Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema mi napenda sana long term relations over hizi za boom bang! Kunakuwa na bond flani kama mkianzia mbali pamoja over the years mko intact.Yaani ni kuviziana. Muda wote mpo ready to attack na kukimbia.
Hayo ya sekondari yanakuwaga really sana ila baadae mmoja anafunuliwa dunia ilivyo anakengeuka. Anaona aah kumbe maisha yapo hivi na mimi nang'angania mapenzi ya njiwa?
Ndio ile alikiba anasema "nili force kujificha kule, kumba chaka langu ni hapa".
Cha msingi heshima tu hata kama haumpendi mtu kweli.
Kuwekeza manaake ni kujiweka yani kutulia nae! Sijamaanisha kumfungulia miradi au kumfanya mwanamke huyo mlemavu wa kutafta maisha na kumjazia mahela huku wewe ukishindia vipande vya mihogoUnaacha kuwekeza kwenye vitega uchumi unataka kuwekeza kwenye vichuma uchumi!
Wanaowekeza kwa majamaa naona wana akili maradufu kuliko kuwekeza kwa malaya wabandika kucha 😅wanaume hawa hawa wafanye ivo,
thubutu
wao wanaona kuwekeza kwa majamaa ndo maisha. unakuta akifa jamaa ake anajua mali zote zilipo adi nyaraka zote anazo.
mama na watoto wana hustle life.
Fanya mambo ya msingi hayo ya kuwekeza kwa mtu utakuja kunywa sumu bure. Yaache yajiset yenyewe.Kuwekeza manaake ni kujiweka yani kutulia nae! Sijamaanisha kumfungulia miradi au kumfanya mwanamke huyo mlemavu wa kutafta maisha na kumjazia mahela huku wewe ukishindia vipande vya mihogo
Utaki watekelezwe,Hahahahah hawa huwa sipendi wachezewe[emoji28] tatizo wahuni mkipewa mbunye mnatelekeza badala muwe watu wema
Hahahahahahah siwezi lilia kahaba mkuu maana mie sipendelei type hizo za kikahaba kahaba huwa napenda vitu flani hybrid. Sio wa kileji sana wala sio wa mjini sana😅Mtoa mada,
Inategemea Lengo lililokupeleka kwenye mahusiano husika,
Sio Kila mahusiano lazima yahusishe mapenz (kupenda&kupendwa), aisee Nikuulize hivi mkuu Ntapenda wangapi Sasa?[emoji3]
Maana tayar nnaempenda Sana, nayeye ananipenda Sana.
Nikwambie TU mkuu,
Mahusiano mengine tunaanzisha ili kutimiza haja zetu flani flani TU ili maisha yaendelee[emoji4]
Nikupe TU mfano,
Mwanamke nmempendea sex, uyo mwanamke hata akinipenda kwa 1000% bado mimi sitomjali kihisia coz mimi mwnyw simpendi hata kwa 1%.
Zaid Zaid,
Ntamjali kwa material things ili kurahisisha awe confortable kunitimizia malengo yangu yalonipeleka kwake (good sex).
Nije kwenye Suala la kuwekeza sasa,
Hakuna mwanaume TIMAMU anaweza kuwekeza kwa kahaba, kwa kahaba unafata mahaba na sio mapenzi.
Kwa kahaba tunahudumia, hatuwekezi.
Labda tumetofautina tafsiri ya kuwekeza.
Leo nikikuona Extrovert unalilia mapenz Kwa kahaba nae akupende
Ntakuona wee sasa umeanza kua CHIZI[emoji4]
Ahahahah mzee mie selection yangu ya pisi huwa inaniuma sana kuwaacha waliwe na fisi maji...Ningekuwa na uwezo ningeoa mademu kadhaa ambao nimekulaga maana wametulia sana mzee.Utalii watekelezwe,
Ila wakiwahudumia bado wahudumiaji mnawaona wapuuzi.
Yaani Ni Kama vile hueleweki Nini unasimamia mkuu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku nako hupawezi,Nimeamua kurudi katika roots zangu siasa za bongo zinantesa
Hahahahah sawa mkuu umeamua kunifukuza kabisa mzee😅 atleast huku hakuna ban maana sitatukana mtu!Huku nako hupawezi,
Bora tu urudi uko uko kwenye siasa ukakimbizane na kesi ya mbowe[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hutakiwi kupenda ambako unaona kabisa huhitajiki hadi ufosi na hela. Mwanamke akikupenda anakupa kila utakacho bila hata kumpa sh.10 yako na kila kitu ata respond positively na hakutakuwa na hali ya kukukomoa.
Sahii kabisa mkuu[emoji4]We utakua unachanganya mambo mawili, sex na investment, ndio maana unawamudu. Sasa hao unaowashauri wa invest jambo moja lazima watakuja kukuanzishia uzi ipo siku wa kukulaumu.[emoji38][emoji38][emoji38]
Hahahahahah sasa unampendaje mke wa mwenzio! Kuwa mkewe tu tayari ni kikwazoWengine sisi wakatoriki na tushaoa tayar,
Hata akijitoa kutupenda atajichosha TU hataolewa MKE wa pili,
Hii ndoa ilokuwepo mpk kifo kitutenganishe[emoji4]
Ni sawa na wewe eti umpende MKE wa mtu, labda uombee mme wake afariki au umuue[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah mkuu sex ni kwa malaya but love ni kwa wife material!