Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
-
- #41
Umakini uongezeke bado kule tinder, lovoo, tagged watoto wazuri wanaongezeka gafla mno alafu wanaonekana wabichi hasa ukijichanganya umeliwa kichwaNaona huko mjini fb kila mtu ni mrembo [emoji23]
Hiyo tayari ni changamoto ya kimaadili mkuu. Tunawarekebisha vijana kwa namna hiyo.... jamani anzisheni mada za kuchochea mawazo ya kulipelekea taifa mbele - changamoto za kijamii, kiuchumi, kisiasa, kimaadili, ajira, n.k. Hizi akili za kila mara kuwaza katikati ya magoti na kitovu cha mwanamke, "Tigers of the East" tutaendelea kuimba kama kasuku tu.
Unagegeda hivyo hivyo huku unavuta hisia na picha yake aliyo edit na photo lab.. akili inabidi iwe huko asee. Huku chuma kipo chini
😂😂 ni mwendo wa kuviziana stendiUmakini uongezeke bado kule tinder, lovoo, tagged watoto wazuri wanaongezeka gafla mno alafu wanaonekana wabichi hasa ukijichanganya umeliwa kichwa
Duh wanajiwekea mzigo?...sasa si nikimchek kwa mbal hana mzgo nakula konaMkuu huo mtandao hadi hayo makitu unawapa mzee, sasa ngoja uingie mkenge..dawa ni kukutana ana kwa ana unachagua mali yako kwa macho huku ukiona vitu live hatakama ni mchina
Vitwotwo ndo vinahangaika...Imekaa kitoto sana....
Ukiona mtu mzima na akili zake ametumia hizo editing kuna shida mahali...
Tatizo mnatuchanganya sana.Vitwotwo ndo vinahangaika...
Halafu na ww mwanaume hujui photo ambayo iko edited??
Hahha pole mkuuTatizo mnatuchanganya sana.
🤣Ukikutana na mwanamke ambaye ni tofauti na picha yake. Hit and run.
Ukiandika mada fikirishi Wana JF Hawachangii sana.wanataka tunda kimasihara🤣🤣🤣🤣🤣... jamani anzisheni mada za kuchochea mawazo ya kulipelekea taifa mbele - changamoto za kijamii, kiuchumi, kisiasa, kimaadili, ajira, n.k. Hizi akili za kila mara kuwaza katikati ya magoti na kitovu cha mwanamke, "Tigers of the East" tutaendelea kuimba kama kasuku tu.
Uko hewani nikupe sample chap??Sample?