Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda zaidi

Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda zaidi

Uzuri mwanamke akiwa dis interested from the very start anakuwa na vikwazo tu ama mizingulizi!

Sema wanaume wapumbavu wanaona ndio fursa ya kutumia hela sasa kuwashawishi na kweli hapo mwanamke unaweza ku twist akili yake sababu nae anahisi atanufaika na hela zako.

Ni kweli utamlainisha kwa noti ila tu tunapojisahau ni kuwa yule mwanamke hakukupenda from the very start. Uliamsha hisia zake kwa nguvu ya dola tu. Matokeo yake ni kuwa siku supply ya hela ikikata na supply ya mapenzi inakata! Hapo unajikuta tayari ulishalewa na penzi hujielewi kabisa unaanza kulia lia.

Utamlaumu bure kwa vitimbwi vyake ila kimsingi kilichomfanya aje kwako hakioni tena na the bad thing ni kuwa wengi wanakuwa tayari wana connection za kihisia na wanaume wengine. So unakuta zile genuine feelings ziko kwa bill nass ila boss Ruge anakula mzigo kwa sababu tu anampa connections za deals na shows! Hata boss Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaipiga kwa siri na nyumba angejengewa kwa hela za boss Ruge tu.

Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda jamani!
Very well said mkuu,wengi tunajisahau pale mwanzoni gear tulizoingia nazo,unafukuzana na mwanamke anakukataa,unaanza kutafuta pesa,unamrubuni mpaka anakukubali.

Halafu unaanza kutamba mbele ya wenzako kuwa unashangaa yule mwanamke anavyojigonga kwako kumbe umesahau kuwa money talks,pesa ikiisha mwanamke akianza kukutenda unaanza kulilia kuwa mkeo siku hizi kabadilika.

Wife materials wapo ila wakati mwingine wanaume mihemko huwa inatuponza.
 
Mahusiano mengi yapo hivi.
Kuna mmoja anampenda mwenzake kweli na kuna mwingine anampendea kitu au yupo naye basi tu.

Ni mahusiano machache sana ya wanaopendana wote kweli kweli.
Yani mahusiano ni uwanja wa vita hapa nchini😅 maana tuna viziana tu!

Unampenda mtu ambaye yeye hakupendi aisee ni kazi kweli ku deal na drama za ajabu. Hakuna kitu kama upo na mtu basi tu hasa nyie wanawake huyo wa basi tu kuna sababu upo nae japo inaweza isiwe na mashiko.

Kupendana wote inawezekana sana sema tu maisha mara nyingi hayako balanced. Lazma mmoja awe chini mwengine awe juu😅 labda muanzie mapenzi toka sekondari! Muishi kwa upendo hadi utu uzima wenu.
 
Uzuri mwanamke akiwa dis interested from the very start anakuwa na vikwazo tu ama mizingulizi!

Sema wanaume wapumbavu wanaona ndio fursa ya kutumia hela sasa kuwashawishi na kweli hapo mwanamke unaweza ku twist akili yake sababu nae anahisi atanufaika na hela zako.

Ni kweli utamlainisha kwa noti ila tu tunapojisahau ni kuwa yule mwanamke hakukupenda from the very start. Uliamsha hisia zake kwa nguvu ya dola tu. Matokeo yake ni kuwa siku supply ya hela ikikata na supply ya mapenzi inakata! Hapo unajikuta tayari ulishalewa na penzi hujielewi kabisa unaanza kulia lia.

Utamlaumu bure kwa vitimbwi vyake ila kimsingi kilichomfanya aje kwako hakioni tena na the bad thing ni kuwa wengi wanakuwa tayari wana connection za kihisia na wanaume wengine. So unakuta zile genuine feelings ziko kwa bill nass ila boss Ruge anakula mzigo kwa sababu tu anampa connections za deals na shows! Hata boss Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaipiga kwa siri na nyumba angejengewa kwa hela za boss Ruge tu.

Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda jamani!
Ni kosa kubwa sana kujidanganya kwamba mwanamke anapenda. Wee tumia hela ule mbususu basi.

Upendo ipo kwa mama yako tuu
 
Hawa watu bhna omba Mungu tu upate wakuendana na wewe tu vinginevyo ni vitu vizito tu

Mwanamke anakuimbia kila siku et anakupenda ila siku akikugeuzia mgongo unabaki unajiulza hivi ni huyu kweli😂😂na uwekezaji wako wote unabaki unasemana na moyo wako
 
Sasa pachaa ndio namimi naungana na wewe juu ya hilo juu Extrovert anatumabia uongo juu yeye mwenyewe anajua kuwa wanawake hawana upendo bali wanataka hela.
Hahahahah ukijiwekea notion hio unafeli mwanetu😅 binafsi nakuwaga na mademu hawanifanyi ATM na mapenzi wananipa tunafurahia maisha kwa activities mbali mbali na still maisha yanaenda. They are so inlove with my natural characters na vile huwa si fake life.

Kuna muda nashangaa kwanini wahuni mnalia lia ooh mapenzi pesa. Mbona wengine tunaishi nao tu bila kwere😅
 
Hahahahah ukijiwekea notion hio unafeli mwanetu[emoji28] binafsi nakuwaga na mademu hawanifanyi ATM na mapenzi wananipa tunafurahia maisha kwa activities mbali mbali na still maisha yanaenda. They are so inlove with my natural characters na vile huwa si fake life.

Kuna muda nashangaa kwanini wahuni mnalia lia ooh mapenzi pesa. Mbona wengine tunaishi tu bila kwere[emoji28]
Sasa hebu fanya kunipea hao wanawake wako ndio niwe nao
 
Mtoa mada,
Inategemea Lengo lililokupeleka kwenye mahusiano husika,

Sio Kila mahusiano lazima yahusishe mapenz (kupenda&kupendwa), aisee Nikuulize hivi mkuu Ntapenda wangapi Sasa?[emoji3]
Maana tayar nnae mpenda Sana, nayeye ananipenda Sana.

Nikwambie TU mkuu,
Mahusiano mengine tunaanzisha ili kutimiza haja zetu flani flani TU ili maisha yaendelee[emoji4]

Nikupe TU mfano,
Mwanamke nmempendea sex, uyo mwanamke hata akinipenda kwa 1000% bado mimi sitomjali kihisia coz mimi mwnyw simpendi hata kwa 1%.

Zaid Zaid,
Ntamjali kwa material things ili kurahisisha awe confortable kunitimizia malengo yangu yalonipeleka kwake (good sex).

Nije kwenye Suala la kuwekeza sasa,
Hakuna mwanaume TIMAMU anaweza kuwekeza kwa kahaba, kwa kahaba unafata mahaba na sio mapenzi.

Kwa kahaba tunahudumia, hatuwekezi.
Labda tumetofautina tafsiri ya kuwekeza.

Leo nikikuona Extrovert unalilia mapenz Kwa kahaba nae akupende

Ntakuona wee sasa umeanza kua CHIZI[emoji4]
 
Hahahah utazaa na mama yako sio? Mwanamke unamuhitaji sana tu mzee lazma upambane upate anaejielewa
Wee hapa nimekalia offer mbili za wanawake wanataka niwape mbegu...do kafri miaka inavyoenda wanawake wenyewe watatupa ofa tuwape mimba bila kuwaoa.
 
Yani mahusiano ni uwanja wa vita hapa nchini[emoji28] maana tuna viziana tu!

Unampenda mtu ambaye yeye hakupendi aisee ni kazi kweli ku deal na drama za ajabu. Hakuna kitu kama upo na mtu basi tu hasa nyie wanawake huyo wa basi tu kuna sababu upo nae japo inaweza isiwe na mashiko.

Kupendana wote inawezekana sana sema tu maisha mara nyingi hayako balanced. Lazma mmoja awe chini mwengine awe juu[emoji28] labda muanzie mapenzi toka sekondari! Muishi kwa upendo hadi utu uzima wenu.
Yaani ni kuviziana. Muda wote mpo ready to attack na kukimbia.
Hayo ya sekondari yanakuwaga really sana ila baadae mmoja anafunuliwa dunia ilivyo anakengeuka. Anaona aah kumbe maisha yapo hivi na mimi nang'angania mapenzi ya njiwa?

Ndio ile alikiba anasema "nili force kujificha kule, kumba chaka langu ni hapa".

Cha msingi heshima tu hata kama haumpendi mtu kweli.
 
Hawa watu bhna omba Mungu tu upate wakuendana na wewe tu vinginevyo ni vitu vizito tu

Mwanamke anakuimbia kila siku et anakupenda ila siku akikugeuzia mgongo unabaki unajiulza hivi ni huyu kweli[emoji23][emoji23]na uwekezaji wako wote unabaki unasemana na moyo wako
Umeongea fact[emoji4]
 
Back
Top Bottom