Uchaguzi 2020 TV na Redio hazitangazi ujio wa Lissu, lakini mbona watu ni wengi?

Uchaguzi 2020 TV na Redio hazitangazi ujio wa Lissu, lakini mbona watu ni wengi?

Mimi kinachonishangaza ni yeye kumjibu mara kwa mara, anamsikiliza kupitia nini ikiwa media zote zinamtangaza yeye ?
Kuna watu wamelipwa kufatilia msafara wake kujua kasema nini kwa gharama za serikali. Pia Magu anafuatilia kupitia JF
 
Mbona hiyo mitandao imekoma kuonyesha nyomi tangu aingie kigoma?
Leo kashindwa kupanda jukwaa kwa kuwa watu hawakuwapo wengi.
Labda ulipitwa na hii

 
Halafu kina HARAKAHARAKA wanaweka picha za kampeni za JK mwaka 2015 wanabebesha maneno kuonyesha ni za sasa,ila tunazijua.
 
[emoji23] [emoji23] Nyie ndio ambao baada ya oktoba mtabadirisha ID zenu humu

Kwanini?Kila mtu anajua vita ni ngumu na haitaisha baada ya uchaguzi, akishashinda ndugu yako, kama itakuwa katika unfair ground,haitaishia hapo, lazima awe pressed mpaka jumuiya ya kimataifa itambue.

Round hii kuna utayari mkubwa wa kwenda pagumu, mpinzani huyu kwa sababu za kihistoria na unyanyasaji aliokutana nao sio mtu wa kukaa round table kujadili eti yaishe, tutakupa hili na lile.

Kwa mara ya kwanza tutashuhudia hao mnaowaita "mabeberu" wakiwaletea ubeberu wa kiwango cha lami, cha msingi kuepuka yote shinda katika "clean way", jambo ambalo mmeshaweka "mavi" kuanzia katika kuengua wagombea wa wapinzani,kuminya uhuru wa vyombo vya habari n.k...
 
Watu wanakuja kumshangaa mtu asiyechana nywele
Yani MaCCM nikama wana wagombea wawili wa uraisi kwenye chama chao

Kuna mmoja ana sema maendeleo hayana chama kuwa yeye ni raisi wa woote! na kuna mwingine anasema mkichagua upinzani sahauni, maendeleo hatuleti kama vile MaCCM pekee yao ndio yana lipa kodi.
 
Wanafunzi wanavuliwa uniform na kujazwa viwanjani[emoji15]?
Daah, Kuna thread nyingine, watu huwa mnaandika Kama vile mmekatwa vichwa, Sasa haya uliyoandika hapa ndo mashudu gani. ? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mdogo wangu yupo tabora boys wamelazimishwa kutoka wote kwenda tabora leo kumpokea Magufuli Tena weambiwa kuvaa nguo za nyumbani ana miaka 16 ndio yupo kidaro Cha 5
 
Mdogo wangu yupo tabora boys wamelazimishwa kutoka wote kwenda tabora leo kumpokea Magufuli Tena weambiwa kuvaa nguo za nyumbani ana miaka 16 ndio yupo kidaro Cha 5
Utaratibu wa Tabora boys kuruhusu mwanafunzi kwenda na nguo za nyumbani umeanza lini🤔?Au serikali ilitoa hela wanafunzi wanunuliwe nguo za nyumbani kwaajili ya kampeni? Labda ungezungumzia mzumbe, Ilboru ndo sina uzoefu nako, lakini tabora boys, bado Sana kunidanganya. Mimi nimesoma advance hapo, na mkuu wa shule nikiemuacha bado Ni huyohuyo mwaka wa 16 Sasa.
Huenda mdogo wako kakudanganya.
 
Hilo ni kweli wala sio uongo, watumishi wote wa serikali lazima uende usipoenda ajira yako atarini
Mimi sikwenda,kwenye mkutano wowote, wa kampeni na ajira yangu haiko hatarini,hayo unayosema wewe,huenda yanatokea kwenye Tanzania yako..!
 
Mkuu, hiyo kaitamka Lissu mara kadhaa majukwaani na sijasikia ccm au Magufuli campaign wakikanusha. Hilo la wanafunzi ndio kabisaaa, ilibidi wizara ya elimu ikanushe vikali na kumuonya Lissu. Lakini kimyaaaa. Wewe ukishangaa hauna uzito wowote mkuu.
Subiri, baada ya kampeni tutamuonya ipasavyo, Sasa tuko busy.
 
Magufuli kabaki kutukana kwenye mikutano kwahasira.
Halafu hawa wanaojiita wasomi wa UD, UDASA, wanasema Lissu aache "kumtukana na kumkejeli" Magufuli . Yaani kumwambiq mtu ukweli ni kumtukana!
 
Hiyo inaitwa janja ya nyani mkuu. Lissu kaistukia.
Hakuna cha Nini wala Nini,chamsingi tujifurahishe humu kwenye majukwaa,Ila Lissu hawezi kuchukua Dola,hilo hata wewe unalijua kabisa.
 
Hakuna cha Nini wala Nini,chamsingi tujifurahishe humu kwenye majukwaa,Ila Lissu hawezi kuchukua Dola,hilo hata wewe unalijua kabisa.
Kwa rekodi ya wizi na uporaji ambao Magufuli na serikali yake wameonesha kuanzia chaguzi za marudio, uchaguzi wa serikali za mitaa, na huu uenguaji, bila aibu, wa wagombea wa upinzani tuuu, wala sina shaka kwamba uporaji utaendelezwa uchaguzi mkuu. Huo ni uthibitisho kwamba ccm inapumulia mashine, na kwamba imekalia TIME BOMB. Za mwizi 40 bwashee
 
  • Thanks
Reactions: Pdk
Kwa rekodi ya wizi na uporaji ambao Magufuli na serikali yake wameonesha kuanzia chaguzi za marudio, uchaguzi wa serikali za mitaa, na huu uenguaji, bila aibu, wa wagombea wa upinzani tuuu, wala sina shaka kwamba uporaji utaendelezwa uchaguzi mkuu. Huo ni uthibitisho kwamba ccm inapumulia mashine, na kwamba imekalia TIME BOMB. Za mwizi 40 bwashee
Sawa,ndomaana inatakiwa tusubiri kizazi kingine kabisa ili CCM itoke madarakani🤪!
 
Sawa,ndomaana inatakiwa tusubiri kizazi kingine kabisa ili CCM itoke madarakani🤪!
Ukisubiri umeliwa. Hakuna alieamini kuna wa kumpeleka puta Magu 2020. Kila mtu alijua utakuwa mteremko. Hiyo generation change haiji tu automatic. Inachochewa. Tundu Lissu anatengeneza momentum kila uchao. Hiki ni kibarua cha kila uchaguzi. Hata kama Magufuli atakuwa rais tena, sidhani ataendeleza mwendo uleule.

Ccm watakuwa wamejifunza kwamba Magufulinomics na Magufulism hazilipi
 
Back
Top Bottom