Tuzo za CAF 2024: Kwanini Diamond Platnumz hakushangiliwa hata na mtu mmoja alipotumbuiza?

Tuzo za CAF 2024: Kwanini Diamond Platnumz hakushangiliwa hata na mtu mmoja alipotumbuiza?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Natazama hapa tuzo tajwa. Pamoja na tuzo mbalimbali kwa wachezaji na watu mashuhuri wengineo, mwanamuziki Diamond ametumbuiza.

Akiwa na 'madansa' wake, Diamond alitumbuiza wimbo wa Komasava. Alipomaliza, Diamond hakushangiliwa hata na mhudhuriaji mmoja ukumbini. Kwanini?

Yawezekana ni kwakuwa muda mwingi alikuwa anacheza tu na 'madansa' wake huku wimbo husika ukiimbwa kwenye 'player' tu?

Kiukweli, wanamuziki wetu wanahitaji maboresho makubwa kwenye kutumbuiza majukwaani. Wengi wao na muda mwingi, wanaacha nyimbo zao zinachezwa tu kwenye 'players' bila ya wao kuziimba ipasavyo.
 
Hahaha tunacheka km mazuri wakenya washaharibu hali ya hewa
 
Ile haikuwa concert, bali ni utoaji wa tuzo. Pia hadhirq iliyokuwepo siyo ile ya kule vibandq umiza. Wale walikuwa executive watupu.
Playback ni uzwazwa piga live wewe umekuja kutuletea UMc au umekuja kuimba?
 
Natazama hapa tuzo tajwa. Pamoja na tuzo mbalimbali kwa wachezaji na watu mashuhuri wengineo, mwanamuziki Diamond ametumbuiza.

Akiwa na 'madansa' wake, Diamond alitumbuiza wimbo wa Komasava. Alipomaliza, Diamond hakushangiliwa hata na mhudhuriaji mmoja ukumbini. Kwanini?

Yawezekana ni kwakuwa muda mwingi alikuwa anacheza tu na 'madansa' wake huku wimbo husika ukiimbwa kwenye 'player' tu?

Kiukweli, wanamuziki wetu wanahitaji maboresho makubwa kwenye kutumbuiza majukwaani. Wengi wao na muda mwingi, wanaacha nyimbo zao zinachezwa tu kwenye 'players' bila ya wao kuziimba ipasavyo.
Kitendo cha kuwa mtumbuizaji kimetosha zaidi ya kushangiliwa na mwakani anaweza alikwa tena kama umelenga siasa za CCM na CHADEMA hapo umekosea sana!
 
Hahaha tunacheka km mazuri wakenya washaharibu hali ya hewa

Wakenya wameumwa walivyoona anatumbuiza. Walizimia kabisa walivyoona komasava inapigwa background wakati waliotuzwa wanapiga picha
 
Wakenya wameumwa walivyoona anatumbuiza. Walizimia kabisa walivyoona komasava inapigwa background wakati waliotuzwa wanapiga picha
Hahaha ila Grammy tunzo hakuna Diddyzee la kazichafu lipo nyuma ya nondo
 
Natazama hapa tuzo tajwa. Pamoja na tuzo mbalimbali kwa wachezaji na watu mashuhuri wengineo, mwanamuziki Diamond ametumbuiza.

Akiwa na 'madansa' wake, Diamond alitumbuiza wimbo wa Komasava. Alipomaliza, Diamond hakushangiliwa hata na mhudhuriaji mmoja ukumbini. Kwanini?

Yawezekana ni kwakuwa muda mwingi alikuwa anacheza tu na 'madansa' wake huku wimbo husika ukiimbwa kwenye 'player' tu?

Kiukweli, wanamuziki wetu wanahitaji maboresho makubwa kwenye kutumbuiza majukwaani. Wengi wao na muda mwingi, wanaacha nyimbo zao zinachezwa tu kwenye 'players' bila ya wao kuziimba ipasavyo.

View: https://youtu.be/aHzJHbUgV_4?si=Ma5CYRS_CRpfPIZy
 
Natazama hapa tuzo tajwa. Pamoja na tuzo mbalimbali kwa wachezaji na watu mashuhuri wengineo, mwanamuziki Diamond ametumbuiza.

Akiwa na 'madansa' wake, Diamond alitumbuiza wimbo wa Komasava. Alipomaliza, Diamond hakushangiliwa hata na mhudhuriaji mmoja ukumbini. Kwanini?

Yawezekana ni kwakuwa muda mwingi alikuwa anacheza tu na 'madansa' wake huku wimbo husika ukiimbwa kwenye 'player' tu?

Kiukweli, wanamuziki wetu wanahitaji maboresho makubwa kwenye kutumbuiza majukwaani. Wengi wao na muda mwingi, wanaacha nyimbo zao zinachezwa tu kwenye 'players' bila ya wao kuziimba ipasavyo.
Wivu pro max
 
Natazama hapa tuzo tajwa. Pamoja na tuzo mbalimbali kwa wachezaji na watu mashuhuri wengineo, mwanamuziki Diamond ametumbuiza.

Akiwa na 'madansa' wake, Diamond alitumbuiza wimbo wa Komasava. Alipomaliza, Diamond hakushangiliwa hata na mhudhuriaji mmoja ukumbini. Kwanini?

Yawezekana ni kwakuwa muda mwingi alikuwa anacheza tu na 'madansa' wake huku wimbo husika ukiimbwa kwenye 'player' tu?

Kiukweli, wanamuziki wetu wanahitaji maboresho makubwa kwenye kutumbuiza majukwaani. Wengi wao na muda mwingi, wanaacha nyimbo zao zinachezwa tu kwenye 'players' bila ya wao kuziimba ipasavyo.
Siangqliagi upuuzi ila hii habari ni ya uongo.

Hata kama msanii hapendwi, hawezi kukosa shabiki hata mmoja
 
Kuimba live band ndio kipaji cha mtu kilipo,
Kuimba kupitia recorded audio (iliyochunjwa, na ku haririwa na technology, sio kipaji!)

Viapaji ni kama

BANANA ZORO
CHRISTIAN BELLA
ROSE MUHANDO
 
Back
Top Bottom