Tuzae na wanawake wazuri ili watoto wetu wasikose ajira huko mbeleni

Mi nadhani status ndo kipaumbele kwanza
 
Wewe mzee ni mlala hoi tu
 
Wanaume wote waliomo humu unawajua sura zao?? Unaweza kuwa na vingi ila punguza kujikweza
 
Awamu ya JK ni kuanzia 2005. Kwa hiyo ukakutana na mwanamke tuseme hiyo 2005 mkazaa mtoto na sasa yuko nje anasoma Master's. Huyo si ana miaka 16, wewe jasusi feki unatufunga kamba sana humu
 
Awamu ya JK ni kuanzia 2005. Kwa hiyo ukakutana na mwanamke tuseme hiyo 2005 mkazaa mtoto na sasa yuko nje anasoma Master's. Huyo si ana miaka 16, wewe jasusi feki unatufunga kamba sana humu
Ahaaaaa
 
Awamu ya JK ni kuanzia 2005. Kwa hiyo ukakutana na mwanamke tuseme hiyo 2005 mkazaa mtoto na sasa yuko nje anasoma Master's. Huyo si ana miaka 16, wewe jasusi feki unatufunga kamba sana humu
Unataka tufungue kila kitu boss ili muunge dot . Na nani kakuambia kila mtu enzi za jk ni jasusi what if nilikuwa shamba boy wa huyo mwanamke? Ama ilikuwa enzi za mzee nkapa...

Ila hongera kwa kuwa mdadisi.
 
Hivi mwanaume unajisiafiaje et we handsome kuliko wanaume wote jf?? Afu watu kama nyinyi ndo mnakuwaga na sura mbovu kama wakaanga sumu
 
Kati ya Baba yako na mama yako Nani alimroga mwenzake?? Maaana kama mama yako angetumia hiyo formula ungekuwepo duniani wewe?? Au Baba yako angetumia hiyo formula ungekuwepo duniani wewe........??
 
Kati ya Baba yako na mama yako Nani alimroga mwenzake?? Maaana kama mama yako angetumia hiyo formula ungekuwepo duniani wewe?? Au Baba yako angetumia hiyo formula ungekuwepo duniani wewe........??
Muulize mama yako hayo maswali
 

ni kweli ila sasa inategemea kuna course zinaangalia appearence

1) Personal secretary
2) Accountant
3) sales executives

Hizi inabidi uwe na good appearance so watu wanaoziomba wanaitaji kujitathmini
 
ni kweli ila sasa inategemea kuna course zinaangalia appearence

1) Personal secretary
2) Accountant
3) sales executives

Hizi inabidi uwe na good appearance so watu wanaoziomba wanaitaji kujitathmini
Customer service
TV presenter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…