Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Hapo umepuyanga sio mimi
Ila mtu huyo namjua kidogoo sio sana
Sema naye anahisi me mkewe, lkn sio me
Me ni mwingine kabisaaa
Sema nawajua wengi humu.
Hebu njoo tena….. unaweza ukapatia [emoji23][emoji23]
Tatizo mnafanana sana
Hata mm kuna.muda nawachanganya[emoji23][emoji23]. Basi ngoja tu niwapende wote
 
Unasema nini wewe? Simjui mtu huyo!! (Kwa sauti ya Petro, anavyomkana Yesu) [emoji1787][emoji1787]
Mnafanana sana mm nachanganyikiwa sijui yupi ni yupi[emoji23]
Wote mna dimples, mna vaa saa, wote weupe
 
Back
Top Bottom