Tuweke kumbukumbu sawa kilichomtuliza Lulu ndio kitakachomtuliza Paula wa Kajala

[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]haya yote magen kwangu, hv kipindi hcho inster haikuwepo eee
Itakua we mtoto sana yaani au umekuja mjini juzi!Lulu huyu alikua balaaa komba alimjengea nyumba Kimara kauza baada ya kufa Komba ndugu walikua wanamsumbua!lulu nuksiii
 
Nahisi kama umemkosea sana lulu kumlonganiaha na paula, sizan kama lulu ashakuwa na kashfa za hovyo kiasi hiki, zaidi ya kashfa ya kutoka kimapenzi na kumuua The Great Kanumba
Duh we jamaa bana huyu Lulu anskendo kitambo tokea hata hajavuka miaka 16

Skendo na kina kiba
Kina komba
Mapedeshee wa town Kama wote
Kwenye Location za kuigizia walikuwa wanakangea hko hko mbaka kakawa addicted sna na sex
 
Duh we jamaa bana huyu Lulu anskendo kitambo tokea hata hajavuka miaka 16

Skendo na kina kiba
Kina komba
Mapedeshee wa town Kama wote
Kwenye Location za kuigizia walikuwa wanakangea hko hko mbaka kakawa addicted sna na sex
Wachimba madini mwingine hadi akakufwa ikabidi bidada atoke insta kwa muda..
 
Sema alichofanya harmonize ni fundisho kwa mabibi wote huwezi kuwa na binti mdogo ukamchukua kijana lazima atamani dogo dogo
Ile story ya kubumba, Kajala na mwanae wamenunulika kumharibia mtu!! Lakini pia Mtoto mtu ana uhusiano serious na Vanny, so dau la Vanny limekuwa strong kuliko Konde!!
 
Sema alichofanya harmonize ni fundisho kwa mabibi wote huwezi kuwa na binti mdogo ukamchukua kijana lazima atamani dogo dogo
Sasa hivi kajala na Paula ni kama wake wenza
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ma-Leaf Hana Mda Huo, Ndio Kwanza Wako Studio Na Lapcha Wanatengeneza Hits Songs [emoji3][emoji3]... Wewe Muonee Huruma Kajala na Paula Wake na Sio Ma-Leaf
Hawa wamama wa mjini life hii kwao kawaida tu,hata bint yake akienda wrong hajali kikubwa kama anamletea mpunga

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…