Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Wewe nipe account yako hilo nitajuaje niachie mimi 🤣😂 sasa utaonaje kwani mim ndie niliepost? User name inayotakiwa ni ya mpost shombo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nipe account yako hilo nitajuaje niachie mimi 🤣😂 sasa utaonaje kwani mim ndie niliepost? User name inayotakiwa ni ya mpost shombo
We unachotaka n ac yangu sio kumuona huyo wa maneno ya shomboWewe nipe account yako hilo nitajuaje niachie mimi 🤣
Hatareee 😜Naona jana uliwapikiamo wageni chakula kitamu kweri kweri😎
🤣🤣🤣We unachotaka n ac yangu sio kumuona huyo wa maneno ya shombo
Naijua hiyo😎😂🤣🤣🤣
Nipe bas nawe mbona hivo??
Basi hiyo jpili tufanye unipikie mimi nije 😅Hatareee 😜
Wageni ilikuwa mtafutano, wanaomba na jpili waje tena.
Nimewaambia “MNIKOME” mshageuza kwangu kwa mama ntilie 🤣🤣🤣
Unaijua ndio vitu gani?!!Naijua hiyo😎😂
😂 nije nikute makomenti yanasema Half mwenyewe mfupi kama stuli ya mbilikimoUnaijua ndio vitu gani?!!
Mtoto wa kiume unakuwa muoga muoga 🤣🤣🤣
Usinipambanishe na waume za watu dada!!Msalimie Countrywide 😅😅😅
😜Basi hiyo jpili tufanye unipikie mimi nije 😅
kitu cha wali maharage na my wetu 🐖kwa pembeni😜
Sema unapendelea msosi upi?
Niandae mahitaji kabisa 🤣🤣
Miss u freshUsinipambanishe na waume za watu dada!!
Ana mkewe huyo bwana Countrywide anaitwa cute ohoo!! 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣😂 nije nikute makomenti yanasema Half mwenyewe mfupi kama stuli ya mbilikimo
Kama sio ugonjwa kwanini koment zinasomekaga hasi kwa sisi wafupi ?😂😂😂🤣🤣🤣
Nipe bhana achana na maneno ya wapuuzi, kwani ufupi ugonjwa!!
Menu yako ngumu 🤣🤣🤣kitu cha wali maharage na my wetu 🐖kwa pembeni
Wewe me sio huyo unayemsema bhana 🤣Miss u fresh
Kwani we hutumiagi?Menu yako ngumu 🤣🤣🤣
Ila nitajitahidi, ss huyo my wako ndio ananichanganya huwezi kubadilisha tuweke hata mee au moo?
Nitajitahidi itoke km ya my wako 😜
Hata sukari ya u fresh ni kali sana 😂Wewe me sio huyo unayemsema bhana 🤣
Me natumia vitu vikali
Tatizo lenu wajuaji sana afu wabishi!!🤣🤣Kama sio ugonjwa kwanini koment zinasomekaga hasi kwa sisi wafupi ?😂😂😂
Huu mkopo Kausha damu au chupi mkononi😀😀nijue mapemaUje usuke hata mara moja ntalipa alafu utalipia kidogo kidogo 😅😎