Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere kauli zake na maamuzi yake yalikuwa yanajipinga (contradictory), anahubiri "ujamaa na kujitegemea" wakati huohuo anataifisha mali za watu na kuzifanya za "umma".Hapo kwenye kufeli kwa uchumi nakuunga mkono.
Ishu ya ujamaa haikuwa sahihi kabisa. Ilileta uvivu sana. Ona wenzetu Kenya.
Kimlolongo wa madaraka Mkapa alitakiwa awe Rais wa kwanza
Sera za Magufuli ndio alitakiwa awe rais wa kwanza au wa pili.
Kikwete angefuata then hao waliobakia walitakiwa waje mwaka 2355
Swali ninalijibu kwa style yangu. Unafahamu rhetoric question?Nimekuuliza swali, jibu swali.
Aisee humu ndani kuna watu mna logical minds kwerikweri. Halafu wanakana kwamba hawaenezi udini.Walipigania uhuru kama waislamu au kama watanganyika?
Naona uzi huu mmejazana watoto wa upande ule ili kueneza udini.
Student..Aisee humu ndani kuna watu mna logical minds kwerikweri. Halafu wanakana kwamba hawaenezi udini.
AliveHakuna Cha maana mnachojadili zaidi ya UPUMBAVU tu.
Naona mmemiss sana kumtukana Nyerere.
Haya, Nyerere, Mkapa na Magufuli walikuwa Marais wabovu.
Mwinyi, Kikwete na Samia ni Marais BIRA KABISA.
Nimemaliza. Furahini sasa.
Hakuna Cha maana mnachojadili zaidi ya UPUMBAVU tu.
Naona mmemiss sana kumtukana Nyerere.
Haya, Nyerere, Mkapa na Magufuli walikuwa Marais wabovu.
Mwinyi, Kikwete na Samia ni Marais BIRA KABISA.
Nimemaliza. Furahini sasa.