Nyaubikra
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 1,339
- 3,319
Wall tiles hizo ukiwa mbeya utajua fungus wanaharibuje nyumbaBraza vigae vya chooni umeweka sebuleni? Kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wall tiles hizo ukiwa mbeya utajua fungus wanaharibuje nyumbaBraza vigae vya chooni umeweka sebuleni? Kweli?
Kwa wapenzi wa mchezo wanaona huu ni muda wa kawaida kabisa, au umesahau enzi za mbabe Tyson tulikuwa tunasubiri hadi saa 11 alfajiriHIVI HUWA KUNA MAANA GANI KULIVUTA PAMBANO KUU MPAKA LATE NIGHTS...? MBONA WANAPOTEZA WATIZAMAJI HIVYO...
Viongozi waandamizi wa pande zote mbiliWatu wengi wamejaa ulingoni sijui wana kazi gani?
Round ya pili bado wanasomana huku kila mmoja akishambulia kwa tahadhariMtuletee pambano Live
Huku umeme umekatika.
Generator halina mafuta.
Ile ilikuwa na sababu ya muhimu kule kwao ilikuwa jioni na huku kwetu ilikuwa alfajiri. Na Hii ilitokana na utofauti wa majira baina ya nchi hizi mbili.Kwa wapenzi wa mchezo wanaona huu ni muda wa kawaida kabisa, au umesahau enzi za mbabe Tyson tulikuwa tunasubiri hadi saa 11 alfajiri
Hiyo inaitwa piga nikupige Twaha pia anapigaKuna vitasa Twaha anakula sijui mnaona?
Unaangalia pambano lipi hilo?Kuna vitasa Twaha anakula sijui mnaona?
Kwa sisi wapenzi wa mchezo wala hatujali hiloIle ilikuwa na sababu ya muhimu kule kwao ilikuwa jioni na huku kwetu ilikuwa alfajiri. Na Hii ilitokana na utofauti wa majira baina ya nchi hizi mbili.
Kwa sisi hakuna sababu ya iuliweka pambano late night.. ni kukariri kusiko na sababu... Mimi nimeenda zangu kulala.
Wanapoteza mvuto. Pambano ilibidi liishe saa 4 usiku sio zaidi ya hapo.
Hujielewi.Ile ilikuwa na sababu ya muhimu kule kwao ilikuwa jioni na huku kwetu ilikuwa alfajiri. Na Hii ilitokana na utofauti wa majira baina ya nchi hizi mbili.
Kwa sisi hakuna sababu ya iuliweka pambano late night.. ni kukariri kusiko na sababu... Mimi nimeenda zangu kulala.
Wanapoteza mvuto. Pambano ilibidi liishe saa 4 usiku sio zaidi ya hapo.
Kabisa wanapoteza watazamaji wengi sanaIle ilikuwa na sababu ya muhimu kule kwao ilikuwa jioni na huku kwetu ilikuwa alfajiri. Na Hii ilitokana na utofauti wa majira baina ya nchi hizi mbili.
Kwa sisi hakuna sababu ya iuliweka pambano late night.. ni kukariri kusiko na sababu... Mimi nimeenda zangu kulala.
Wanapoteza mvuto. Pambano ilibidi liishe saa 4 usiku sio zaidi ya hapo.
Kuna yule jamaa mwenye kipara alitia ufundi wa kukwepa akakuta na punch moja tu ya pua pale pale chalii[emoji2]dah alinichekesha mnooHujielewi.
Mapambano ya leo ,90% yamechezwa rounds zote machacha mno yameisha kwa K.O.
Tangu siku wanapima uzito mpinzani wake alisema "mimi sio muongeaji sana ila gloves ndio zitaongea" akatia na maneno ya kikurya kidogo pale.....na kilichotokea mmeonaKuna yule jamaa mwenye kipara alitia ufundi wa kukwepa akakuta na punch moja tu ya pua pale pale chalii[emoji2]dah alinichekesha mnoo
Kuna vitasa Twaha anakula sijui mnaona?