Tuzae na wanawake wazuri ili watoto wetu wasikose ajira huko mbeleni

Tuzae na wanawake wazuri ili watoto wetu wasikose ajira huko mbeleni

Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani.

Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba.

Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu jiangalie kwenye kioo unamvuto? Unaombaje kazi inayokutaka udeal na watu huku ukiwa na sura au muonekano usiovutia?si ukasomee ufundi mchundo kama mimi.

Hitimisho, unataka wanao wasikose ajira?zaa na pisi kali uwasaidie watoto wako wasihangaike kutoswa kwenye interview.

Nimeongelea kuzaa sio kuoa,tusioe jamani.
Sawa kwa bahat mbaya watoto waamue kufanana na wewe.
 
Sawa kwa bahat mbaya watoto waamue kufanana na wewe.
Kwenye somo la genetic ile kitu kizuri ndio huwa dominant,dk remmy alizaa na mzungu watoto wote walimfanana mama yao
 
Kwanini usifikirie kuzaa na watu wenye status fulani, katika majukumu yangu hapa na pale awamu ya JK, nilijikuta nikiangukia kwa mwanamke fulani mwenye status yake awamu hiyo ya JK nilimpelekea moto hasa na tulibahatika kupata mtoto mmoja wa kike kwa sasa yupo zake nchi fulani anachukua master's yake.

Yale mapenzi yalikuwa valuvalu hakika wakati unakimbia sana.

Ulipata mtoto kwenye utawala wa JK na sasa hivi yupo zake nchi fulani anachukua Masters[emoji848][emoji848] .

Kwa age ipi 17 yrs?? Secondary alisoma lini? Degree alisoma lini na akiwa na miaka mingapi??? Chaiiiiiiiii.......
 
Awamu ya JK ni kuanzia 2005. Kwa hiyo ukakutana na mwanamke tuseme hiyo 2005 mkazaa mtoto na sasa yuko nje anasoma Master's. Huyo si ana miaka 16, wewe jasusi feki unatufunga kamba sana humu

[emoji2][emoji2] tumemshitukia.
 
Vp kuhusu mwanamama mrembo Christina shusho? Mbona watoto wamefanana na baba yao
 
Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani.

Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba.

Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu jiangalie kwenye kioo unamvuto? Unaombaje kazi inayokutaka udeal na watu huku ukiwa na sura au muonekano usiovutia?si ukasomee ufundi mchundo kama mimi.Dk Remmy hakuwa mjinga kuzaa na mzungu

Hitimisho, unataka wanao wasikose ajira?zaa na pisi kali uwasaidie watoto wako wasihangaike kutoswa kwenye interview.

Nimeongelea kuzaa sio kuoa,tusioe jamani.
Nakazia sana sana sana mkuu
 
Zaeni na wanawake wenye akili za kuzaliwa,uzuri ni ziada.ajira za KUTOA rushwa ya ngono zisiwapumbaze.kuna baadhi ya ajira wanahitaji wenye muonekanonmfano hoteli,hudma nk
Lakinikl Kuna zinazohitaji vichwa haswa.ingekuwa uzuri na shepu unamatter wakina tulia wasingekuwa hapa walipo Leo..baba zetu akina mizengo pinda wasingeshika nyadhifa sababu wengi mnawadiss kwa mionekano yao.
Btw hakuna mtu mzuri Wala mbaya.kila mmoja karithi Kwa waliomzaa na mwema mwenye kupendeza.
Na wanaomzaa ndo watadertmine uwezo wake wa kiakili uweje.watoto hurithi uwezo wa kiakili Kwa wazazi hasa mama.

Itoshe kusema mtoa mada hujakomaa kiakili.
 
Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani.

Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba.

Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu jiangalie kwenye kioo unamvuto? Unaombaje kazi inayokutaka udeal na watu huku ukiwa na sura au muonekano usiovutia?si ukasomee ufundi mchundo kama mimi.Dk Remmy hakuwa mjinga kuzaa na mzungu

Hitimisho, unataka wanao wasikose ajira?zaa na pisi kali uwasaidie watoto wako wasihangaike kutoswa kwenye interview.

Nimeongelea kuzaa sio kuoa,tusioe jamani.
We ni falaa😂😂😂
 
Huu ni ujinga wa kiwango cha juu,tengenezea mwanao njia ya mafanikio usisubiri afanikiwe kupitia viungo vyake.
 
Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani.

Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba.

Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu jiangalie kwenye kioo unamvuto? Unaombaje kazi inayokutaka udeal na watu huku ukiwa na sura au muonekano usiovutia?si ukasomee ufundi mchundo kama mimi.Dk Remmy hakuwa mjinga kuzaa na mzungu

Hitimisho, unataka wanao wasikose ajira?zaa na pisi kali uwasaidie watoto wako wasihangaike kutoswa kwenye interview.

Nimeongelea kuzaa sio kuoa,tusioe jamani.
When back part of the body is used for thinking process
 
Back
Top Bottom