Pre GE2025 Tuzijue "Sera za Mbowe" dhidi ya "Sera za Lissu," uchaguzi mwenyekiti CHADEMA 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna vyama vya siasa vya maana vinavyoweka ukomo wa madaraka duniani, Hakuna hoja zenye mashiko hapo.
 
Usichanganye sera na ilani
 
Sijaona mbowe sera zake, ni mbwembwe tu.Lissu amejipanga.Tunaomba anayejua sera za Mapunda na Odero
 
Katiba ya Chama Aliibadilisha Nani?
Na kwanini aliibadilisha mwaka 2006 miaka 2 baada yaKuanza kuongoza?

Ibara ya 6.3.2(C) Kwanini Ilibadilishwa
 
Usichanganye sera na ilani
Huwezi ukawa na documents mbili zinazopingana. Mgombea hawezi kusema kipaumbele chake cha miaka mitano ni viwanda, wakati chama kinasema ni kilimo, na dira ya Taifa inasema teknolojia
 
Huwezi ukawa na documents mbili zinazopingana. Mgombea hawezi kusema kipaumbele chake cha miaka mitano ni viwanda, wakati chama kinasema ni kilimo, na dira ya Taifa inasema teknolojia
Kwa hiyo hauwezi ukawa na Katiba halafu ukawa na sheria na miongozo?
 
Kwa hiyo hauwezi ukawa na Katiba halafu ukawa na sheria na miongozo?
Haitakiwi miongozo isiendane na sheria, na sheria zisiendane na katiba.
Mfano, katiba iseme hakutakuwa na ukomo wa mwanachama kugombea uenyekiti, halafu sheria iseme mwenyekiti anayemaliza muda wake hatarusiwa kugombea tena nafasi hiyo baada ya kutumikia vipindi viwili vya miaka mitano mitano.
 
na mkutano mkuu ambao upo kikatiba
Una Muhtasari wa Mkutano mkuu Unaosema Hivyo..
Maana Muhtasari ya Mikutano yote hutumwa kwa Msajili na Msajili alisema kuwa Hakuna Ajenda yoyote iliyotoka ya Kubadilisha Katiba..
Mkutano wa Lini uliomtuma??
 
Una Muhtasari wa Mkutano mkuu Unaosema Hivyo..
Maana Muhtasari ya Mikutano yote hutumwa kwa Msajili na Msajili alisema kuwa Hakuna Ajenda yoyote iliyotoka ya Kubadilisha Katiba..
Mkutano wa Lini uliomtuma??
Muulize Dr. Slaa atakuelezea yote, maana yeye ndiye alikuwa mtendaji na anakiri hilo. Tena bahati nzuri anakiri huku akiwa team Lissu
 
Muulize Dr. Slaa atakuelezea yote, maana yeye ndiye alikuwa mtendaji na anakiri hilo. Tena bahati nzuri anakiri huku akiwa team Lissu
Hapana Anaogopa!
Kuna Vitu kwenye Chama wengi wanaogopa kuvisema kwa sababu ya Kumuhofia Mwenyekiti ni hatari sana
 
Nimechekeka sana aiseee
 

1. Kwa hiyo unakubaliana hayo ndiyo kila mmoja kesha sema?

2. Zaidi labda ungependa kusikia kipi cha ziada au kipi kipungue wapi kwa nani?

3. Si unajua kauli ni Moja ya kigezo muhimu kwenye kuchaguliwa au kutoswa?

4. Vipi hili la mdahalo wa wazi Ili tujiridhishe?
 
Wataongea na kujinadi namna ya kutekeleza sera za chama ndani ya ukumbi wa mkutano. Sisi ambao hatutakuwa kwenye mkutano tusubiri kutangaziwa matokeo. Sasa wewe ambaye hauna sifa ya kupiga kura, huo mdahalo ukiusikia, utakufanya uamue jambo gani zaidi ya kusubiri kutangaziwa matokeo?
 
Hakuna vyama vya siasa vya maana vinavyoweka ukomo wa madaraka duniani, Hakuna hoja zenye mashiko hapo.

Kwa mujibu wa mwongozo wa nani ndugu?
 

Kwani hawa wapiga kura hawajui wanakwenda kupiga kura kwa niaba ya wanachama?

Kuelekea dakika ya tisini: "Maoni ya wanachama yasiposikilizwa, CHADEMA njiani kulia na kusaga meno!"

Habari ndiyo hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…