Tuweke rekodi sawa, Chini ya Hayati Nyerere na Magufuli, Rasilimali za nchi zilikaa katika mikono salama

Tuweke rekodi sawa, Chini ya Hayati Nyerere na Magufuli, Rasilimali za nchi zilikaa katika mikono salama

Ni kweli lakini walizilinda ilu tufaidike nazo!!?au wafaidike kanisa kubwa KWA malengo yao ya millenia!!?

Coz hizi rasilimali zilizopo hazijawahi kuwa msaada kwa wat wa kawaida bali zikilindwa zinalindwa KWA ajili ya uchumi wa kanisa kubwa tu sio watz!!

Mfano Bandari ilikua ni pango la wajanja na taasisi kupitisha mzigo Bure bila kodi ndio maana ya zile nyaraka za kanisa kubwa lakini tangu zamani hawakuandika nyaraka A Ubadhirifu wa Bandari hiyo na watz kutonufaika ipasavyo lakini kwasababu walikua wanufaika wakakaa kimya!!

Sasa bas kuna watz wataona Bora tukose wote coz hata wazawa na kanisa ni wanyonyaji wakuu!!!

Nafikiri hivyo!!
 
Tafafhali sana Nyerere huwezi kumfananisha na yeyote iwe ndani au nje ya nchi kwa suala La kulinda mali za Umma. Case closed
Mkuu umezaliwa kipindi cha ukweli na uwazi nini?

Shujaa Magu hata Nyerere haoni ndani bhana wee.

Nyerere alikuwa na soni, hawezi kumwambia mtu wazi moja kwa moja mpaka atumie mtu mwingine, ref to: visa vya wahujumu uchumi na vita aliyoianzisha Waziri mkuu marehemu Sokoine 1982, ndiyo inadhihirisha niliyoyaongea.

Ama vipi tafuta kanda za marehemu Mtikila pamoja na za Lisu kidogo, zimebeba ukweli mwingi kuhusu Nyerere.
 
Tanzanite na madini yote kwa ujumla..

Punguza chuki mkuu, mambo aloyafanya JPM ni mengi..
Utasema namchukia ila nikwambia ukweli hakuna kilichohokolewa, yaani kujenga ukuta badala ya kuimarisha sheria na taratibu...wewe unaamini baada ya kujenga ukuta imepunguza uwizi wa Tanzanite? Au Mererani ujawahi kufika?
 
Watanzania mtu wa nje akiwekeza kwenye taifa letu tunamuona kama adui hivi
Ndio ninyi Huwa mnaamini Kuna free trade kati ya nchi za Afrika zisizo na viwanda versus china yenye viwanda.

Hapo hakuna biashara Wala uhuru wa kibiashara kati ya bepari na kapuku Bali ni uporaji.

Tunahitaji tujijenge ndani Ili tuwe na Cha kuuziana na Jirani!!
 
Salaam, Shalom!!!

Kiongozi katika eneo, au JAMII, Nchi nk nk, Huwa ni reflection ya watu anaowaongoza Hasa alikotoka!...
Mbona Mimi sikuona zikininufaisha kama zilikuwa kwenye mikono salama? Saizi ndio nanufaika ilhali nyie mnasema haziko mikono salama,mpaka hapo Mimi nawezaje kuwaona salama kama sio matapeli au mazuzu?
 
Salaam, Shalom!!!

Kiongozi katika eneo, au JAMII, Nchi nk nk, Huwa ni reflection ya watu anaowaongoza!!

Nimewahi kuishi mikoa Fulani kijana anapata shida kidogo tu ya pesa, Badala ya kuvumilia na kuumiza KICHWA, Yuko radhi auze vyote alivyo navyo...
Mwalim mpaka anaachia uongozi hakumiliki hata Prado huyo ndio mzarendo wa kweli haya mengine yalipiga sana kelele ya uzarendo huku wakijikusanyia ukwasi mkubwa sana wa Kodi zetu
 
Mwalim mpaka anaachia uongozi hakumiliki hata Prado huyo ndio mzarendo wa kweli haya mengine yalipiga sana kelele ya uzarendo huku wakijikusanyia ukwasi mkubwa sana wa Kodi zetu
Hao wawili watajwa hapo juu Wana unafuu Fulani.
 
Mbona Mimi sikuona zikininufaisha kama zilikuwa kwenye mikono salama? Saizi ndio nanufaika ilhali nyie mnasema haziko mikono salama,mpaka hapo Mimi nawezaje kuwaona salama kama sio matapeli au mazuzu?
Unachangia mada au unaongea na simu ndugu chawa?
 
Salaam, Shalom!!!

Kiongozi katika eneo, au JAMII, Nchi nk nk, Huwa ni reflection ya watu anaowaongoza Hasa alikotoka!!

Nimewahi kuishi mikoa Fulani kijana anapata shida kidogo tu ya pesa, Badala ya kuvumilia na kuumiza KICHWA, Yuko radhi auze vyote alivyo navyo, ikibidi hata viatu alivyovaa Ili kutatua shida hiyo, wakati mwingine hata Si shida, ni starehe, KAZI ngumu hawafanyi watu wa JAMII hii!!

Nimeishi pia Kanda Fulani ambazo mzazi au vijana hufundishwa kutafuta na kumiliki Mali, kama ni wafugaji, kwao ni fahari kuona mifugo ikiongezeka, Nia Yao ni kuhakikisha vizazi vijavyo vinafaidi Mali hizo Mali hizo, ikiwa ni wakulima, mashamba watanunua hekari nyingi Kwa ajili ya wajukuu na vitukuu nk nk.

Turudi kwenye mada, uongozi chini ya mwalimu Nyerere na Magufuli, pesa ya umma iliheshimiwa, wezi waliogopa kufuja Mali na raslimali za nchi, viongozi Hawa walihakikisha wanarudisha umiliki wa Raslimali za nchi zimilikiwe na wazawa. Tukaona Mabilionea kwenye Tanzanite wakiibuka, migodi nk nk

Tunajua yaliyotokea katika Awamu zingine, Awamu ya pili ndipo milango ilifunguliwa, wakaingia WEMA Kwa waovu vurugu mechi zikatawala,

Roliondo ikaenda chini ya Mzee Mwinyi,

NBC ikauzwa Kwa Bei ya nyanya, migodi ikabinafsisgwa Kwa wageni chini ya Hayati Mkapa,

Chini ya Mzee wa msoga, Gesi yetu ikaenda, madini yakabinafsishwa nk nk

Funga KAZI sasa ni Ile Awamu ya mpito, yaani ni kuuza na Kugawa na kukopa, na ni miaka michache tu, lakini spidi ya kuvuruga ni haielezeki!!

Ushauri: Tupate Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote Ili kuwafunga kengele viongozi wajao, wasijeharibu kama hao niliowaangazia hapo juu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏
Hao unaowakandia wasingefanya ubinafsishaji leo hii
1. Ungekua bado unakula ugali wa mahindi ya njano
2. Unatembelea sasa hivi bukta matako nje ama na viraka
3. Unakaa nyumba za makuti na umasikini mwengine wa kutisha.

Watu kama Kina Mkapa na Kikwete wameweka foundation Kubwa sana nchi hii ila vijana msio na shukrani kama wewe huwezi elewa.

Hio hio NBC ulioitaja ilikuwa inaingiza Hasara ni. ZIGO kwenye nchi ila sababu ya Ubinafsishaji leo ipo Top 3 kwenye kampuni zinazoingiza pato la Nchi.

Wengi tunajifanya "Much know" humu ila ni. Mizigo kwenye nchi kupe ambao tunategemea wanaume wenzetu wahangaike ili tupate barabara na maendeleo ili na sisi tuanzishe nyuzi za Kukandia.
 
Hata Iddi Amini alitunza Rasilimali na kufukuza Wahindi na kuua Waganda je ilisaidia nini?
 
Back
Top Bottom