Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Hivi hiyo photolab ina tofauti gani wa kuzungumziwa hivi mbn mm sielewi maana watu walikuwa wanatumia filter snap na app mbalimbali kuedit picha.Sasa naona hii inatrend kupita maemezi n nn nipo nyuma ya pazia?


kuna watu watasema hiyoo dp yako sio wewe ni photo lab. binadamu hawakosagi chakusema.
 
 
Develop app ya kucounter Deception km Huwezi sungus
Unaongelea fake img na we ukiwa kwa fake Id hujioni ni wale wale
Uzi unaharibika si kitambo kirefu
Unoko unakorezwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi hiyo photolab ina tofauti gani wa kuzungumziwa hivi mbn mm sielewi maana watu walikuwa wanatumia filter snap na app mbalimbali kuedit picha.Sasa naona hii inatrend kupita maemezi n nn nipo nyuma ya pazia?
Labda sababu ya minguo ile sare sare lkn ni mambo yale yale hakuna la ajabu.
 
Shogare angalia utaona ni yeye, pamoja na photo lab bado sura imegoma kabisa 🤣
Hiv watu kwann hawajikubali?
Kwamba pamoja na hio lab still hakuna maajabu yeyote kachunda ka miee tu hapaa nyieee teknolojia inatuletea hekaheka sio kidogo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…