Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Me nabaki nawacheka, zile outfit ndo zinawaumbua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wanaume mafisi watapigwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume enyewe nao wanatumia, mbna kazii ipoo.
 
Kuna kizazi cha watu wajinga wajinga.

So far.. PISI ya Mtandaoni sio kabisa. Kuna watu nawajua LIVE walivyo ila kwenye status sasa kama MZUNGU vile. Kutana nae uone kivumbi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi hiyo photolab ina tofauti gani wa kuzungumziwa hivi mbn mm sielewi maana watu walikuwa wanatumia filter snap na app mbalimbali kuedit picha.Sasa naona hii inatrend kupita maemezi n nn nipo nyuma ya pazia?
Hii iko extra miles zaidi ya edited apps.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] business mogul, ndio ndio

Sio me huyo ni mkeo kyuti na hekaheka zake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka nilivyoona hilo jina na hiyo lotion wanawake wanajazana ujinga
 
Kazi wanayo, mimi hata photoshoot sijawahi kwenda kupoteza muda wangu.
Napigia kisimu changu biashara imeisha, sijichoshi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Semaa kweliii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaa wee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…