mwanamke akiweza kumtawala Mwanaume ujue Mwanadamu anaweza kumtawala Mungu.
Watasema unajifariji wakati ndo uhalisiaKwa tafiti zangu wanaongooza kuolewa na kupendwa ni wanawake wenye watoto
Hyo ni uhakika na ushahidi ninao
single = asiye na mwenza
mother = mzazi wa kike
single mother = mzazi wa kike, asiye na mwenza(bila kuzingatia kigezo kingine chochote)
ni hivyo tu
tatizo robert unajua kuandika sana, lakini muda mwingine unajichosha tu
Wanaume wenye hela hawana stress za watoto wa watu.W
Watasema unajifariji wakati ndo uhalisia
Bold & UnderlineMimi mara zote huwa natamani kuijua status ya mtu ninayejadiliana nae kuhusu mambo ya kifamilia,kama ulinisoma vizuri nilisema ili kufikia hatua hiyo zipo sababu za msingi zinazosababisha hili,kujenga familia ni kama kujenga nyumba kama mke na mume wanasikilizana watakaa chini kuyajadili hayo.
Either dini au sababu za uzao,mume anataka watoto nane mke uwezo wake wa kuzaa wanne unasemaje hapo?mimi babu yangu alikuwa na wake tisa (9) na wote walijuana na kuheshimiana hao bibi zangu unataka kusema walikuwa wanateswa kihisia?kitu gani leo kinawashinda hawa wetu kuwa hivi?well,ukisasa kama ni ukisasa then akigeuka single mama kwa sababu mume kamweleza ukweli kwamba anahitaji watoto zaidi na kufanya siri hawezi aondoke but ataitwa single mama.
Kabisa huwezi kuwa umetingwa na majukumu ukapata muda wa kusemea matatizo ya mtu mwingine, au kuumia na hasara ya mtu mwingine,Wanaume wenye hela hawana stress za watoto wa watu.
Mwanaume asie na hela mtoto wake Tu anamkimbia.watafute hela waone maisha yalivo
Mshaanza kutawaliwa endelea kubishana, hiyo ya kumtawala Mungu umeichomekea ili kunitisha au mmeanza kujifananisha na Mungu, mtibeli bhana, sumbukieni yenu yetu tunayamudu
Wanaume wenye hela hawana stress za watoto wa watu.
Mwanaume asie na hela mtoto wake Tu anamkimbia.watafute hela waone maisha yalivo
Nikuulize kiufupi tu, heshima aliyopewa mwanaume wa zamani bado anapewa heshima hiyo miaka hii anzio 2010,Tumeanza kutawaliwa Wapi?
Huko Ulaya àmbapo Haki za Wanawake zimeanza kupiganiwa Karibu Miaka Mia Mbili iliyopita bado haijawezekana, wewe unachanganywa na huku kujitegemea Kwa Wanawake ndîo unaita Wanawake kuwatawala Wanaume.
Lengo la movement zote Kúpigania Haki za makundi maalumu kama Wanawake na walemavu ni Kutengeneza usawa na fursa za Haki katika kujitegemea ili Ûtu WA kîla binadamu Bila kujali rangi ya Mtu, jinsia na maumbile.
Mwanamke kujitegemea haina mana maana ndîo anamtawala Mwanaume.
Mwanaume atabaki kuwa Mwanaume Siku zote.
Watu wengi walienda Shule lakini hakuwapata uelewa na Elimu Sahihi ya kujua dhana ya Haki Sawa, Haki za binadamu na masuala ya Usawa ya kijinsia
Dry truth and straight hahahahSingo maza ni singo maza anajulikana no need to coat suger them.
Kumbe ulishampa somo dogo hapa.Single parent family mbona definition ya Civics form one inaeleweka vizuri hii yako umeanza kuipaka paka rangi
Single parent family- is a family of mother/father with child or children
ni kwasababu kwenye jamii za kitanzania, mwanamke mtu mzima kutokuwa na mwenza inachukuliwa kama jambo la fedheha, ni mwiko(taboo)Usiishie Hapo àmbapo hata Mtoto wa darasa la pili akiulizwa atajibu vivyohivyo.
Ukiulizwa, Kwa nini single mother wanaandamwa na kuzungumziwa vibaya Duniani kote kuli single Father, utatoa sababu gàni?
Unafikiri Kwa nini single Father Kuoa kupata mwenza siô tatizo ila single mother hupata upinzani mpaka Ukweni?
Nikuulize kiufupi tu, heshima aliyopewa mwanaume wa zamani bado anapewa heshima hiyo miaka hii anzio 2010,
Mamlaka yenu tunazidi kuyaona ya kawaida sana hamuungurumi wala kututisha tena, tumewakanyaga vilivyo na saiv tunawapanda vichwani bado kuwakalia ili tuwatawale vizuri
ni kwasababu kwenye jamii za kitanzania, mwanamke mtu mzima kutokuwa na mwenza inachukuliwa kama jambo la fedheha, ni mwiko(taboo)
mwiko nikimaanisha ni jambo ambalo jamii kama kundi imeamua kulichukia tokea zamani isiyotambulika
kwasababu sio mwiko kivile mwanaume kutokuwa na mwenzaNaam.
Lakini Mwanaume kuwa single Father siô tatizo
Nilikuwa namuweka sawa, asichanganye madesa, uchumi ni uchumi na single ni single haviingilianiKumbe ulishampa somo dogo hapa.
Namshangaa anavyohusianisha neno "single" na mambo ya uchumi, hajui kuna "double" pia, sijui kaupata wapi huu upupu anaotuwekea hapa.
kwasababu sio mwiko kivile mwanaume kutokuwa na mwenza
mwanaume atakaposemwa sana ni kutokuwa na mtoto
Single parent family mbona definition ya Civics form one inaeleweka vizuri hii yako umeanza kuipaka paka rangi
Single parent family- is a family of mother/father with child or children
Tatizo lako unajigeuza mpiga ramli sasa ili ku justify kosa lako la kimantiki kwenye ku define neno "single" kulingana na mada yako, umeshaelekezwa elewa, acha ubishi.Sasa kwa hiyo definition yako àmbayo Mtoto wa kidato cha Kwanza ataeleza,
Tuambie nini kinasababisha Wanawake single mother kuandamwa na kukejeliwa mitañdaoni Wakati single Father hawafanyiei hivyo?
Kama Moja ya sababu kûbwa siô suala la kiuchumi kuachana na mambo ya Mapenzi?