Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Bado imegoma nimecheka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sura za β€œNIPIGE TAFU” hazibebeki
Sura zina stress zinashinda bar kunywa whisky na kuvuta shisha afu uiwekee lab ikubali nani kasema?? 🀣🀣🀣
😁😁🀭

Hio App imekaa kitoto sana!
 
Dah huu uzi bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu acheni watu wasipitwe na challenge.

Kikubwa hazipostiwi...tengeneza for fun.
 
Weka picha tuone
 


Awee kuna sehemu nyngne photo lab yenyewe inafeli asee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Yapo majukwaa husika mkuu usijipe taabu
 
Pole sana kwa yaliyokukuta!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…