Tuzae na wanawake wazuri ili watoto wetu wasikose ajira huko mbeleni

Nakupinga ktk hilo tena uache kuwakatisha watu tamaa.
 
Great think, your matured enough
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji847]kuna pisi naijua ni meneja mkubwa sana kwenye kampuni kubwa sana hapa tz Ila kichwani mmmhh. Sema ana sura nzuri, anavaa vimini vifupi sana vinavyonyesha mapaja yake meupe.....
 
Ila kweli ukiwa na sura personal bwana watu hawakupi kazi. Nimeipenda sentensi yako ya mwisho👍
 
Haiwezekani wote kuzaa na royal family,ila huku mitaani kuna pisi kali zizalisheni achaneni na manungayembe hayo
[emoji1787][emoji1787]
Juzi nilisimamisha pic yenye msambwanda unaonesanesa na kusuguana, vile ananigeukia, nilitoka balu, speed 4G+ LTE
 
Achana na mademu wabovu mkuu utaharibu genes
Mimi hansome kuliko watu wote hapa JF, very handsome, hivyo na mke wangu mwarabu 75% ana kila kitu mrembo wa hali ya juu sana anatakiwa kuwa nacho, hips, tako, urefu 6 feet, mm 6.5ft, soft hair, watu wa Arusha sisi, i created and own multiple businesses, ila nachosema, kiukweli, ajira haina uhusiano na uzuri wa sura nzuri, nadhani good brain ndio inatakiwa, trust me, mwanamke mzuri awe mzuri kwa ajili ya kukupa good love incl. sex, ila ajira ni kitu kingine kabisa, sura haihusiki.
 
Yule sio mzuri,bora shilole,hebu niambie shilole kichwani kuna nini?ila muonekano unambeba na ametusua maisha
Shilole anauzuri gani Mkuu? Au kile kibabyfesi ndo unaona mzuri?
 
Ina mchango kwa baadhi ya kazi,trust me JK alibebwa na wajihi,kuna bank sihitaji customer service wanaangalia sana wajihi,kuna shule inaitwa dakawa,form five selection head master alikuwa anachagua pisi kali tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…