Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Kuanzia saa 9 mpaka saa 4 usiku[emoji30][emoji23][emoji23]Kitchen kumenichosha leo [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia saa 9 mpaka saa 4 usiku[emoji30][emoji23][emoji23]Kitchen kumenichosha leo [emoji1787][emoji1787]
Hata hivyo washakoma, picha si zilisambazwa huko ukawekwa kitimoto[emoji23][emoji23][emoji23]Si wangenikoma [emoji1787][emoji1787]
unatengeneza mikorogo kumbe🤣Nimeona mkeo ana lotion ya brand ya jina lake woiii!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2757575
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume enyewe nao wanatumia, mbna kazii ipoo.Me nabaki nawacheka, zile outfit ndo zinawaumbua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wanaume mafisi watapigwa sana
Huyo ni superwoman, anafanya biashara ile watu wanapenda.unatengeneza mikorogo kumbe[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kikubwa mtume maokoto swala la kukutana live ni nyeti kidogo [emoji1787]
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Si umesema mnajuana na mchekiane whatsapp[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kizazi cha watu wajinga wajinga.
So far.. PISI ya Mtandaoni sio kabisa. Kuna watu nawajua LIVE walivyo ila kwenye status sasa kama MZUNGU vile. Kutana nae uone kivumbi.
safi,Huyo ni superwoman, anafanya biashara ile watu wanapenda.
Achana na cosmetics, vipi brands za LV, Zara?
Hii iko extra miles zaidi ya edited apps.Hivi hiyo photolab ina tofauti gani wa kuzungumziwa hivi mbn mm sielewi maana watu walikuwa wanatumia filter snap na app mbalimbali kuedit picha.Sasa naona hii inatrend kupita maemezi n nn nipo nyuma ya pazia?
Washamba wengi😄Kumbe ni app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] business mogul, ndio ndio
Semaa kweliii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi wanayo, mimi hata photoshoot sijawahi kwenda kupoteza muda wangu.
Napigia kisimu changu biashara imeisha, sijichoshi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pepo wa kupenda watoto wazuri kama nyie sio wa kumkemea, huyo pepo acha nikae nae tu[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanahangaika acha tu!
Wameji edit na kila aina ya mafilter wapi sura zimegoma,
Wamepigia pic juani wapate rangi lkn wapi!!
Ss hivi wameamua waingie kwenye hiyo photo lab…… ss outfit zinawaumbua wamekua sare sare maua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuanzia saa 9 mpaka saa 4 usiku[emoji30][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] photo lab, hata kunistua hainistuii.Mimi niliidownload na kuijaribu kama dakika 2-3 nikaifuta na sitaki hata kuisikia.
Hata hivyo washakoma, picha si zilisambazwa huko ukawekwa kitimoto[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaa wee!!!Kuna mmoja humu alitoa ushuhuda, alikutana na bonge la mama jeusi afu nene [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabla hawajameet, unaambiwa full mibebishano kimalkia cha kuunga na bigijii kingi, lahaulah!! lakwata! Kumuona live age ya mama ake mzazi, yani anamzaa huku anapiga deki [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku utapigwa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulikuwa tunasogeza muda ili tuendelee na mengineyo