Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Sasa ka kila mtu akiamua kumpenda mwenzake huoni kuwa dunia itakuwa safe place kwa kila mtu mandam?Mahusiano mengi yapo hivi.
Kuna mmoja anampenda mwenzake kweli na kuna mwingine anampendea kitu au yupo naye basi tu.
Ni mahusiano machache sana ya wanaopendana wote kweli kweli.
Tulia, probation ya maDED imeisha, pengine jina lako lipo mezani msoga, vuta subraNimeamua kurudi katika roots zangu siasa za bongo zinantesa
Very well said mkuu,wengi tunajisahau pale mwanzoni gear tulizoingia nazo,unafukuzana na mwanamke anakukataa,unaanza kutafuta pesa,unamrubuni mpaka anakukubali.Uzuri mwanamke akiwa dis interested from the very start anakuwa na vikwazo tu ama mizingulizi!
Sema wanaume wapumbavu wanaona ndio fursa ya kutumia hela sasa kuwashawishi na kweli hapo mwanamke unaweza ku twist akili yake sababu nae anahisi atanufaika na hela zako.
Ni kweli utamlainisha kwa noti ila tu tunapojisahau ni kuwa yule mwanamke hakukupenda from the very start. Uliamsha hisia zake kwa nguvu ya dola tu. Matokeo yake ni kuwa siku supply ya hela ikikata na supply ya mapenzi inakata! Hapo unajikuta tayari ulishalewa na penzi hujielewi kabisa unaanza kulia lia.
Utamlaumu bure kwa vitimbwi vyake ila kimsingi kilichomfanya aje kwako hakioni tena na the bad thing ni kuwa wengi wanakuwa tayari wana connection za kihisia na wanaume wengine. So unakuta zile genuine feelings ziko kwa bill nass ila boss Ruge anakula mzigo kwa sababu tu anampa connections za deals na shows! Hata boss Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaipiga kwa siri na nyumba angejengewa kwa hela za boss Ruge tu.
Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda jamani!
Yani mahusiano ni uwanja wa vita hapa nchini😅 maana tuna viziana tu!Mahusiano mengi yapo hivi.
Kuna mmoja anampenda mwenzake kweli na kuna mwingine anampendea kitu au yupo naye basi tu.
Ni mahusiano machache sana ya wanaopendana wote kweli kweli.
Ni kosa kubwa sana kujidanganya kwamba mwanamke anapenda. Wee tumia hela ule mbususu basi.Uzuri mwanamke akiwa dis interested from the very start anakuwa na vikwazo tu ama mizingulizi!
Sema wanaume wapumbavu wanaona ndio fursa ya kutumia hela sasa kuwashawishi na kweli hapo mwanamke unaweza ku twist akili yake sababu nae anahisi atanufaika na hela zako.
Ni kweli utamlainisha kwa noti ila tu tunapojisahau ni kuwa yule mwanamke hakukupenda from the very start. Uliamsha hisia zake kwa nguvu ya dola tu. Matokeo yake ni kuwa siku supply ya hela ikikata na supply ya mapenzi inakata! Hapo unajikuta tayari ulishalewa na penzi hujielewi kabisa unaanza kulia lia.
Utamlaumu bure kwa vitimbwi vyake ila kimsingi kilichomfanya aje kwako hakioni tena na the bad thing ni kuwa wengi wanakuwa tayari wana connection za kihisia na wanaume wengine. So unakuta zile genuine feelings ziko kwa bill nass ila boss Ruge anakula mzigo kwa sababu tu anampa connections za deals na shows! Hata boss Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaipiga kwa siri na nyumba angejengewa kwa hela za boss Ruge tu.
Tuwekeze kwa wanawake wanaotupenda jamani!
Hahahahah ukijiwekea notion hio unafeli mwanetu😅 binafsi nakuwaga na mademu hawanifanyi ATM na mapenzi wananipa tunafurahia maisha kwa activities mbali mbali na still maisha yanaenda. They are so inlove with my natural characters na vile huwa si fake life.Sasa pachaa ndio namimi naungana na wewe juu ya hilo juu Extrovert anatumabia uongo juu yeye mwenyewe anajua kuwa wanawake hawana upendo bali wanataka hela.
Hahahah utazaa na mama yako sio? Mwanamke unamuhitaji sana tu mzee lazma upambane upate anaejielewaNi kosa kubwa sana kujidanganya kwamba mwanamke anapenda. Wee tumia hela ule mbususu basi. Cha msingi ni kukojolea pisi kali basi. Upendo ipo kwa mama yako tuu
Sasa hebu fanya kunipea hao wanawake wako ndio niwe naoHahahahah ukijiwekea notion hio unafeli mwanetu[emoji28] binafsi nakuwaga na mademu hawanifanyi ATM na mapenzi wananipa tunafurahia maisha kwa activities mbali mbali na still maisha yanaenda. They are so inlove with my natural characters na vile huwa si fake life.
Kuna muda nashangaa kwanini wahuni mnalia lia ooh mapenzi pesa. Mbona wengine tunaishi tu bila kwere[emoji28]
Hahahahah hawa huwa sipendi wachezewe😅 tatizo wahuni mkipewa mbunye mnatelekeza badala muwe watu wemaSasa hebu fanya kunipea hao wanawake wako ndio niwe nao na juu wewe uko na exrtoperience juu yao utaweza kupata wengine ndio hautakuwa na bitch deficiency.
Sana. Ila sasa ndio haiwezekani.Sasa ka kila mtu akiamua kumpenda mwenzake huoni kuwa dunia itakuwa safe place kwa kila mtu mandam?
Jamaa Anaongelea vitu vy kusadikikaSasa pachaa ndio namimi naungana na wewe juu ya hilo juu Extrovert anatumabia uongo juu yeye mwenyewe anajua kuwa wanawake hawana upendo bali wanataka hela.
Wee hapa nimekalia offer mbili za wanawake wanataka niwape mbegu...do kafri miaka inavyoenda wanawake wenyewe watatupa ofa tuwape mimba bila kuwaoa.Hahahah utazaa na mama yako sio? Mwanamke unamuhitaji sana tu mzee lazma upambane upate anaejielewa
Hahahah daah, hivi yule wa perfume kali aliekupa kumbato la karne uliishia nae wapiKuna mtu nampenda sana aise mpka nachanganyikiwa..ajabu yeye anapenda wali maharage..so [emoji20]
Yaani ni kuviziana. Muda wote mpo ready to attack na kukimbia.Yani mahusiano ni uwanja wa vita hapa nchini[emoji28] maana tuna viziana tu!
Unampenda mtu ambaye yeye hakupendi aisee ni kazi kweli ku deal na drama za ajabu. Hakuna kitu kama upo na mtu basi tu hasa nyie wanawake huyo wa basi tu kuna sababu upo nae japo inaweza isiwe na mashiko.
Kupendana wote inawezekana sana sema tu maisha mara nyingi hayako balanced. Lazma mmoja awe chini mwengine awe juu[emoji28] labda muanzie mapenzi toka sekondari! Muishi kwa upendo hadi utu uzima wenu.
Umeongea fact[emoji4]Hawa watu bhna omba Mungu tu upate wakuendana na wewe tu vinginevyo ni vitu vizito tu
Mwanamke anakuimbia kila siku et anakupenda ila siku akikugeuzia mgongo unabaki unajiulza hivi ni huyu kweli[emoji23][emoji23]na uwekezaji wako wote unabaki unasemana na moyo wako