Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza

Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza

Fungua macho utazame,

1. Unasema enzi ya JK pesa ilikuwa ni haramu, naomba ufafanue kivipi? wakati watu walikuwa wanafanya kazi na kupata pesa, kwani kipindi cha JK pesa zilikuwa zinagawiwa bure? Kwanini useme eti zilikuwa za haramu?

2. Yaani wewe uchumi kudorora, mzunguko wa pesa haupo ndo unasema huo kwako ndo uchumi halisi? Kuwa serious mkuu.. fungua macho utazame tena kauli yako.
Mkuu ungemwacha tu..darasa lolote lile lazma wawepo bongolala...we endelea kumwaga nondo
 
Hii ni sehemu ya kwanza, nta cover sekta ya biashara, uwekezaji wa nje, viwanda, na ntaelezea kwa kina kuusu madeni ya taifa..

Ila conclusion kabisa ni kwamba 'Magufuli alichofanya ni kukopa pesa nying nje na kufanya plundering ya pesa za wafanya biashara kupitia kodi za kidhalimu ili kujenga uchumi ambao ulielemea katika projects kubwa za miundo mbinu ambayo bado hatujajua itakamilika lini'
.........Mushi,
Naogopa kutaja jina lako la kwanza maana lina-sound kama.......kwa jamii ya Waswahili.
Anyway mimi nakupa kudo's kwa uchambuzi wako makini. Anayepingana na wewe ktk hoja zako hizi Kiuchumi atakuwa ni zwazwa,chizi, mpuuzi na shabiki kindakindaki wa marehemu Jiwe.

Ni dhahiri Jiwe ame- cripple our economy to the very lowest stage!! Jiwe alikuwa ana tamba kuwa "nchi hii ni tajiri sana" ilihali AKIKWAPUA FEDHA YA WAZEE KWENE MIFUKO YA JAMII KIADI CHA KUTISHIA MIFUKO HIYO KUFILISIKA...!! Fikiria wazee wengi waliostaafu kipindi hiki cha marehemu kuna wengi wamekufa bila ya kupata stahiki zao za mafao....! Kuna wazee leo wana mwaka 1-3 au zaidi HAWAJALIPWA!!!???.

Lakini Wababaiishaji na Wapiga debe wa Jiwe waliendelea kumsifu, kumpigia magoti,kumlamba miguu na hata kumwabudu kama vile kimungu fulani hivi! Miradi yote ambayo marehemu Magufuli ameifanya kwa lulazimisha HUKU AKIENDELEA KUWADHULUMU WATZ WALIO WATUMISHI KWA KUWANYIMA STAHIKI ZA MAFAO YAO, NYONGEZA YA MISHAHARA, AJIRA KWA WATZ WALIOKUWA WANA FUZU VYUONI n.k.

Lakni pia upande wa Wafanyibiashara ilikuwa mbaya kuliko maelezo. Biashara nyingi zimefungwa. Tembea mijini utashangaa kuona milango/fremu za maduka zikiwa closed au zina MAGUFULI 2/2( Kufuli la TRA na la MFANYABISHARA)! Kisa? Mfanya biashara ANADAIWA KODI YA MILIONS IF NOT BILLIONS...!!!

Mimi kwa upande wa Miundombinu siwezi kumpongeza Marehemu Jiwe! Huwezi kujenga miundombinu on the expense of Watanzania kwa KUWAUMIZA!! Bado kuna miradi haikuwa na ulazima wowote; mfano IKULU YA CHATO, INTERNATIONAL AIRPORT CHATO NA CHATO NATIONAL PARK....!!!
Kwa Serikali yoyote makini LAZIMA IWE NA VIPA UMBELE KULINGANA NA HALI YA KIUCHUMI! Kwamba kipi kianze kwa umuhimu wake!! Jiwe alikuwa ana kurupuka tu kwa kulazimisha kwenda na MIRADI YOOTE KWA PAMOJA BILA KUJALI PESA IKO WAPI!!! Matokro yake ikawa hii tabia ya UPORAJI WA MALI ZA WAFANYIBIASHARA, WAJASIRIAMALI, WAWEKEZAJI na WATU BINAFSI!!!

Nihitimishe kwa kusema kwamba Marehemu Jiwe ameiacha Tanzania ikiwa taabani kiuchumi. Tunaweza kuona Mifly overs, SGR, BWAWA LA MAGUFULI na Mibombadier lakini WATANZANIA WAKO HOI BIN TAABAN KIUCHUMI!!!. Walokuwa wanasema Jiwe ni Rais wa VITU na siyo WATU they're correct by 100 %!
Kama Mhe. Rais Bi Samia Siluhu Hassan aliye vaa viatu vya Jiwe/Mwamba ataamua kufuata nyayo za JIWE basi Uchumi wa nji hii utaendelea kuumia na kuzidi kuwa kilema. Tusije tukashangaa siku moja TANZANIA INATANGAZWA KURUDI KWENYE NCHI MASKINI kama ilivokuwa...!!

Tusubiri.
 
wengine utatuonea tu,
specialization yetu ni kusoma na kuchangia tu

kuhusu hao waanzisha thread zenye nondo, itabidi tuwaeleweshe tu kuwa hata darasa lenye watoto watukutu wasiojali kuhusu shule zaidi ya kupenda ubishi wa Diamond Vs Ali kiba ,
bado huwa wana waalimu wanaomaliza syllabus kwa kutimiza wajibu tu

ijapokuwa huwa wanajua wanapanda maharage wakitegemea kuvuna mahindi..
"wasted energy"

Sasa usilaumu wanaoweka thread usizopenda wakati wasipoweka hizo, ww/nyinyi mlio neutral hamtaweka kabisa. Hayo mengine kwenye post yako nimeshindwa kuyaelewa.
 
Kwa JK watu walikuwa wakifanya kazi gani? wakati vijana wengi waligezwa mapunda ya kubeba unga, biashara haramu ilishamili enzi za Jk mpaka kuuza viungo vya arubino,kwenye builder Cheng ndio usiseme watu walikuwa wakifa fojali ya kuhalibu shiling yetu,toka Magufuri ameingia madarakani mbona hatusiki dora kupanda? Magufuri alikuwa kiboko wa Mafisadi na wazembe ni hilo tu.
Mwandiko wako tu unakutanabaisha ulivyo mweupe kichwani pure mataga
 
Kwa JK watu walikuwa wakifanya kazi gani? wakati vijana wengi waligezwa mapunda ya kubeba unga, biashara haramu ilishamili enzi za Jk mpaka kuuza viungo vya arubino,kwenye builder Cheng ndio usiseme watu walikuwa wakifa fojali ya kuhalibu shiling yetu,toka Magufuri ameingia madarakani mbona hatusiki dora kupanda? Magufuri alikuwa kiboko wa Mafisadi na wazembe ni hilo tu.
Idiot.
 
Kha!kha!kha!,Usimlaani Bali mwombee alale mahali pema peponi.
Yeye alimwombea beni Saanane? Risasi 16 za lisu mbona alikataza uchunguzi huru ? Azory gwanda unadhani mkewe na watoto wako kwenye trauma kiasi gani kupotea kwa baba Yao mpaka Leo siwezi kumuombea muuwaji alieuwa watu jambazi la chato Lile Mungu ka mmute milele.
 
ilikuwa inaenda kutokea nose crash..huu ndio ukweli lilikuwa suala la muda tu...

Huwezi kujenga nchi kwa kuwatumia wanyonge ambao ni idadi kubwa ya population, Mzee aliamini mzunguko wa hawa wanyonge unaweza kufanya kila anachowaza kufanya... baada ya kuchukua hela zote za wanyonge kwenda kwenye miradi akajikuta miradi haijafika hata nusu ya ujenzi na wanyonge wameishiwa tayari na yeye anataka kusimamisha legacy yake hapo ndio tukaanza kukopa kwa fujo...
 
Watanzania wengi ni masikini na mzunguko wao wa hela ni wa humu humu ndani hawana muunganiko na dunia...ukiwakamua hawa unawamaliza kabisa, ndipo alipokosea Mzee wetu...

Kazi kubwa iliyopo ni kufungua nchi na kuwaunganisha watanzania wengi na dunia, kuileta dunia hapa, serikali kuacha kufanya biashara ili sasa mzunguko uwe mkubwa mtaani..Hali hii itasaidia kuendesha miradi huku maisha mtaani yakiendelea kama kawaida...
 
Siwezi kuuelewa huu uchambuzi unless uniambie kwa nini viwanda vingi abavyo ni vya binasfsi na serikali vilikufa awamu zilizopita na vilianza fufuka awamu ya JPM. Swali lingine kama hali ilikuwa mbaya ya kiuchumi kwa nini tuliingia uchumi wa kati?

Wana wa Israeli walipokuwa wanatoka Misri kwenda Kanani walipitia misukosuko ya kila aina njiani, ilifika mahali wakaanza kumlamu Musa wakisema ni heri warudi kule walipotoka. Kwangu mimi Magufuli ataendelea kuwa Rais bora kuwahi kumshuhudia katika maisha yangu, kwasababu ya ujasiri wake hasa kwenye kutujengea misingi ya nchi yenye uchumi endelevevu kwa siku zijazo.

Kupanga ni kuchagua na ili kufikia maendeleo ya kweli lazima kuna kizazi kijotoe sadaka kwa ajili ya wengine. Wakiloni walivamia Afrika miaka hiyo bila kujali wanyama wakali na magonjwa wakachukua dhahabu na almasi wakaenda jenga nchi zao, leo wajukuu zao wanakula matunda ya jasho la mababu zao.

Ni kweli JPM hakuongeza mishahara na alitoa fao la kujitoa, aliongeza makato kwa wanufaika wa bodi ya mkopo nk, lakini wanachi tulimuelewa nia ya yake, sababu matokeo yake tuliyaona kila tulipo safiri ndani ya nchi hii.

Miradi mikubwa mikubwa kama SGR Dar to Moro takriban 7trill, Nyerere george 6.9trill, Daraja la busis 6.9bill zahanati, vituo vya afya na hospitali za rufaa kila mkoa, masoko na basi stend kila mkoa, ujenzi wa meli ziwa Victoria, Nyasa na Tanganyika, vyote hivi vilihitaji pesa. Kwa akili ya kwaida ukifikiria miradi mingi, ukiacha reli ya SGR ilikuwa inakamilika kabla ya 2024 na ndio maana hayat Rais Magufuli aliwaasa wafanyakazi wawe wazalendo na kwamba angeongeza mshahara kabla hajamaliza muda wake.

Miradi hii mikubwa aliyoianzisha JPM ndio ingeongeza ukusanyaji wa kodi kwa siku za mbeleni na ndio ikafanya nchi iweze kujitegemea. Narudia tena kusema Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi mwenye maono makubwa sana tulichewa kumpata, tulipompata hajadumu. katuachia dira ya maendeleo ya taifa ambayo tukiifuata taifa linakwenda kujitegemea kwa kipindi kifupi.

Siku zote unapotatua matatizo kwa watu wengine unaweza kusababisha matatizo kwa wengine, hatotokea kamwe kiongozi atayewarisha wote. R.I.P JPM.
Amejenga masoko alafu wamachinga wapo kila sehemu, nini faida yake?
 
Siwezi kuuelewa huu uchambuzi unless uniambie kwa nini viwanda vingi abavyo ni vya binasfsi na serikali vilikufa awamu zilizopita na vilianza fufuka awamu ya JPM. Swali lingine kama hali ilikuwa mbaya ya kiuchumi kwa nini tuliingia uchumi wa kati?

Wana wa Israeli walipokuwa wanatoka Misri kwenda Kanani walipitia misukosuko ya kila aina njiani, ilifika mahali wakaanza kumlamu Musa wakisema ni heri warudi kule walipotoka. Kwangu mimi Magufuli ataendelea kuwa Rais bora kuwahi kumshuhudia katika maisha yangu, kwasababu ya ujasiri wake hasa kwenye kutujengea misingi ya nchi yenye uchumi endelevevu kwa siku zijazo.

Kupanga ni kuchagua na ili kufikia maendeleo ya kweli lazima kuna kizazi kijotoe sadaka kwa ajili ya wengine. Wakiloni walivamia Afrika miaka hiyo bila kujali wanyama wakali na magonjwa wakachukua dhahabu na almasi wakaenda jenga nchi zao, leo wajukuu zao wanakula matunda ya jasho la mababu zao.

Ni kweli JPM hakuongeza mishahara na alitoa fao la kujitoa, aliongeza makato kwa wanufaika wa bodi ya mkopo nk, lakini wanachi tulimuelewa nia ya yake, sababu matokeo yake tuliyaona kila tulipo safiri ndani ya nchi hii.

Miradi mikubwa mikubwa kama SGR Dar to Moro takriban 7trill, Nyerere george 6.9trill, Daraja la busis 6.9bill zahanati, vituo vya afya na hospitali za rufaa kila mkoa, masoko na basi stend kila mkoa, ujenzi wa meli ziwa Victoria, Nyasa na Tanganyika, vyote hivi vilihitaji pesa. Kwa akili ya kwaida ukifikiria miradi mingi, ukiacha reli ya SGR ilikuwa inakamilika kabla ya 2024 na ndio maana hayat Rais Magufuli aliwaasa wafanyakazi wawe wazalendo na kwamba angeongeza mshahara kabla hajamaliza muda wake.

Miradi hii mikubwa aliyoianzisha JPM ndio ingeongeza ukusanyaji wa kodi kwa siku za mbeleni na ndio ikafanya nchi iweze kujitegemea. Narudia tena kusema Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi mwenye maono makubwa sana tulichewa kumpata, tulipompata hajadumu. katuachia dira ya maendeleo ya taifa ambayo tukiifuata taifa linakwenda kujitegemea kwa kipindi kifupi.

Siku zote unapotatua matatizo kwa watu wengine unaweza kusababisha matatizo kwa wengine, hatotokea kamwe kiongozi atayewarisha wote. R.I.P JPM.
Mkuu unaweza kutaja viwanda vilivyoinuka upya wakati wa magu?

Mkuu uchumi wa kati upi? Ile lower side tuliyoingia ni kwasababu tumekuwa na increase ya mikopo na sio ya gdp. Wale wanakuingiza kule ili waendelee kukukopesha.
 
JPM ametwaliwa ili watanzania milioni 60 wapone imagine angeendelea kwa miaka mitano nchi ingekuwaje? Na wale wapuuzi wengine walitaka atawale miaka 20 zaidi Mungu akasema nitaliponya taifa langu Tanzania.
Baada ya utawala wake kama ungefikisha miaka 15 ingekuwa sio ajabu kukuta mwanamume/ mwanamke anatembea makalio yako nje.Magufuli alikuwa anarudisha Enzi za Mawe.
 
Back
Top Bottom