Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Tuweni makini na picha za wanawake kuna ujio wa app ya Photo Lab

Shogare angalia utaona ni yeye, pamoja na photo lab bado sura imegoma kabisa [emoji1787]
Hiv watu kwann hawajikubali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nani huyooo??
 
Bado imegoma nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23]
Sura za “NIPIGE TAFU” hazibebeki
Sura zina stress zinashinda bar kunywa whisky na kuvuta shisha afu uiwekee lab ikubali nani kasema?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Una kirangaaa komoo sanaa.
Khaaah
 
Sio me huyo ni mkeo kyuti na hekaheka zake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka nilivyoona hilo jina na hiyo lotion wanawake wanajazana ujinga
Hii brand kyuti kaishika sana huko katoro, mpwapwa, mbarali na tunduma[emoji23]
 
Ndio shem wake kyuti, nataka niwasaidie wanaopenda kuwa weupe wasiteseke kutumia photo lab [emoji1787][emoji1787]
Waambie hii kitu ni moto km waarabu wa dp weldi vile watakavyo shine [emoji1787][emoji1787]
Anataka huyo, huoni anaiulizia sana[emoji23]
 
Hapo umepuyanga sio mimi
Ila mtu huyo namjua kidogoo sio sana
Sema naye anahisi me mkewe, lkn sio me
Me ni mwingine kabisaaa
Sema nawajua wengi humu.
Hebu njoo tena….. unaweza ukapatia [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom