Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jj uhali gani naona uzi umekushikaaNakazia, mtupende sisi tunaopenda
hahahhaah leo tumekumbukwa
Sasa unatushaurije sisi tukatafute Michepuko wanaotupenda.Hahahahahah sasa unampendaje mke wa mwenzio! Kuwa mkewe tu tayari ni kikwazo
Ngoja wanafunzi tuchukue daftari na peniUzuri mwanamke akiwa uninterested from the very start anakuwa na vikwazo tu ama mizingulizi!
Sema wanaume wapumbavu wanaona ndio fursa ya kutumia hela sasa kuwashawishi na kweli hapo mwanamke unaweza ku twist akili yake sababu nae anahisi atanufaika na hela zako.
Ni kweli utamlainisha kwa noti ila tu tunapojisahau ni kuwa yule mwanamke hakukupenda from the very start.
Uliamsha hisia zake kwa nguvu ya dola tu. Matokeo yake ni kuwa siku supply ya hela ikikata na supply ya mapenzi inakata! Hapo unajikuta tayari ulishalewa na penzi hujielewi kabisa unaanza kulia lia.
Utamlaumu bure kwa vitimbwi vyake ila kimsingi kilichomfanya aje kwako hakioni tena na the bad thing ni kuwa wengi wanakuwa tayari wana connection za kihisia na wanaume wengine.
So unakuta zile genuine feelings ziko kwa bill nass ila boss Ruge anakula mzigo kwa sababu tu anampa connections za deals na shows!
Hata boss Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaipiga kwa siri na nyumba angejengewa kwa hela za boss Ruge tu.
Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda jamani!
We kama una mkeo mpende mkeo tu mzee si umeamua mwenyewe mbele ya mashahidi kuwa utakula mbunye moja mpaka kifo kiwatenganishe😅Sasa unatushaurije sisi tukatafute Michepuko wanaotupenda.
Huoni unakua hututendei Haki mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Malaya tunafata ngono,Sasa kwanini vijana mna fall kwa malaya na kuacha wanawake wanaojielewa? Why utumie pesa kumfanya mwanamke akupende? Thats Cowardness
Tushirikiane tumuombee mtoa mada[emoji4]Kaka Kwema lkn au umepigwa na kitu kizto kichwan nn[emoji23][emoji23]
Nahodha chombo kikizama kikatutupa majini ni wewe, na utalipia maafa haya [emoji1787][emoji1787],Andikeni tips msije kulia lia mbeleni[emoji28]
Hata ile ban, bila shaka imeletwa na mengi.Kwema mzee baba, hii ni mada nimepost tu mkuu mie sina tatizo kabisa na hao watu
Nauachia soon japo umenikuna pahaliJj uhali gani naona uzi umekushikaa
Maelezo yako uku kwnyw comments, yanajikanganya sana maelezo yako kwenye mada yako[emoji4]Endelea kuamini hivyo namie nitaamini vingine sababu mapenzi ni hisia basi kila mtu atashinda mechi zake.
Money cant buy love but it can surely buy you sex! Ukinunua ngono kwa pesa usichanganye ngono na upendo.
Hahahahahah ile ban nilipost picha ya yule mmexico mcheza porno walioiona walijua tu ntachezea banHata ile ban, bila shaka imeletwa na mengi.
Hapa usitufiche, kitu kizito kimehusika[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Muendelee kubarikiwa,,,maana tulisahaulika kidogoTunawapenda sana jamani musione mmetengwa😅
Ukiambiwa penda unapopendwa maana yake unatakiwa ubalansi shobo! Sehemu ambayo mwanamke hana interest achana napo usilazimishe kwa hongo za kitapeli!Maelezo yako uku kwnyw comments, yanajikanganya sana maelezo yako kwenye mada yako[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea vyema... Halafu bhn nilichapia kuandika jina badala ya kidot nikaty kudot😊..Sorry mrembo! Ungeandika kidoti kabisa ieleweke io kudot inatuchanganya mashabiki😅😅😅
Well its true inahitaji hekima sana ku deal na mahusiano from the scratch to the top. Ila inawezekana ni kuomba mungu akujalie upate mwanaume asiye mshamba. Mwanaume ambaye ana utu mbona anajulikana ila limbukeni lazma akumenyeshe vitunguu maji!
nauachia soon japo umenikuna pahali
maana tunapenda halafu hatupewi ile hadhi yetu
muanze kutupenda tu hakuna namna,,,mkuu ametuwakilisha
Bado nakuuliza extrovert, unataka upende wangapi Sasa?Yeah hio ni option ambayo kila mwanaume anayo mzee[emoji28] ila haibadilishi ukweli kuwa mapenzi hayapo.
Mwanamke akikupenda ngono atakupa free kwa mapenzi yote na hisia zake juu yako.Maelezo yako uku kwnyw comments, yanajikanganya sana maelezo yako kwenye mada yako[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app