Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda zaidi

Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda zaidi

Mnapendwa sanaaa wanawake na sisi hatuna baya ila sasa shida akili yenu mmeigawa katika mahitaji mengi, mnataka vitu vingi sana kwa wakati mmoja na hakila vitu vyote hivyo kamwe hamuwezi kuvipata kwa MWANAUME MMOJA sasa shida inaanzia hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii IPO pia hata kwa wanaume,
Hapa mkuu Extrovert yeye anataka apate vitu vyote (mapenz na good sex) kwa mwanamke mmoja tu.

Hii haipo kabisa [emoji4][emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnapendwa sanaaa wanawake na sisi hatuna baya ila sasa shida akili yenu mmeigawa katika mahitaji mengi, mnataka vitu vingi sana kwa wakati mmoja na hakila vitu vyote hivyo kamwe hamuwezi kuvipata kwa MWANAUME MMOJA sasa shida inaanzia hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kwa hiyo unashauri mafiga matatu sio?

nimeuliza tu ili tuvipate hahahahahhahaha uwiiiii

Extrovert njoo umsaidie mkuu kujibu
 
Mwanamke akikupenda ngono atakupa free kwa mapenzi yote na hisia zake juu yako.

Hautakaa uwaze kuacha elfu 15 kila baada ya kugonga na wala hatalalamika[emoji28][emoji28][emoji28]
Bado hueleweki,
Nishasema humu Kila mara.
Haina haja ya mwanamke wa nje anipende, maana Mimi nae simpendi.
NATAKA kufaidi TU papuchi yake.

Iyo sex ya kupewa bure hata siitaki, maana itakua chafu afu kwenye mazingira ya hovyo.

Ni Bora nipasuke nikojoe pazur, kuliko kula bure nikojoe pabaya.

Aisee wee jamaa una FUVU GUMU sana [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hueleweki,
Nishasema humu Kila mara.
Haina haja ya mwanamke wa nje anipende, maana Mimi nae simpendi.
NATAKA kufaidi TU papuchi yake.

Iyo sex ya kupewa bure hata siitaki, maana itakua chafu afu kwenye mazingira ya hovyo.

Ni Bora nipasuke nikojoe pazur, kuliko kula bure nikojoe pabaya.

Aisee wee jamaa una FUVU GUMU sana [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha aliokwambia wanaokula free wanakojoa pabaya ni nani😅
 
Unapompenda sana mtu, awe mwanamke ama mwanaume wa jinsia yako, elewa yeye hakupendi kama unavyompenda wewe, yaani upendo wako wewe lazima uwe juu zaidi ya anavyokupenda yeye, huo ni mfumo, kwa hiyo katika upendo huo wewe utakuwa unaburuzwa.
[emoji124][emoji124][emoji124]
Haelewi uyu, labda ukamfunde[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom