Tuweke rekodi sawa, Chini ya Hayati Nyerere na Magufuli, Rasilimali za nchi zilikaa katika mikono salama

Tuweke rekodi sawa, Chini ya Hayati Nyerere na Magufuli, Rasilimali za nchi zilikaa katika mikono salama

Kwenye sekta ya ujenzi wa miundimbinu Magu hana mpinzani tangu nchi ipate uhuru,tatizo ni ukatili na kutopenda kukosolewa,kuua demokrasia na ubabe,hata Hitler na Kagame ni hivyo hivyo,wamejenga nchi zao ila ukijisahau ukamkosoa umepotea,hicho ndio kilimuharibia Magu
Ni mfumo wa CCM ukiwakosoa umeumia. Na wanachukia kweli wenye mawazo mbadala. Lakini wakienda kwao WANAFANYA na sherehe kwakuwa wanajua kaingia zizini tutamfuga tunavyotaka. Kama wote walioenda huko akina Nasari, Katambi, Lijualikali, Gekul nk Sasa Msigwa. Ukiaangalia clip zao na speech zao za wakati huo na mapambio ya leo. Hasa Msigwa aibu na Kwa bahati nilifanikiwa kumuona uso Kwa macho nikiwa Morogoro inasikitisha na hasa kuna wengine hata wamepata vilema Kwa kupitia midomo ya Msigwa Kwa kumwamini. Na hasa Kwa kutumia neno Mchungaji. MUNGU wa Mbinguni atafanya jambo!
 
Ni kweli lakini walizilinda ilu tufaidike nazo!!?au wafaidike kanisa kubwa KWA malengo yao ya millenia!!?

Coz hizi rasilimali zilizopo hazijawahi kuwa msaada kwa wat wa kawaida bali zikilindwa zinalindwa KWA ajili ya uchumi wa kanisa kubwa tu sio watz!!

Mfano Bandari ilikua ni pango la wajanja na taasisi kupitisha mzigo Bure bila kodi ndio maana ya zile nyaraka za kanisa kubwa lakini tangu zamani hawakuandika nyaraka A Ubadhirifu wa Bandari hiyo na watz kutonufaika ipasavyo lakini kwasababu walikua wanufaika wakakaa kimya!!

Sasa bas kuna watz wataona Bora tukose wote coz hata wazawa na kanisa ni wanyonyaji wakuu!!!

Nafikiri hivyo!!
Samia pia ziko salama sana
 
Kwenye sekta ya ujenzi wa miundimbinu Magu hana mpinzani tangu nchi ipate uhuru,tatizo ni ukatili na kutopenda kukosolewa,kuua demokrasia na ubabe,hata Hitler na Kagame ni hivyo hivyo,wamejenga nchi zao ila ukijisahau ukamkosoa umepotea,hicho ndio kilimuharibia Magu
MAGU hakuwa MUNGU,lzm ana upungufu Fulani,lkn Bora yeye watu walifanyakazi,wizi,ufujaji resources ulipungua ni obvious ilikujenga ni lzm kiongozi uwe mkali ili kazi ziende kuliko kuchekacheka, wezi wanaiba na kukusifia kidharaudharau.
 
Wengine watahangaika kukusanya na kutunza Kwa vizazi vijavyo,

Wengine wakija,wao ni starehe, kuzurura, kukopa na kuuza na kutapanya Kisha wanawaachia matatizo watakaopewa kijiti baada Yao.

Kuna tatizo kubwa sana katika ugatuzi wa madaraka Toka kiongozi huyu na yule!!

Suluhu ni Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote!!
Huwa ninaamini Magufuli asinge weza kutuachia mtu ambaye sio wa aina yake.
Wasiwasi wangu tutachiwa mtu wa aina hii hii tulie nae ama inaweza uwa muujiza kama ule w 2015?
Siku zote jana iliandaliwa juzi, jana ikaandaa leo, leo inaandaa kesho.
Sasa kama hali tulio nayo leo basi kesho huwenda ikawa sio njema sana.
 
Ni mfumo wa CCM ukiwakosoa umeumia. Na wanachukia kweli wenye mawazo mbadala. Lakini wakienda kwao WANAFANYA na sherehe kwakuwa wanajua kaingia zizini tutamfuga tunavyotaka. Kama wote walioenda huko akina Nasari, Katambi, Lijualikali, Gekul nk Sasa Msigwa. Ukiaangalia clip zao na speech zao za wakati huo na mapambio ya leo. Hasa Msigwa aibu na Kwa bahati nilifanikiwa kumuona uso Kwa macho nikiwa Morogoro inasikitisha na hasa kuna wengine hata wamepata vilema Kwa kupitia midomo ya Msigwa Kwa kumwamini. Na hasa Kwa kutumia neno Mchungaji. MUNGU wa Mbinguni atafanya jambo!
Kabisa mkuu
 
Ni kweli lakini walizilinda ilu tufaidike nazo!!?au wafaidike kanisa kubwa KWA malengo yao ya millenia!!?

Coz hizi rasilimali zilizopo hazijawahi kuwa msaada kwa wat wa kawaida bali zikilindwa zinalindwa KWA ajili ya uchumi wa kanisa kubwa tu sio watz!!

Mfano Bandari ilikua ni pango la wajanja na taasisi kupitisha mzigo Bure bila kodi ndio maana ya zile nyaraka za kanisa kubwa lakini tangu zamani hawakuandika nyaraka A Ubadhirifu wa Bandari hiyo na watz kutonufaika ipasavyo lakini kwasababu walikua wanufaika wakakaa kimya!!

Sasa bas kuna watz wataona Bora tukose wote coz hata wazawa na kanisa ni wanyonyaji wakuu!!!

Nafikiri hivyo!!
Wewe ndo umepuyanga kusikojulikana, ustadh tambua kwamba dpworld haiji kubadili sheria zetu za kodi...misamaha kwa taasisi za kidini iko pale pale kisheria.
Punguza chuki kwa kanisa kubwa, BAKWATA siunaona huwa wanaingiza tende za misaada makontena kwa makontena?!.
 
Salaam, Shalom!!!

Kiongozi katika eneo, au JAMII, Nchi nk nk, Huwa ni reflection ya watu anaowaongoza Hasa alikotoka!!

Nimewahi kuishi mikoa Fulani kijana anapata shida kidogo tu ya pesa, Badala ya kuvumilia na kuumiza KICHWA, Yuko radhi auze vyote alivyo navyo, ikibidi hata viatu alivyovaa Ili kutatua shida hiyo, wakati mwingine hata Si shida, ni starehe, KAZI ngumu hawafanyi watu wa JAMII hii!!

Nimeishi pia Kanda Fulani ambazo mzazi au vijana hufundishwa kutafuta na kumiliki Mali, kama ni wafugaji, kwao ni fahari kuona mifugo ikiongezeka, Nia Yao ni kuhakikisha vizazi vijavyo vinafaidi Mali hizo Mali hizo, ikiwa ni wakulima, mashamba watanunua hekari nyingi Kwa ajili ya wajukuu na vitukuu nk nk.

Turudi kwenye mada, uongozi chini ya mwalimu Nyerere na Magufuli, pesa ya umma iliheshimiwa, wezi waliogopa kufuja Mali na raslimali za nchi, viongozi Hawa walihakikisha wanarudisha umiliki wa Raslimali za nchi zimilikiwe na wazawa. Tukaona Mabilionea kwenye Tanzanite wakiibuka, migodi nk nk

Tunajua yaliyotokea katika Awamu zingine, Awamu ya pili ndipo milango ilifunguliwa, wakaingia WEMA Kwa waovu vurugu mechi zikatawala,

Roliondo ikaenda chini ya Mzee Mwinyi,

NBC ikauzwa Kwa Bei ya nyanya, migodi ikabinafsisgwa Kwa wageni chini ya Hayati Mkapa,

Chini ya Mzee wa msoga, Gesi yetu ikaenda, madini yakabinafsishwa nk nk

Funga KAZI sasa ni Ile Awamu ya mpito, yaani ni kuuza na Kugawa na kukopa, na ni miaka michache tu, lakini spidi ya kuvuruga na kutapanya raslimali za nchi ni haielezeki!!

Ushauri: Tupate Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote Ili kuwafunga kengele viongozi wajao, wasijeharibu kama hao niliowaangazia hapo juu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni🙏
Hakuna ubishi hilo
 
Ushahidi ni IGA, ipitie mwanzo mwisho uone kama Pana ukomo wa mkataba Ule.

Professor Shivji, TUNDU Lissu, Dr Slaa, Mwabukusi na wataalamu wengine kumbe hukuwaelewa!!
Huu ndio ushahidi?
 
Yesu tena, mkuu ww ni mlokole nini?!
Yesu ndiye Mfalme wa Wafalme/ King of Kings.

Mada inaongelea Rais/ Mfalme/ kiongozi mkuu wa Nchi.

Hivyo Yesu ametajwa Mahali pake stahiki.

Kwamba ukiongozwa naye, lazima utawapenda na kuwatumikia vyema wananchi waliokuchagua.
 
Awamu zote mkapa,Mwinyi ,Kikwete na Sasa Dr Samia rasilimali za nchi zipo salama,mmepewa mdani atuwezi kuchimba unataka yabaki ardhini,nenda marekani wapo watu wa nje wamewekeza sema shida yako ni ubinafsi
 
Awamu zote mkapa,Mwinyi ,Kikwete na Sasa Dr Samia rasilimali za nchi zipo salama,mmepewa mdani atuwezi kuchimba unataka yabaki ardhini,nenda marekani wapo watu wa nje wamewekeza sema shida yako ni ubinafsi
Unauongeleaje uamuzi wa kukodisha bahari Kwa South Korea?
 
Back
Top Bottom