First of all unapaswa kurudi nyuma kabisa kwenye biblia, kitabu kilichoelezea vizuri zaidi kuhusu historia hii. Abraham/Ibrahim anatambulika kama ndie baba wa taifa la Israel maana yeye ndie baba wa Ishmael na Isaka ambaye kupitia yeye walizaliwa watoto kumi na wawili na hayo ndio makabila kumi na mawili ya Israel, sasa huyu Mzee Abrahamu hakuzaliwa Israel ila alizaliwa Iraq (middle east) na baada ya kuishi kwao kwa kipindi fulani Mungu alimwambia aondoke nchi hiyo aende kwenye nchi atakayo muonesha, mzee akafunga virago vyake hadi kwenye eneo la Israel huo ya sasa na pale aliwakuta watu wakiishi manaake n wenyeji wa pale mzee akaendelea na maisha.
Baada ya kipindi kirefu kupita, Israel walikuja wakawa watumwa Misri huko kwa mafarao kina Mohamed salah na waliishi huko kwa miaka 430, sasa muda anavokuja kuwakomboa na kuwarudisha nyumbani walikuta eneo lile linamilikiwa na makabila mengine na ndipo Mungu alimteua joshua kuwaongoza Israel kuconqure maeneo.
Sasa unatakiwa kujua wale waliokutwa kwenye eneo lile hawakuwa wanajua linamilikiwa na watu gani na pia eneo lile limekaliwa na kutumika na mataifa na makabila mbalimbali sasa shida n kuwa wapalestina wanaona lile n eneo lao na wanahaki ya kuishi pale na waisraeli pia wanatumia historia kuwa lile eneo ni lao na mtafaruku ni mkubwa sana juu ya ardhi ile na ndio maana British aliamua kutenganisha ardhi ile itumike na wote mwaka 1948. Ila mtafaruku bado ni mkubwa sana, na hakuna mwanaintelijensia yeyote atakaeweza kusolve issue ile.
Acha stories za uongo, hao waisrael wa sasa sio hao mnaowasoma ktk biblia.
Nikisema uthibitishe utashindwa.
Ibrahimu hakuishi iraq wala middle east, nikisema uthibitishe pia utashindwa
Tatu: katika kila tukio lazima liwe na ushahidi wa uwepo wake kupitia mabaki, nakala+makala za kihistoria zinazoelezea jambo hilo, sayansi ya kupima uwepo wa jambo hilo/kiumbe huyo kupitia vipimo vya vinasaba na muda wa kuishi kwa kiumbe hicho(carbon 14).
Sasa kwa kutumia shahidi hizi hakuna Proof yoyote inayoonesha huyo ibrahimu aliwahi kuwepo zaid ya stories za biblia, na hapa ndipo hao wayahudi wenu wa uongo walishindwa kujitetea kuwa hiyo ardhi ni urithi kutoka kwa ibrahimu, maana kihistoria hakuna ushahid kuwa kuna mtu dunian aliwai kuitwa ibrahimu au mwenye hayo matukio yafananayo na ibrahimu kuishi iyo ardhi ya palestina.
Pia hao wayahudi wa uongo hawana ushahidi wa kuwepo ardhi hiyo maana hawana vinasaba vinavyoshahabiana na jamii ya eneo hilo, ni sawa na kusema umchukue msukuma leo hii umpeleke ulaya nchi ya sweeden alafu useme ni ardhi yake, wakati tukimpima msukuma huyo kimila+kiutamaduni hafananii na wenyeji wa maeneo hayo wala vinasaba vyake havimatch na majiran wa eneo hilo,lkn ukimchukua mtu wa norway anaweza kufanana kimila na tamaduni na watu wa sweeden why? Sababu ndio asili yake mpaka vinasaba watafanana, so why hao waisrael wenu hawana ushahidi wowote unaowasapoti wao kuwa wamiliki wa hiyo ardhi.
Mkisingizia sjui wayahudi hao hawafanani na jamii za hapo uarabuni sababu ya kukaa nje ya ardhi hiyo kwa muda mrefu basi tutawaletea ushahidi wenye mfano wa ''black Americans" ambao walichukuliwa utumwa kutokea afrika imepita mamia ya miaka lkn leo hii ukiwapima Vinasaba vyao vinafanana na jamii za watu wa maeneo ya afrika kuonesha kuwa huku ndiko asili yao, ila hao wayahudi wenu wa uongo wanakosa sifa ya umiliki ardhi kwa njia ya (1)kisayansi, (2)kihistoria mpka (3)kijamii zaidi tu ya udicteta wa nduguzo wazungu kuwaweka hapo kinguvu.
Amkeni enyi wapumbavu, mtaamini ujinga mpaka lini.