- Thread starter
- #41
ninachofurah tu, pamoja na watu kusema Chadema imekufa, lakini ndio chama kinachomulikwa zaidi, CUF kuna uchaguzi, nafasi ya mwenyekiti ina wagombea 9 akiwemo Lipumba lakini hakuna anayechambua
Taabu ni kuwa pamoja na kumulikwa:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ninachofurah tu, pamoja na watu kusema Chadema imekufa, lakini ndio chama kinachomulikwa zaidi, CUF kuna uchaguzi, nafasi ya mwenyekiti ina wagombea 9 akiwemo Lipumba lakini hakuna anayechambua
Nani ambaye ni mjumbe na hadi sasa hajaamua wa kumpigia kura? Watu wanasubiri tu tarehe, hizo nyingine ni keleleKwani hawa wapiga kura hawajui wanakwenda kupiga kura kwa niaba ya wanachama?
Kuelekea dakika ya tisini: "Maoni ya wanachama yasiposikilizwa, CHADEMA njiani kulia na kusaga meno!"
Habari ndiyo hiyo.
Nani ambaye ni mjumbe na hadi sasa hajaamua wa kumpigia kura? Watu wanasubiri tu tarehe, hizo nyingine ni kelele
Hizo sera umezisikia wapi au unaokoteza mambo yakwenye mikutano na waandishhi wa habari unaita sera.huo ni uchaguzi wa ndani mambo ya watakifanyia nini chama watawaeleza wajumbe.nje ya hapo ni majungu na ufitini.punguza ushabiki maandazi.
Mkuu huyu lupweko anakuchosha hachana naye haeleweki na haelewi anachoongea ni kumstahi vinginenevyo unaweza kumtukanae.Tambua maana ya sera ndugu.
"Sera ni asemayo mgombea kujinadi ili achaguliwe."
Au mgombea wako ayasemayo kujinadi hujayapenda?