Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Hiyo tayari ni changamoto ya kimaadili mkuu. Tunawarekebisha vijana kwa namna hiyo.
 
Mimi picha za nini.
Nikienda kupata massage nakutana na vitu LIVE. Tena Mimi hua natakaga Ile body to body massage ili nione maungo yake LIVE bila chenga
 
Mkuu huo mtandao hadi hayo makitu unawapa mzee, sasa ngoja uingie mkenge..dawa ni kukutana ana kwa ana unachagua mali yako kwa macho huku ukiona vitu live hatakama ni mchina
Duh wanajiwekea mzigo?...sasa si nikimchek kwa mbal hana mzgo nakula kona
 
Sikuwa naijua mpaka last weekend mdogo wangu akanambia simu yako ina Gbs. Nimdownlodie photo lab.
Nikamuuliza ni nini? Akanishangaa why sijui 🤣 na wakati anajua circle yangu ina mishangazi tupu.. tutajulia wapi

Dogo akashinda na simu yangu.. kilichotokea kiko Avatar 🤣🤣💥

NB. Ni mpuuzi pekee ndio atashindwa kutofautisha picha halisi na photo lab.
 
Ukiandika mada fikirishi Wana JF Hawachangii sana.wanataka tunda kimasihara🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…