Tuzae na wanawake wazuri ili watoto wetu wasikose ajira huko mbeleni

Tuzae na wanawake wazuri ili watoto wetu wasikose ajira huko mbeleni

Mi nadhani status ndo kipaumbele kwanza
 
Kwanini usifikirie kuzaa na watu wenye status fulani, katika majukumu yangu hapa na pale awamu ya JK, nilijikuta nikiangukia kwa mwanamke fulani mwenye status yake awamu hiyo ya JK nilimpelekea moto hasa na tulibahatika kupata mtoto mmoja wa kike kwa sasa yupo zake nchi fulani anachukua master's yake.

Yale mapenzi yalikuwa valuvalu hakika wakati unakimbia sana.
Wewe mzee ni mlala hoi tu
 
Mimi hansome kuliko watu wote hapa JF, very handsome, hivyo na mke wangu mwarabu 75% ana kila kitu mrembo wa hali ya juu sana anatakiwa kuwa nacho, hips, tako, urefu 6 feet, mm 6.5ft, soft hair, watu wa Arusha sisi, i created and own multiple businesses, ila nachosema, kiukweli, ajira haina uhusiano na uzuri wa sura nzuri, nadhani good brain ndio inatakiwa, trust me, mwanamke mzuri awe mzuri kwa ajili ya kukupa good love incl. sex, ila ajira ni kitu kingine kabisa, sura haihusiki.
Wanaume wote waliomo humu unawajua sura zao?? Unaweza kuwa na vingi ila punguza kujikweza
 
Kwanini usifikirie kuzaa na watu wenye status fulani, katika majukumu yangu hapa na pale awamu ya JK, nilijikuta nikiangukia kwa mwanamke fulani mwenye status yake awamu hiyo ya JK nilimpelekea moto hasa na tulibahatika kupata mtoto mmoja wa kike kwa sasa yupo zake nchi fulani anachukua master's yake.

Yale mapenzi yalikuwa valuvalu hakika wakati unakimbia sana.
Awamu ya JK ni kuanzia 2005. Kwa hiyo ukakutana na mwanamke tuseme hiyo 2005 mkazaa mtoto na sasa yuko nje anasoma Master's. Huyo si ana miaka 16, wewe jasusi feki unatufunga kamba sana humu
 
Awamu ya JK ni kuanzia 2005. Kwa hiyo ukakutana na mwanamke tuseme hiyo 2005 mkazaa mtoto na sasa yuko nje anasoma Master's. Huyo si ana miaka 16, wewe jasusi feki unatufunga kamba sana humu
Ahaaaaa
 
Awamu ya JK ni kuanzia 2005. Kwa hiyo ukakutana na mwanamke tuseme hiyo 2005 mkazaa mtoto na sasa yuko nje anasoma Master's. Huyo si ana miaka 16, wewe jasusi feki unatufunga kamba sana humu
Unataka tufungue kila kitu boss ili muunge dot . Na nani kakuambia kila mtu enzi za jk ni jasusi what if nilikuwa shamba boy wa huyo mwanamke? Ama ilikuwa enzi za mzee nkapa...

Ila hongera kwa kuwa mdadisi.
 
Mimi hansome kuliko watu wote hapa JF, very handsome, hivyo na mke wangu mwarabu 75% ana kila kitu mrembo wa hali ya juu sana anatakiwa kuwa nacho, hips, tako, urefu 6 feet, mm 6.5ft, soft hair, watu wa Arusha sisi, i created and own multiple businesses, ila nachosema, kiukweli, ajira haina uhusiano na uzuri wa sura nzuri, nadhani good brain ndio inatakiwa, trust me, mwanamke mzuri awe mzuri kwa ajili ya kukupa good love incl. sex, ila ajira ni kitu kingine kabisa, sura haihusiki.
Hivi mwanaume unajisiafiaje et we handsome kuliko wanaume wote jf?? Afu watu kama nyinyi ndo mnakuwaga na sura mbovu kama wakaanga sumu
 
Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli.
Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani.
Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba .
Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu jiangalie kwenye kioo unamvuto? Unaombaje kazi inayokutaka udeal na watu huku ukiwa na sura au muonekano usiovutia?si ukasomee ufundi mchundo kama mimi,
Hitimisho,unataka wanao wasikose ajira?zaa na pisi kali uwasaidie watoto wako wasihangaike kutoswa kwenye interview ,
Nimeongelea kuzaa sio kuoa,tusioe jamani.
Kati ya Baba yako na mama yako Nani alimroga mwenzake?? Maaana kama mama yako angetumia hiyo formula ungekuwepo duniani wewe?? Au Baba yako angetumia hiyo formula ungekuwepo duniani wewe........??
 
Kati ya Baba yako na mama yako Nani alimroga mwenzake?? Maaana kama mama yako angetumia hiyo formula ungekuwepo duniani wewe?? Au Baba yako angetumia hiyo formula ungekuwepo duniani wewe........??
Muulize mama yako hayo maswali
 
Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani.

Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba.

Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu jiangalie kwenye kioo unamvuto? Unaombaje kazi inayokutaka udeal na watu huku ukiwa na sura au muonekano usiovutia?si ukasomee ufundi mchundo kama mimi.

Hitimisho, unataka wanao wasikose ajira?zaa na pisi kali uwasaidie watoto wako wasihangaike kutoswa kwenye interview.

Nimeongelea kuzaa sio kuoa,tusioe jamani.

ni kweli ila sasa inategemea kuna course zinaangalia appearence

1) Personal secretary
2) Accountant
3) sales executives

Hizi inabidi uwe na good appearance so watu wanaoziomba wanaitaji kujitathmini
 
ni kweli ila sasa inategemea kuna course zinaangalia appearence

1) Personal secretary
2) Accountant
3) sales executives

Hizi inabidi uwe na good appearance so watu wanaoziomba wanaitaji kujitathmini
Customer service
TV presenter
 
Back
Top Bottom