Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Naunga mkono hoja
Marobot yatapinga
Marobot yatapinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kwa bahat mbaya watoto waamue kufanana na wewe.Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani.
Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba.
Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu jiangalie kwenye kioo unamvuto? Unaombaje kazi inayokutaka udeal na watu huku ukiwa na sura au muonekano usiovutia?si ukasomee ufundi mchundo kama mimi.
Hitimisho, unataka wanao wasikose ajira?zaa na pisi kali uwasaidie watoto wako wasihangaike kutoswa kwenye interview.
Nimeongelea kuzaa sio kuoa,tusioe jamani.
[emoji23][emoji23]Sawa kwa bahat mbaya watoto waamue kufanana na wewe.
Kwanini usifikirie kuzaa na watu wenye status fulani, katika majukumu yangu hapa na pale awamu ya JK, nilijikuta nikiangukia kwa mwanamke fulani mwenye status yake awamu hiyo ya JK nilimpelekea moto hasa na tulibahatika kupata mtoto mmoja wa kike kwa sasa yupo zake nchi fulani anachukua master's yake.
Yale mapenzi yalikuwa valuvalu hakika wakati unakimbia sana.
Awamu ya JK ni kuanzia 2005. Kwa hiyo ukakutana na mwanamke tuseme hiyo 2005 mkazaa mtoto na sasa yuko nje anasoma Master's. Huyo si ana miaka 16, wewe jasusi feki unatufunga kamba sana humu
Nakazia sana sana sana mkuuNajua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani.
Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba.
Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu jiangalie kwenye kioo unamvuto? Unaombaje kazi inayokutaka udeal na watu huku ukiwa na sura au muonekano usiovutia?si ukasomee ufundi mchundo kama mimi.Dk Remmy hakuwa mjinga kuzaa na mzungu
Hitimisho, unataka wanao wasikose ajira?zaa na pisi kali uwasaidie watoto wako wasihangaike kutoswa kwenye interview.
Nimeongelea kuzaa sio kuoa,tusioe jamani.
Hawaendani kabisa ndo maana Tina kamkimbia na hawezi hata kumposti..Mzee Shusho ni handsome,hata yule binti yake yuko powa tu sio mbaya
Hata yule binti ni kama vile sio wa tina kimuonekanoMzee Shusho ni handsome,hata yule binti yake yuko powa tu sio mbaya
Yake ni ya chupi pia, si unaona maandiko yake yalivyo ya kizumbukuku?Unahimiza degree za chupi na ajira za uchi
We ni falaa😂😂😂Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani.
Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba.
Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu jiangalie kwenye kioo unamvuto? Unaombaje kazi inayokutaka udeal na watu huku ukiwa na sura au muonekano usiovutia?si ukasomee ufundi mchundo kama mimi.Dk Remmy hakuwa mjinga kuzaa na mzungu
Hitimisho, unataka wanao wasikose ajira?zaa na pisi kali uwasaidie watoto wako wasihangaike kutoswa kwenye interview.
Nimeongelea kuzaa sio kuoa,tusioe jamani.
When back part of the body is used for thinking processNajua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani.
Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba.
Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu jiangalie kwenye kioo unamvuto? Unaombaje kazi inayokutaka udeal na watu huku ukiwa na sura au muonekano usiovutia?si ukasomee ufundi mchundo kama mimi.Dk Remmy hakuwa mjinga kuzaa na mzungu
Hitimisho, unataka wanao wasikose ajira?zaa na pisi kali uwasaidie watoto wako wasihangaike kutoswa kwenye interview.
Nimeongelea kuzaa sio kuoa,tusioe jamani.
Unaonekana uko na uelewa na busara za kutosha, ni pm tuangalie namna ya kumsaidia huyu mtu kimawazo, mimi ni Afisa masurufuHuu ni ujinga wa kiwango cha juu,tengenezea mwanao njia ya mafanikio usisubiri afanikiwe kupitia viungo vyake.