Haya ni kutokea katika waliyosema wenyewe hadi sasa, watia nia hawa:
A. SERA ZA LISSU:
1. Ukomo wa madaraka kwa Kiongozi wa chama.
2. Uwazi katika mapato na matumizi.
3. Upatikanaji wa wawakilishi wa chama mfano Viti maalumu na ngazi zingine zifuate utaratibu.
4. Uwepo ukomo wa kupata nafasi za viti maalumu yaan time limit.
5. Katiba ya chama kubadilishwa.
6. Kutokomeza Rushwa ndani ya chama.
B. SERA ZA MBOWE
1. Nimekitoa chama mbali sana na mi ndo nimebakia najua in and out.
2. Siwezi kuondoka nikaacha chama katika mvurugano wa namna hii.
3. Bado Nina nguvu sana naweza fanya kazi na vikao nane kwa siku “Ebo give me a break” sijachoka.
4. Sijatimiza Umri aliostaafu nao Mtei wa miaka 68, mpaka nitimize.
5. Maridhiano yana umuhimu katika siasa ntaendelea kuyatumia inapobidi.
6. Nimekaa gerezani sababu ya chama.
Pia soma: Uchaguzi wenyeviti taifa Chadema, Debates za wazi ziandaliwe kwa wagombea tuzione mbivu na mbichi zao, itapendeza zaidi!
Uchaguzi ni sera.
Kufahamika wazi wazi nani anasimamia nini, ni muhimu zaidi.
Uchaguzi si mahaba!
Kwa hisani ya mdau: Tanzania Abroad TV (TAT).
A. SERA ZA LISSU:
1. Ukomo wa madaraka kwa Kiongozi wa chama.
2. Uwazi katika mapato na matumizi.
3. Upatikanaji wa wawakilishi wa chama mfano Viti maalumu na ngazi zingine zifuate utaratibu.
4. Uwepo ukomo wa kupata nafasi za viti maalumu yaan time limit.
5. Katiba ya chama kubadilishwa.
6. Kutokomeza Rushwa ndani ya chama.
B. SERA ZA MBOWE
1. Nimekitoa chama mbali sana na mi ndo nimebakia najua in and out.
2. Siwezi kuondoka nikaacha chama katika mvurugano wa namna hii.
3. Bado Nina nguvu sana naweza fanya kazi na vikao nane kwa siku “Ebo give me a break” sijachoka.
4. Sijatimiza Umri aliostaafu nao Mtei wa miaka 68, mpaka nitimize.
5. Maridhiano yana umuhimu katika siasa ntaendelea kuyatumia inapobidi.
6. Nimekaa gerezani sababu ya chama.
Pia soma: Uchaguzi wenyeviti taifa Chadema, Debates za wazi ziandaliwe kwa wagombea tuzione mbivu na mbichi zao, itapendeza zaidi!
Uchaguzi ni sera.
Kufahamika wazi wazi nani anasimamia nini, ni muhimu zaidi.
Uchaguzi si mahaba!
Kwa hisani ya mdau: Tanzania Abroad TV (TAT).