Usinichekeshe,kiufupi watu wenye akili hawaoi uzuri wanaangalia vitu mbalimbali,mwanamke awe smart kichwani na sehemu zingine.Unaonekana uko na uelewa na busara za kutosha, ni pm tuangalie namna ya kumsaidia huyu mtu kimawazo, mimi ni Afisa masurufu
I concur with you Niwaheri, usinitoe nje ya malengo yangu ya kitume, ni pm tuone namna ya kuchanganya busara zetu tuzae matunda mema, amani iwe naweUsinichekeshe,kiufupi watu wenye akili hawaoi uzuri wanaangalia vitu mbalimbali,mwanamke awe smart kichwani na sehemu zingine.
Unaoa bogus eti uzae watoto wazuri,mjinga tu ndo atafanya hivo
U can't be serious man,vuta pumzi kwanza.I concur with you Niwaheri, usinitoe nje ya malengo yangu ya kitume, ni pm tuone namna ya kuchanganya busara zetu tuzae matunda mema, amani iwe nawe
Hata huko kwenye mahotel makubwa hawaangalii sura, wanajali huduma.Zaeni na wanawake wenye akili za kuzaliwa,uzuri ni ziada.ajira za KUTOA rushwa ya ngono zisiwapumbaze.kuna baadhi ya ajira wanahitaji wenye muonekanonmfano hoteli,hudma nk
Lakinikl Kuna zinazohitaji vichwa haswa.ingekuwa uzuri na shepu unamatter wakina tulia wasingekuwa hapa walipo Leo..baba zetu akina mizengo pinda wasingeshika nyadhifa sababu wengi mnawadiss kwa mionekano yao.
Btw hakuna mtu mzuri Wala mbaya.kila mmoja karithi Kwa waliomzaa na mwema mwenye kupendeza.
Na wanaomzaa ndo watadertmine uwezo wake wa kiakili uweje.watoto hurithi uwezo wa kiakili Kwa wazazi hasa mama.
Itoshe kusema mtoa mada hujakomaa kiakili.
This is typically violenceU can't be serious man,vuta pumzi kwanza.