Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha....We kama una mkeo mpende mkeo tu mzee si umeamua mwenyewe mbele ya mashahidi kuwa utakula mbunye moja mpaka kifo kiwatenganishe[emoji28]
Kumbeeee!!!! Sawa nitafanya hivyoUnaweza ku edit jina lakini omba mods wakuelekeze tu
Iyo sababu ya uongo bhana,Hahahahahah ile ban nilipost picha ya yule mmexico mcheza porno walioiona walijua tu ntachezea ban
Fanya hivyo chaurembo af uweke na ile profile kabisa😋😊 sawaaaa
Hahahahah mzee baba nilikwambia usitumie ile mzee 😅😅😅 dah bora ungeacha tu ungekuwa na mkeo now🤩🤩🤩🤩mkuu hivi yule dada kipindi kile mpk tukamtrack na mobile tracker vipi mmefunga ndoa tayari
ile kipindi kile uliponipa mtonyo wa hii apps mpka iliharibu ndoa yangu mzee
miaka mingi ishapita now
Hahahahah amini kwamba mzeeIyo sababu ya uongo bhana,
Ayo mapicha picha Nishindwe kula ban Mimi, ukale wewe kweli?[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ulipo-italize Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiambiwa penda unapopendwa maana yake unatakiwa ubalansi shobo! Sehemu ambayo mwanamke hana interest achana napo usilazimishe kwa hongo za kitapeli!
Matokeo yake utaenda kuandikisha kesi za uongo ili mgoni alipe million 5 [emoji28][emoji28][emoji28]
Thats true chief. I concur with you.Uzuri mwanamke akiwa uninterested from the very start anakuwa na vikwazo tu ama mizingulizi!
Sema wanaume wapumbavu wanaona ndio fursa ya kutumia hela sasa kuwashawishi na kweli hapo mwanamke unaweza ku twist akili yake sababu nae anahisi atanufaika na hela zako.
Ni kweli utamlainisha kwa noti ila tu tunapojisahau ni kuwa yule mwanamke hakukupenda from the very start.
Uliamsha hisia zake kwa nguvu ya dola tu. Matokeo yake ni kuwa siku supply ya hela ikikata na supply ya mapenzi inakata! Hapo unajikuta tayari ulishalewa na penzi hujielewi kabisa unaanza kulia lia.
Utamlaumu bure kwa vitimbwi vyake ila kimsingi kilichomfanya aje kwako hakioni tena na the bad thing ni kuwa wengi wanakuwa tayari wana connection za kihisia na wanaume wengine.
So unakuta zile genuine feelings ziko kwa bill nass ila boss Ruge anakula mzigo kwa sababu tu anampa connections za deals na shows!
Hata boss Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaipiga kwa siri na nyumba angejengewa kwa hela za boss Ruge tu.
Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda jamani!
Hahahahaha imeji type mkuu😅😅😅Hapo ulipo-italize Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo maana nakwambia wewe hili jiwe hujatupa gizani,
Hili jiwe umenitupia Mimi Moja kwa moja kiazi wewe[emoji3]View attachment 2111192
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiambiwa penda unapopendwa maana yake unatakiwa ubalansi shobo! Sehemu ambayo mwanamke hana interest achana napo usilazimishe kwa hongo za kitapeli!
[/I]
Katika kuthibitisha tafadhali uwe na mipaka😂😂😂Hahahahah kumbe afoki kweli mzee,,,wacha nikadhibitishe
Hahahahahah pale kweli sponser kamaindi 😅😅😅 uliamua ticha umpige na fimbo ya walimwengu😅Yule mwanamke faller sana[emoji3],
ile kesi Ni Matokeo ya dharau zake na yule ticha wake.
Kupigwa nje hatukatai,ila usimletee sponsa wako ngebe na dharau.
Ilkua ni lazima TU toneshane makali[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app