Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ha ha ha anaitwa Karim Mandongaš¤£š¤£Kuna yule jamaa mwenye kipara alitia ufundi wa kukwepa akakuta na punch moja tu ya pua pale pale chalii[emoji2]dah alinichekesha mnoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha anaitwa Karim Mandongaš¤£š¤£Kuna yule jamaa mwenye kipara alitia ufundi wa kukwepa akakuta na punch moja tu ya pua pale pale chalii[emoji2]dah alinichekesha mnoo
Anaongoza Kwenye nn?Mkuu sio kweli! Mpaka muda huu Twaha anaongoza hii shoo.
Hapo nimekusomaHiyo inaitwa piga nikupige Twaha pia anapiga
Weka mzigo mezani mkuu watu waingie kaziniHuyu ndiye Twaha anaelilia kupigana na Mwakinyo au tusubiri mwingine?
Huyu ndiye Twaha anaelilia kupigana na Mwakinyo au tusubiri mwingine?
Hakika umenena sahihiMwakinyo naye Bondia? Bondia gani miaka miwili anapigana mara moja?
Soon image yake itapotea na kila uchochoro ni Twaha tu
Cheza na MkuryaMandonga ananiangusha hapa mbwembwe zote zile ngumi moja tu chali
Wabongo kuna kitu hatujui kwani?Twaha ni bondia Mzuri sana anahitaji Couching tu kurekebisha baadhi ya Vitu.
Wabongo kuna kitu hatujui kwani?
Mfano wewe am sure hujawahi hata kuigusa punching bag ila unatoa ushauri šš