Twaha Kiduku amtwanga Alex Kabangu wa DRC, ashinda Mkanda wa UBO

Twaha Kiduku amtwanga Alex Kabangu wa DRC, ashinda Mkanda wa UBO

Hizi ni akili za Mwanakijiji kabisa kuamini huwezi kuwa Kiongozi wa Chama cha Mpira (TFF) mpaka uwe umecheza mpira
Inawezekana ila ili ufanikiwe lazima uwe unaufahamu sanaa.
wala huwezi kuwa CEO wa Timu ya mpira mpaka uwe umecheza mpira.
Unaweza kuwa CEO ila sio director wa ufundi do you get me?
Wewe hujapigana ngumi hata za mtaani nauhakika, gyms za mitaani ambako kuna punching bags za michanga wewe hujazipitia yani huna A wala B ya ngumi angalau hata mimi nina moja na sina uwezo wa kuwashauri hao jamaa kwa lolote

Ngumi sio mpira wa miguu Chief
 
Hizi ni akili za Mwanakijiji kabisa kuamini huwezi kuwa Kiongozi wa Chama cha Mpira (TFF) mpaka uwe umecheza mpira wala huwezi kuwa CEO wa Timu ya mpira mpaka uwe umecheza mpira.
Na ndio maana mkipewa kuongoza mnafanya madudu km machangudoa wa Sugar Ray.
 
Hujielewi.

Mapambano ya leo ,90% yamechezwa rounds zote machacha mno yameisha kwa K.O.
Hajielewi kivipi? Kwani hayo mapambano mengine ilikuwa lazima yapiganwe siku ya jana? Kwa nini mapambano ya utangulizi yasiwe machache au yawahi zaidi ili kubalance muda?

Igeni kwenye mchezo wa soka, huwa hakuna mechi nyingi za utangulizi na hata zikiwepo zinawahi zaidi, na duniani kote mchezo wa soka unachezwa jioni au usiku mapema kwa muda wa mahali husika.
 
Huyu ndiye number one ajaye sio yule mdigo hatetei mkanda ndio nini sasa
Twaha ni Best kwa uzito wake..Na Mwakinyo ni Best kwa uzito wake.

Kwahivyo haipo Direct kulingana na hizo Sheria za haya mambo.

Lakini Wote wawili wanadeserve..!
 
Kwa wapenzi wa mchezo wanaona huu ni muda wa kawaida kabisa, au umesahau enzi za mbabe Tyson tulikuwa tunasubiri hadi saa 11 alfajiri
Mmekariri vibaya ,Saa 11 alfajiri ya Tz kwa washington DC, USA ni saa 4 usiku. Fikiria ule muda wa mechi za world cup 2014 brazil TFF waige halafu waulete hapa, wafuatiliaji wa mpira watapungua sana.
 
Twaha kapambana na bondia mzuri sana. Alex alijua ili ashinde lazima apate KO na ndio aliitafuta muda wote, bahati mbaya kwake hakuipata. Lakini yuko bora sana.

Twaha alijua Alex atatafuta KO akachukua tahadhari na akafanikiwa.

Kwa mtazamo wangu pambano ni sare lakini mcheza kwao katuzwa.

Tumuimbe na kumsifu Twaha hadharani ni bondia kipenzi chetu lakini mnaofika kambini kwake na wenye nafasi ya kumshauri lazima huko sirini mmwambie ukweli, lazima ajifue zaidi na zaidi ili afikie pale tunapomuona kwa jicho la mahaba.

Ni maoni yangu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twaha hana ngumi nzito, sema ni sugu tu. Sijawahi kumwona twaha akimdondosha mtu kwa ngumi yake moja.
Ngumi kali kama zila za Bondia Katompa alizokuwa anamwagia Dullah Mbabe.
 
Natamani sana hii battle ije itokee ya Katompa na Twaha.
Hapatotosha siku hiyo.

Kwa kuwa mchezo huu umeonekana kupendwa sana hapa Tz basi ni wazi mambindia wetu wanahitaji kupata vipimo madhubuti iki wafike mbali.
Twaha hana ngumi nzito, sema ni sugu tu. Sijawahi kumwona twaha akimdondosha mtu kwa ngumi yake moja.
Ngumi kali kama zila za Bondia Katompa alizokuwa anamwagia Dullah Mbabe.
 
Back
Top Bottom