Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usichanganye sera na ilaniUnahitaji zaidi kujua maana ya sera. Sera ni dira ya kuiongoza taasisi kufikia malengo fulani katika kipindi fulani. Sasa mawazo ya mtu mmoja hayawezi kukubalika yatumike kuipeleka taasisi katika uekekeo anaoutaka yeye. Katika ngazi hii, mgombea anapaswa aeleze namna na mbinu za kutekeleza sera ambazo tayari zipo, sio alete sera zake binafsi. Hapa haongozi familia yake, anaongoza taasisi ambayo ipo, tena mbaya zaidi wote wameikuta ipo.
Katiba ya Chama Aliibadilisha Nani?Kwa nini useme kung'ang'ania madaraka wakati katiba ya chama tena chenye wanasheria nguli kabisa ndio inaruhusu asiwe na ukomo, na anapata kura za wajumbe?
Nadhani ungekuwa na hoja tofauti ningekuelewa, kwamba labda anawahonga wapiga kura au anaiba kura. Lakini suala la kugombea tena na tena, hilo lipo kidemokrasia, yaani uhuru wa kupiga na kupigiwa kura ili kuruhusu sauti za wanachama. Unajua haya mambo ya kuzuia vitu vilivyokubaliwa katika katiba yenu wote ndio ukandamizwaji wa demokrasia?
Huwezi ukawa na documents mbili zinazopingana. Mgombea hawezi kusema kipaumbele chake cha miaka mitano ni viwanda, wakati chama kinasema ni kilimo, na dira ya Taifa inasema teknolojiaUsichanganye sera na ilani
Dr. Slaa juzi alibanwa akakiri kuwa alisimamia zoezi hilo, na akataja faida zake. Kumbuka huyu kwa sasa hamtaki MboweKatiba ya Chama Aliibadilisha Nani?
Na kwanini aliibadilisha mwaka 2006 miaka 2 baada yaKuanza kuongoza?
Ibara ya 6.3.2(C) Kwanini Ilibadilishwa
Kwa hiyo hauwezi ukawa na Katiba halafu ukawa na sheria na miongozo?Huwezi ukawa na documents mbili zinazopingana. Mgombea hawezi kusema kipaumbele chake cha miaka mitano ni viwanda, wakati chama kinasema ni kilimo, na dira ya Taifa inasema teknolojia
Aliyesimamia lakini alitumwa na Nani abadilishe?Dr. Slaa juzi alibanwa akakiri kuwa alisimamia zoezi hilo, na akataja faida zake. Kumbuka huyu kwa sasa hamtaki Mbowe
Haitakiwi miongozo isiendane na sheria, na sheria zisiendane na katiba.Kwa hiyo hauwezi ukawa na Katiba halafu ukawa na sheria na miongozo?
na mkutano mkuu ambao upo kikatibaAliyesimamia lakini alitumwa na Nani abadilishe?
Una Muhtasari wa Mkutano mkuu Unaosema Hivyo..na mkutano mkuu ambao upo kikatiba
Muulize Dr. Slaa atakuelezea yote, maana yeye ndiye alikuwa mtendaji na anakiri hilo. Tena bahati nzuri anakiri huku akiwa team LissuUna Muhtasari wa Mkutano mkuu Unaosema Hivyo..
Maana Muhtasari ya Mikutano yote hutumwa kwa Msajili na Msajili alisema kuwa Hakuna Ajenda yoyote iliyotoka ya Kubadilisha Katiba..
Mkutano wa Lini uliomtuma??
Hapana Anaogopa!Muulize Dr. Slaa atakuelezea yote, maana yeye ndiye alikuwa mtendaji na anakiri hilo. Tena bahati nzuri anakiri huku akiwa team Lissu
Nimechekeka sana aiseeeHaya ni kutokea katika waliyosema wenyewe hadi sasa, watia nia hawa:
A. SERA ZA LISSU:
1. Ukomo wa madaraka kwa Kiongozi wa chama.
2. Uwazi katika mapato na matumizi.
3. Upatikanaji wa wawakilishi wa chama mfano Viti maalumu na ngazi zingine zifuate utaratibu.
4. Uwepo ukomo wa kupata nafasi za viti maalumu yaan time limit.
5. Katiba ya chama kubadilishwa.
6. Kutokomeza Rushwa ndani ya chama.
View attachment 3185289
B. SERA ZA MBOWE
1. Nimekitoa chama mbali sana na mi ndo nimebakia najua in and out.
2. Siwezi kuondoka nikaacha chama katika mvurugano wa namna hii.
3. Bado Nina nguvu sana naweza fanya kazi na vikao nane kwa siku “Ebo give me a break” sijachoka.
4. Sijatimiza Umri aliostaafu nao Mtei wa miaka 68, mpaka nitimize.
5. Maridhiano yana umuhimu katika siasa ntaendelea kuyatumia inapobidi.
6. Nimekaa gerezani sababu ya chama.
Pia soma: Uchaguzi wenyeviti taifa Chadema, Debates za wazi ziandaliwe kwa wagombea tuzione mbivu na mbichi zao, itapendeza zaidi!
Uchaguzi ni sera.
Kufahamika wazi wazi nani anasimamia nini, ni muhimu zaidi.
Uchaguzi si mahaba!
Kwa hisani ya mdau: Tanzania Abroad TV (TAT).
Unahitaji zaidi kujua maana ya sera. Sera ni dira ya kuiongoza taasisi kufikia malengo fulani katika kipindi fulani. Sasa mawazo ya mtu mmoja hayawezi kukubalika yatumike kuipeleka taasisi katika uekekeo anaoutaka yeye. Katika ngazi hii, mgombea anapaswa aeleze namna na mbinu za kutekeleza sera ambazo tayari zipo, sio alete sera zake binafsi. Hapa haongozi familia yake, anaongoza taasisi ambayo ipo, tena mbaya zaidi wote wameikuta ipo.
Nimechekeka sana aiseee
Wataongea na kujinadi namna ya kutekeleza sera za chama ndani ya ukumbi wa mkutano. Sisi ambao hatutakuwa kwenye mkutano tusubiri kutangaziwa matokeo. Sasa wewe ambaye hauna sifa ya kupiga kura, huo mdahalo ukiusikia, utakufanya uamue jambo gani zaidi ya kusubiri kutangaziwa matokeo?1. Kwa hiyo unakubaliana hayo ndiyo kila mmoja kesha sema?
2. Zaidi labda ungependa kusikia kipi cha ziada au kipi kipungue wapi kwa nani?
3. Si unajua kauli ni Moja ya kigezo muhimu kwenye kuchaguliwa au kutoswa?
4. Vipi hili la mdahalo wa wazi Ili tujiridhishe?
Kwa hiyo hauwezi ukawa na Katiba halafu ukawa na sheria na miongozo?
Hakuna vyama vya siasa vya maana vinavyoweka ukomo wa madaraka duniani, Hakuna hoja zenye mashiko hapo.
Wataongea na kujinadi namna ya kutekeleza sera za chama ndani ya ukumbi wa mkutano. Sisi ambao hatutakuwa kwenye mkutano tusubiri kutangaziwa matokeo. Sasa wewe ambaye hauna sifa ya kupiga kura, huo mdahalo ukiusikia, utakufanya uamue jambo gani zaidi ya kusubiri kutangaziwa matokeo?