TV ya Azam Sasa rasmi kutangaza pombe hadharani

TV ya Azam Sasa rasmi kutangaza pombe hadharani

Mimi juzi nimeenda sehemu wanapojiuza wanawake nikaona pita pita za watu ni wengi, nikamfuata mama mmoja pale anauza vinywaji vikali, nikamwambia nahitaji kijisehemu anikodishie pale niweke nyama ya kitimoto, akajibu eti pale pamejaa waislamu kwahiyo kuweka kitimoto haitawezekana.
Nikasema kweli maisha bila unafiki hayaendi.
 
KWA mujibu wa taarifa ya CEO wa Club ya Simba SC Imani Kajula Leo 02/11/2023 kwa vyombo vya habari, Club hiyo imeingia mkataba wa kibiashara na kampuni ya SBL watengenezaji wa pombe aina ya Serengeti! Ni mkataba wa sh 1.5 Bilioni Kwa miaka 3 ambapo itatoa fedha Kwa Simba kiasi cha shilingi 500 milioni kila mwaka.

Katika mkataba huo Kituo Cha Televisheni ya Azam inayomilikiwa na Bhakresa (muislamu) inayotangaza NBC Premium Legue italazimika kutangaza pombe ya Serengeti katika kila mchezo ndani ya ligi yetu.

Ikumbukwe kwa Imani ya Bakhresa makampuni yake ya media yamejitenga kisera kutangaza bidhaa kama pombe, sigara, michezo ya bahati nasibu na makatazo yote ya dini ya Kiislamu.

Swali je, Said Salim Bakhresa ameamua kukomunika yaishe alimradi "maokoto" yanaingia?
Afrika hawapendi furaha feki huduma mbovu kwa mgongo wa Dini tunakutenga. Kwanza Dini Afrika tunazuga tu bado tunaamini Babu zetu na Ibada za huko lazima pembe sasa komaa.na tabia za kiarabu uone matokeo yake.
 
Mzuka wanajamvi

Ni huyuhuyu Azam kuna mwaka flani alikataaa timu yake isishiriki mashindano ya Tusker eti ni haramu. Leo hii anakubali kutangaza pombe.

Hawa watu hulka na imani yao imejengeka kinafiki.

njiwa adriz Ritz (zombie boy) Alwaz incharge Adiosamigo incharge Jagina (chawi) FaizaFoxy (gagula)
hana mkataba wa direct na taasisi yoyote ya pombe swala la timu kudhaminiwa na pombe ni swala la simba ila yeye ana mkataba wake na tff ambayo mdhamini mkuu ni nbc hakuna kosa hapo kidini, karibu kwenye uislamu ujifunze mambo mazuri
 
KWA mujibu wa taarifa ya CEO wa Club ya Simba SC Imani Kajula Leo 02/11/2023 kwa vyombo vya habari, Club hiyo imeingia mkataba wa kibiashara na kampuni ya SBL watengenezaji wa pombe aina ya Serengeti! Ni mkataba wa sh 1.5 Bilioni Kwa miaka 3 ambapo itatoa fedha Kwa Simba kiasi cha shilingi 500 milioni kila mwaka.

Katika mkataba huo Kituo Cha Televisheni ya Azam inayomilikiwa na Bhakresa (muislamu) inayotangaza NBC Premium Legue italazimika kutangaza pombe ya Serengeti katika kila mchezo ndani ya ligi yetu.

Ikumbukwe kwa Imani ya Bakhresa makampuni yake ya media yamejitenga kisera kutangaza bidhaa kama pombe, sigara, michezo ya bahati nasibu na makatazo yote ya dini ya Kiislamu.

Swali je, Said Salim Bakhresa ameamua kukomunika yaishe alimradi "maokoto" yanaingia?
Sisi hatunywi pombe kwenye sikirini tunazinywa kwenye viti virefu baa hivyo watangaze wasitangaze shauri yao.
 
Back
Top Bottom