Tuzuieje shule za wasichana watoto kusagana?

Tuzuieje shule za wasichana watoto kusagana?

Hili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.

Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.

Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.

Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.

Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
Solution kwenye hili kila mtoto wa like awe na shule yake!😡😡😡😡
 
Yani haya mambo ukiziangalia tena vizuri zile video unaona kama sio wabongo yani khah👋👋
 
Hajawahi tu kubahatishwa na shababi rijali matata likamshawishi limtie mimba.
Ile kitu unaweza ichukulia pouwa, ila mwanamke akishazoea, anakosa hamu kabisa na wanaume na wengine wanaenda extra miles wanakua wanawachukia sana wanaume
 
Hapo kutanuka hamna bana imeumbwa kwa ufundi sana super elasticity.....
Wewe ni mtumuwaji, tuuilize watumiaji tutakuambia nini kinatokea

Kadri mwanamke anavyozidi kuingiliwa na wanaume tofauti tofauti au vitu tofauti tofauti, k inaomgezeka ukubwa na hairudi kwenye hali yake ya mwanzo, ingekua inarudi bhas waliotolewa bikra afu wakaa mda mrefu bila kupigwa machine k ingejifunga kabisa
 
Hili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.

Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe wanajuana kuwa huyu wa fulani na yule wa fulani? watu hadi wanapata shida watoto wao wakiwa wanasoma huko.

Nini kifanyike? wanaume wameoa wake wengi tu mitaani huko wakiwa shule walikuwa wake wa wanawake wenzao na walikuwa wanalelewa. kuna shule moja walikamata binti anasaga wenzie hadi ana zana katambea nazo kwenye begi toka nyumbani.

Hebu mliosoma shule za girls tu tuambieni, hali uwa ipoje huko? kwa wanaume mchezo mchafu huwa haupo kabisa ukiondoa masterbation.

Soma Pia: Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana
Tuwe na sera nzuri zitakazowavutia wawekezaji, waweke mashine za kusaga kila shule yenye mchepuo wa wasichana ili kuwaondolea hii adha ya kusagana wenyewe kwa wenyewe.
 
Hii dunia inabidi watu wangesimama kuzalian kwa angalau miaka miwili ili wafanye vikao vya kujadiliana na kukubaliana juu ya aina ya dunia wanayoitaka.
 
Back
Top Bottom