- Thread starter
- #41
Hayo ni maoni Yako pia yaheshimiwe.Hao unaowakandia wasingefanya ubinafsishaji leo hii
1. Ungekua bado unakula ugali wa mahindi ya njano
...
Ila kumbuka kuwa, Nchi yetu ilikuwa na viwanda Nchi nzima na wananchi waliajiriwa na kuishi vizuri kuliko sasa.