Tuweke rekodi sawa, Chini ya Hayati Nyerere na Magufuli, Rasilimali za nchi zilikaa katika mikono salama

Tuweke rekodi sawa, Chini ya Hayati Nyerere na Magufuli, Rasilimali za nchi zilikaa katika mikono salama

Kuna billions chato huko kwenye uwanja na hazina maana
 
Tafafhali sana Nyerere huwezi kumfananisha na yeyote iwe ndani au nje ya nchi kwa suala La kulinda mali za Umma. Case closed
Ma-ushungi ndiye mbovu kweli kweli kwenye kuuza na kuwadanganya watanzania kuwa hatuwezi kufanya chochote bila kuuza au kukodisha kwa watu. CCM walifanya makosa sana kuchukuwa makamu wa rais wa dizini hii.
 
Wewe ndo umepuyanga kusikojulikana, ustadh tambua kwamba dpworld haiji kubadili sheria zetu za kodi...misamaha kwa taasisi za kidini iko pale pale kisheria.
Punguza chuki kwa kanisa kubwa, BAKWATA siunaona huwa wanaingiza tende za misaada makontena kwa makontena?!.
Bakwata si ni kanisa tu? Au ulikua hujui bwashee?
 
Ukweli halisi ingawa mnauficha na kuupinga sana lakini ndio ukweli halisi, awamu zote za marais wa kiti moto basi ni shida kwa kwenda mbele,

Na hilo mnalijua na kulikiri ndani ya mioyo yenu ila udini unawazidi nguvu

Hakuna awamu zenye raha na neema kama ya pili, inne na sita, na hakika hilo mnalikubali japi kimoyomoyo

Endeleeni kujidanganya ila mjue mficha uchi hazai
 
Ukweli halisi ingawa mnauficha na kuupinga sana lakini ndio ukweli halisi, awamu zote za marais wa kiti moto basi ni shida kwa kwenda mbele,

Na hilo mnalijua na kulikiri ndani ya mioyo yenu ila udini unawazidi nguvu

Hakuna awamu zenye raha na neema kama ya pili, inne na sita, na hakika hilo mnalikubali japi kimoyomoyo

Endeleeni kujidanganya ila mjue mficha uchi hazai
Kwa madeni makubwa aliyokopa Samia , Rais anayefuata 2025 atakuwa na mzigo mzito . Marais wa hizo awamu ulizotaja ni mabingwa wa kukopa . Kukopa sio Neema. Kukopa ni laana .
 
Kwa madeni makubwa aliyokopa Samia , Rais anayefuata 2025 atakuwa na mzigo mzito . Marais wa hizo awamu ulizotaja ni mabingwa wa kukopa . Kukopa sio Neema ni laana .
Bad enough,

Wanakopa Ili zije ziibwe Kisha warudi tena kukopa na kuweka rehani raslimali zetu!!
 
Kweli kabisa JPM still ni jembe. Sio Chura Kiziwi kila kitu anauza
 
Salaam, Shalom!!!

Kiongozi katika eneo, au JAMII, Nchi nk nk, Huwa ni reflection ya watu anaowaongoza Hasa alikotoka!!

Nimewahi kuishi mikoa Fulani kijana anapata shida kidogo tu ya pesa, Badala ya kuvumilia na kuumiza KICHWA, Yuko radhi auze vyote alivyo navyo, ikibidi hata viatu alivyovaa Ili kutatua shida hiyo, wakati mwingine hata Si shida, ni starehe, KAZI ngumu hawafanyi watu wa JAMII hii!!

Nimeishi pia Kanda Fulani ambazo mzazi au vijana hufundishwa kutafuta na kumiliki Mali, kama ni wafugaji, kwao ni fahari kuona mifugo ikiongezeka, Nia Yao ni kuhakikisha vizazi vijavyo vinafaidi Mali hizo Mali hizo, ikiwa ni wakulima, mashamba watanunua hekari nyingi Kwa ajili ya wajukuu na vitukuu nk nk.

Turudi kwenye mada, uongozi chini ya mwalimu Nyerere na Magufuli, pesa ya umma iliheshimiwa, wezi waliogopa kufuja Mali na raslimali za nchi, viongozi Hawa walihakikisha wanarudisha umiliki wa Raslimali za nchi zimilikiwe na wazawa. Tukaona Mabilionea kwenye Tanzanite wakiibuka, migodi nk nk

Tunajua yaliyotokea katika Awamu zingine, Awamu ya pili ndipo milango ilifunguliwa, wakaingia WEMA Kwa waovu vurugu mechi zikatawala,

Roliondo ikaenda chini ya Mzee Mwinyi,

NBC ikauzwa Kwa Bei ya nyanya, migodi ikabinafsisgwa Kwa wageni chini ya Hayati Mkapa,

Chini ya Mzee wa msoga, Gesi yetu ikaenda, madini yakabinafsishwa nk nk

Funga KAZI sasa ni Ile Awamu ya mpito, yaani ni kuuza na Kugawa na kukopa, na ni miaka michache tu, lakini spidi ya kuvuruga na kutapanya raslimali za nchi ni haielezeki!!

Ushauri: Tupate Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote Ili kuwafunga kengele viongozi wajao, wasijeharibu kama hao niliowaangazia hapo juu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏
Sasa zilitusaidia nini zikiwa salama. Si bora zichimbwe tu au kuibiwa kuna wachache watafidika na mzunguko wa pesa utakuwa mkubwa mana watakunywa bia kwa sana na kuhonga madada poa.

Jpm alilinda sawa lakini faida yake ilikuwa nini zaidi ya vyuma kukaza kila sehemu mpaka tulikimbia miji na sasa ndo tunarudi baada ya samia kuweka mazingira mazuri ya biashara
 
Salaam, Shalom!!!

Kiongozi katika eneo, au JAMII, Nchi nk nk, Huwa ni reflection ya watu anaowaongoza Hasa alikotoka!!

Nimewahi kuishi mikoa Fulani kijana anapata shida kidogo tu ya pesa, Badala ya kuvumilia na kuumiza KICHWA, Yuko radhi auze vyote alivyo navyo, ikibidi hata viatu alivyovaa Ili kutatua shida hiyo, wakati mwingine hata Si shida, ni starehe, KAZI ngumu hawafanyi watu wa JAMII hii!!

Nimeishi pia Kanda Fulani ambazo mzazi au vijana hufundishwa kutafuta na kumiliki Mali, kama ni wafugaji, kwao ni fahari kuona mifugo ikiongezeka, Nia Yao ni kuhakikisha vizazi vijavyo vinafaidi Mali hizo Mali hizo, ikiwa ni wakulima, mashamba watanunua hekari nyingi Kwa ajili ya wajukuu na vitukuu nk nk.

Turudi kwenye mada, uongozi chini ya mwalimu Nyerere na Magufuli, pesa ya umma iliheshimiwa, wezi waliogopa kufuja Mali na raslimali za nchi, viongozi Hawa walihakikisha wanarudisha umiliki wa Raslimali za nchi zimilikiwe na wazawa. Tukaona Mabilionea kwenye Tanzanite wakiibuka, migodi nk nk

Tunajua yaliyotokea katika Awamu zingine, Awamu ya pili ndipo milango ilifunguliwa, wakaingia WEMA Kwa waovu vurugu mechi zikatawala,

Roliondo ikaenda chini ya Mzee Mwinyi,

NBC ikauzwa Kwa Bei ya nyanya, migodi ikabinafsisgwa Kwa wageni chini ya Hayati Mkapa,

Chini ya Mzee wa msoga, Gesi yetu ikaenda, madini yakabinafsishwa nk nk

Funga KAZI sasa ni Ile Awamu ya mpito, yaani ni kuuza na Kugawa na kukopa, na ni miaka michache tu, lakini spidi ya kuvuruga na kutapanya raslimali za nchi ni haielezeki!!

Ushauri: Tupate Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote Ili kuwafunga kengele viongozi wajao, wasijeharibu kama hao niliowaangazia hapo juu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏

Awali ya yote, maandishi yangu hayana nia ya kumtetea Samia. Maana najua kuna watu wenye akili fupi wakishaona mtu anahoji utawala wa Magufuli, basi hapo hapo wana conclude mtu huyo anamtetea Samia. That is a false dichotomy and a non sequitur fallacy. Sipo huko.

Nchi yenyewe kila kitu siri, unajuaje unachofikiri unajua ndiyo ukweli?

Magufuli huyu aliyehonga wapinzani ili wajiunge CCM ndiyo unamsema aliweka rasilimali za n hi salama?

Magufuli huyu aliyevunja mikataba kiholela na kusababisha nchi kuingia katika migogoro ya kisheria na kulipishwa pesa nyingi ndiye aliyelinda rasilimali za taifa?

Rasilimali kubwa kabisa ya nchi ni watu, Magufuki huyu aliyekataa sayansi ya chanjo ya Covid-19, na kukataa chanjo, kitu kikichosababisha Covid-19 iue watu wengi , mpaka wa Ikulu yake na baraza lake la mawaziri, na wengine wanasema hata yeye kaishia kufa kwa Covid-19, ndiye unasema alifanya rasilimali za nchi ziwe salama chini yake?

Magufuli aliyeiba chaguzi nzima nzima na kusababisha bunge likose upinzani, na hivyo kuwa rubber stamp ya serikali kupitisha mambo bila majadiliano, ndiye unasema alisababisha maliasili za nchi ziwe salama?

Magufuli huyu aliyeingilia biashara ya korosho na kupelekea kuangusha bei mpaka wakulima wakalia, ndiye unasema alisababisha rasilimali za nchi ziwe salama?
 
Yesu ndiye Mfalme wa Wafalme/ King of Kings.

Mada inaongelea Rais/ Mfalme/ kiongozi mkuu wa Nchi.

Hivyo Yesu ametajwa Mahali pake stahiki.

Kwamba ukiongozwa naye, lazima utawapenda na kuwatumikia vyema wananchi waliokuchagua.
Faizafox
 
Kwa madeni makubwa aliyokopa Samia , Rais anayefuata 2025 atakuwa na mzigo mzito . Marais wa hizo awamu ulizotaja ni mabingwa wa kukopa . Kukopa sio Neema. Kukopa ni laana .
Tatizo wagalatia mnafichiana sana mabaya, yaani hata yesu hapendi, ukweli usemwe,
Hawa wa upande mwingine ni waadilifu sana, yaani nyeupe wataita nyeupe, na nyeusi ni nyeusi tu,
Wamekopa watasema tumekopa, wamepewa msaada watasema tumepewa msaada, ila nyie mnaibia na kudhulumu matajiri halafu mnatangaza ati tunajenga kwa hela za ndani, sasa mnamuongopea nani?
Mficha uchi hazai
 
Nyerere alitutia ujinga akatunyima elimu na uhuru, Mwinyi akatukomboa, mkapa alikua hamsini kwa hamsini, Kikwete akatupa sote sie na nyie fursa, magu akaturudisha shimoni na kutuondolea utu wetu, Mama Mungu ambariki anatupeleka pema sana

Ni Samia mpaka achoke mwenyewe
Hongera sana.

Mficha uchi hazai
 
Aje atoe ufafanuzi maana anasema yeye yuko kwenye dini ya mwenyezi Mungu.
Yesu anafahamika hata katika uislamu,

Ndiye Mungu, Mfalme mkuu ajaye kuuhukumu Ulimwengu juu ya dhambi.
 
Kwenye sekta ya ujenzi wa miundimbinu Magu hana mpinzani tangu nchi ipate uhuru,tatizo ni ukatili na kutopenda kukosolewa,kuua demokrasia na ubabe,hata Hitler na Kagame ni hivyo hivyo,wamejenga nchi zao ila ukijisahau ukamkosoa umepotea,hicho ndio kilimuharibia Magu
mdukuzi kifo Cha MAGU ni hasara kubwa sana Kwa nchi hii,umeona kripu ya Aweso na hao mameneja wa dawasa?upuuzi kama huo ukitumbua unakuwa katili na dikteta? tunakazi sana sisi tunaotegemea huduma zao.
 
Ushauri: Tupate Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote Ili kuwafunga kengele viongozi wajao, wasijeharibu kama hao niliowaangazia hapo juu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏
ccm wote ni wale wale. Bila Katiba Mpya tumekwisha!
 
Back
Top Bottom