Twaha Kiduku aondoka na gari baada ya kumtwanga Dullah Mbabe

Twaha Kiduku aondoka na gari baada ya kumtwanga Dullah Mbabe

Kabla ya pambano mabondia wanaingia mkataba na mdhamini na wanakubaliana malipo kabisa na wakati mwingine wanalipwa kabisa.
Lile gari lilikuwa ni zawadi ya ziada tu. Alitokea mdau mwingine akaongeza zawadi ili kuwahamasisha mabondia wajifue zaidi kupendezesha pambano.
Malipo ya mabondia yanategemea uhodari wa bondia.
Katika pambano la Dulla na Kiduku, Kiduku amelipwa zaidi kwakuwa ndiye mshindi wa pambano lililopita.
NOTED mkuu na Shukrani kwa ufafanuzi makini na wenye busara za hali ya juu. Ahsante sana.
 
Mi mwenyewe nimeshindwa kuelewa kama wewe,ngoja wataalam waje kutudadavulia,dulah kapigwa round zote ukiacha round ya kwanza aliyomuotea kiduku na akashindwa kumaliza mpambano kwa ugoigoi wake
Pointi za juu ni 10 kwa kila raundi kwa kila bondia

Bondia akiangushwa anapoteza pointi moja

Ikiwa bondia ametawala raundi nzima lakini akumuangusha mpinzani wake bado jaji anaweza akatoa maksi 10-8 (hii hutokea mara chache)

Ikiwa raundi ni sare jaji atampa kila bondia pointi 10
 
Kwenye round kunakuwa na mshindi wa round .
Ukishinda unapewa point 10
Ukishindwa unapewa 9.

Hivyo Hivyo mpaka round ziishe. Kisha unajumlisha

Kila jaji ataamua round hii nani mshindi ale 10 nani kapigwa ale 9

Mwisho wa pambano kila jaji anasema jumla ya kila bondia. Wako majaji 3.

Mf jaji namba moja 96 kwa 92.
Jaji namba 2. 99 kwa 91
Jaji namba 3 97 kwa 93.

Maana bondia namba 1 anakuwa aneshinda kwa 3 bila. Hiyo inaitwa win by unanimous decision
Bondia akiangushwa chini anapoteza pointi ngapi
 
Jamaa ananifurahisha kuonesha nidhamu ya hali ya juu kwenye michezo yake...
Msikiluze hapo kuhusu pambano lake na Mwakinyo kama atakubali...

Hivi uchawi upo hadi kwenye ndondi kweli?

Au akhy alijitetea tu alipohojiwa baada ya pambano kuhusu ile round ya kwanza?View attachment 1901395
 
Back
Top Bottom